Msomi wa degree mbili kagongwa na gari hii inawezekanaje ?

Msomi wa degree mbili kagongwa na gari hii inawezekanaje ?

hujui degree inasaidia nini kwenye maisha ya mtu ?
Juzi tu hapa umesikia CDF na maafisa wengine wajeshi kenya wamefariki kwenye ajali ya chopa watu wenye mavyeo yao tena wenye mafunzo ya kijeshi unafikiri viliwasaidia nini? sembuse huyo mwenye degree mbili jaribu kuficha ujinga
 
Juzi tu hapa umesikia CDF na maafisa wengine wajeshi kenya wamefariki kwenye ajali ya chopa watu wenye mavyeo yao tena wenye mafunzo ya kijeshi unafikiri viliwasaidia nini? sembuse huyo mwenye degree mbili jaribu kuficha ujinga
yawezekana huna akili mtu aliyepata ajali ya ndege na alikuwa anaendeshwa na yeye aliyegongwa na gari Tandika sudan wanafanana ?
 
Uelewa wako unatia shaka zaidi ya huyo msomi wa digrii mbili,kila mtu na njia yake ya kuondoka hapa duniani
 
yawezekana huna akili mtu alipata ajali ya ndege na alikuwa anaendeshwa na yeye aliyegongwa na gari Tandika sudan wanafanana ?
Nimekupa tukio angalau ujaribu kufikiria ila nimeamini si ujinga tu uko nao hata uwezo wako wa kufikiria ni mdogo sana, Kubishana na wewe nikupoteza mda.
 
Back
Top Bottom