Vawulence
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 1,930
- 2,118
Nimeona, nimekujibuNishaku PM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeona, nimekujibuNishaku PM
Sina stress yoyote niko normal kabisa na nasimamia hoja yangu, ikiwa ana namba toka mwanzo alipaswa kuwa na kitambulisho au nakala ya kitambulisho ambayo majuzi wakati wa usajili wa line ya za simu zilikuwa zinapatikana online, lakini pia Mzee alijua anatarajia kustaaafu kitambulisho ni kitu mhimu Sana wakati wa kujiandaa kustaafu, nimesema ni mzembe siyo namdharau Ila Kwa aina ya kesi yake, kumbuka hata wazembe huzeeka. Kuna watu kwa asili ni wakuupuuza kila Jambo. Nikupe mfano Mimi nimwzaliwa kijijini mahali ambapo tulikuwa tunazaliwa popote hata njiani Kwa sababu ya kutokuwa na huduma za afya karibu. Lakini Kwa leo hii Nina Cheti cha kuzaliwa, Nina documents zote za nchi hii. Lakini mke wangu aliyezaliwa mount meru hosp Hana Cheti cha kuzaliwa wala kitambulisho, hata line alifungiwa ndo akaenda kuomba kitambulisho, pindi alivopata namba ya kumuezesha kusajili line hakuwahi kurudi tena NIDA, Leo hii Mtoto anatakiwa kuhakiki vyeti vya wazazi Kwa ajili ya kuomba mkopo WA elimu ya juu, mama Hana kitambulisho, Hana Cheti cha kuzaliwa.taratibu mkuu,
huyu mzee namba ya NIDA anayo ila kitambulisho cha Nida hana kama mamilion ya Watz wengi ambao bado wanasubiri.
Hebu hizi stress zisitupelekee hadi tukaanza kukosea heshima wazazi wa wa mtu.
Hujielewi wewe. Yani kwakuwa wewe una kitambulisho unajiona mjuaji kumbe ni zwazwa tu. Halafu kuwa na heshima kwa wakubwa zako.Akatafute kitambulisho, Hilo siyo la kuhitaji ufahamu, ni mstaafu wa Kada gani hiyo ambaye hakujua hata umhimu WA kuwa na kitambulisho cha NIDA. Mzee wako ni mzembe na usishangae siku akipata mafao akatepeliwa tena hela yote.
Endapo alijiandiksha toka mwanzo ina maana ni mwaka elfu na 12 kama sijakosea, awamu JK na vile vitambulisho visivyo kuwa na sahihi ya mwenye kitambulisho, 2012 mpaka Leo ni miaka 9 Mzee ameshindwa kufuatilia kitambulisho kweli?
Nanyinyi mmezidi uzembe unauwezo wakushinda jamii forums lakini uwezo kumshauri maama kwamba nimuhimu sana kua na ID na sio namba ....bibiyake mwanaoa atakua anaumia sanaWakuu heshima kwenu,
Mbali na kuwa ana namba ya kitambulisho cha NIDA mzazi wangu aliyefikisha umri wa kustaafu anakwama kufwatilia process zote ndani ya halmashauri anapofanyia kazi kwakuwa anakosa kitambulisho cha NIDA. Wahusika wanaopokea barua zake wamekataa kutumia namba ya NIDA wanataka kitambulisho.
Kwa wenye uzoefu ninaomba kujua ni wapi anaweza kupata kitambulisho hicho maana ni wale waliojiandikisha awamu ya mwanzo kabisa kabla ya zile foleni za mwaka jana.
Asanteni.
Imagine kitambulisho kiliombwa mwezi wa 2 mwaka 2015 hadi Leo wameniangalizia ofisi ya nida wilaya hakijatengenezwa. Hapo tatizo ni la mzazi wangu au serikali ? Maana namba anayo tangia hapo.Hujielewi wewe. Yani kwakuwa wewe una kitambulisho unajiona mjuaji kumbe ni zwazwa tu. Halafu kuwa na heshima kwa wakubwa zako.
Watu tumefanya registration tokea last year tumeishia kupewa namba tu. Kila ukifuatilia ID unapigwa danadana tu halafu mjinga mmoja unaandika upupu wako hapa.
Fuatilieni tu mkuu kwenye ofisi zao ikiwezekana omba kuonana na mkurugenzi.Imagine kitambulisho kiliombwa mwezi wa 2 mwaka 2015 hadi Leo wameniangalizia ofisi ya nida wilaya hakijatengenezwa. Hapo tatizo ni la mzazi wangu au serikali ? Maana namba anayo tangia hapo.
We nae Acha upoyoyoNanyinyi mmezidi uzembe unauwezo wakushinda jamii forums lakini uwezo kumshauri maama kwamba nimuhimu sana kua na ID na sio namba ....bibiyake mwanaoa atakua anaumia sana
Wamecheki hakijatokaFuatilieni tu mkuu kwenye ofisi zao ikiwezekana omba kuonana na mkurugenzi.
