Msosi anaokula pacquiao kwa mlo mmoja ni hatari.

Bondia wa kibongo akigonga hizo zaga lazima atapishwe ulingoni...

Akipigwa nakozi moja tu lazima arushe punje za maharage na vipande vya dagaa ulingoni...
Wabongo mna maneno kha 😅😅😅😅😅😅
 

Hahahahaaaa mkuu umeifanya siku yangu ianze vizuri.
 
cheka wetu alikula ugali maharage kwa mwezi mzima
 
Bondia wa kibongo akigonga hizo zaga lazima atapishwe ulingoni...

Akipigwa nakozi moja tu lazima arushe punje za maharage na vipande vya dagaa ulingoni...

Hahahahaha πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€:thumbup::thumbup::thumbup:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…