Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
Maalim Gurumo alinunuliwa GARI na Almas so Almas ana hisa MSONDO!
Mange kasema watanzania wanafki! Alikufa Kanumba, nchi nzima ilikuwa upande wa Kanumba!
Kesi ilipoamka tena Mahakamani, watanzania wale wale, wapo upande wa Lulu!
Hawa ndio watanzania Hawa. Leo wanawaita MSONDO wana njaa! Kesho msanii wa MSONDO akipitisha bakuli la Matibabu Muhimbili, wataponda!
Mange kasema watanzania wanafki! Alikufa Kanumba, nchi nzima ilikuwa upande wa Kanumba!
Kesi ilipoamka tena Mahakamani, watanzania wale wale, wapo upande wa Lulu!
Hawa ndio watanzania Hawa. Leo wanawaita MSONDO wana njaa! Kesho msanii wa MSONDO akipitisha bakuli la Matibabu Muhimbili, wataponda!