babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Wabongo mna maneno kha 😅😅😅😅😅😅Bondia wa kibongo akigonga hizo zaga lazima atapishwe ulingoni...
Akipigwa nakozi moja tu lazima arushe punje za maharage na vipande vya dagaa ulingoni...