Duh noma. Nakumbuka nilifanyaga field NSSF nikawa na print vi card vya wanachama vile. Yani unamwandikisha mtu ndani ya dakika kumi tayari usha print digital card yake anasema. Anaekuja kuchukua duplicate (walipoteza) ndio chap tu kwa haraka yani akishalipia ada ya duplicate dakika 2 kachukua kadi yake kasepa.Wamecheki hakijatoka
Siyo hasira mkuu hebu fikiria namba za mwanzo ni Enzi za Jk, na Mzee alitambua anastaafu hizi document alipaswa kupata haraka Sana. Tusimtetee Kwa sababu ni Mzee hata wazembe wanazeeka pia.Asisahau kunywa maji pia.
Kati yangu na wewe Nani zwazwa sasa, kama ulikuja kugundua mwaka Jana kuwa unahitaji kitambulisho, vitambulisho vimeanza kutolewa lini nchi hii? Hivi unajua mstaafu wewe? Ni MTU ambaye kuulizwa kitambulisho siyo Jambo la Kwanza Maishani mwake, ukubali usikubali Mzee alifanya uzembe na hayo ndo matokeo ya huo uzembe sasa anajichelesha mwenyewe kupata mafao yake. Na wewe chukuwa Hili kama somo kwamba usipopanga mambo yako mapema utapangiwa. Watanzania wengi tunakasumba ya kusuburi mpaka siku ya mwishoHujielewi wewe. Yani kwakuwa wewe una kitambulisho unajiona mjuaji kumbe ni zwazwa tu. Halafu kuwa na heshima kwa wakubwa zako.
Watu tumefanya registration tokea last year tumeishia kupewa namba tu. Kila ukifuatilia ID unapigwa danadana tu halafu mjinga mmoja unaandika upupu wako hapa.
Nakubaliana na wewe, mzazi hakuona umhimu kitambulisho na mwanae naye akashindwa kumshauri mapema. Mpaka kuja humu jamii forum ina maana na yeye alikuwa hafaham utaratibu wa kuomba na kupata mafao achilia mbali kitambulisho, uzembe, uzembe, uzembe.Nanyinyi mmezidi uzembe unauwezo wakushinda jamii forums lakini uwezo kumshauri maama kwamba nimuhimu sana kua na ID na sio namba ....bibiyake mwanaoa atakua anaumia sana
Inawezekana mama aliandika taarifa tofauti na zilizomo kwenye mafaili yake yakazi ,msaidie mama haraka ukomkoa ganiWe nae Acha upoyoyo
Tatizo sio la mzazi ni lq kwenu NIDA
una stress zake huyu kaamua kumtolea mzee wa watu ambaye hata hamjui 🤣 🤣 🤣Hujielewi wewe. Yani kwakuwa wewe una kitambulisho unajiona mjuaji kumbe ni zwazwa tu. Halafu kuwa na heshima kwa wakubwa zako.
Watu tumefanya registration tokea last year tumeishia kupewa namba tu. Kila ukifuatilia ID unapigwa danadana tu halafu mjinga mmoja unaandika upupu wako hapa.
Angeandika taarifa tofauti namba ya NIDA ingetoka? Ndo maana nilikuambia uache upoyoyo maana hujasoma uzi viruri. Kama namba ya nida (ambayo ni namba ya kitambulisho kinachotolewa na mamlaka ya serikali) kwa nini wasikitambue hadi wadai original kadi ambayo wanajua kabisa serikali kwa uzembe wake wamechelewesha kuvitoa?Inawezekana mama aliandika taarifa tofauti na zilizomo kwenye mafaili yake yakazi ,msaidie mama haraka ukomkoa gani
Copy zilikuwa zinatolewa online majuzi Tu wakati wa usajili wa line za simu, lakini pia wale ambao kumbukumbu zao zilikuwa hazionekani walishauriwa kuomba upya. Vitambulisho na wengi walipata, tatizo tuna uzembe wa kufanya vitu. Hatuna deadline mpaka ukishabanwa kama hivo ndo unaanza kupaparukaDuh noma. Nakumbuka nilifanyaga field NSSF nikawa na print vi card vya wanachama vile. Yani unamwandikisha mtu ndani ya dakika kumi tayari usha print digital card yake anasema. Anaekuja kuchukua duplicate (walipoteza) ndio chap tu kwa haraka yani akishalipia ada ya duplicate dakika 2 kachukua kadi yake kasepa.
Sasa hawa NIDA kama waliona hawawezi bora wangetoa tender kuna makampuni yangeweza kuwa yameshakamilisha hili zoezi kwa asilimia 99.
Usikariri vitu, Mimi nikiwa na stress wewe hapa jamii forum hutii mkonouna stress zake huyu kaamua kumtolea mzee wa watu ambaye hata hamjui 🤣 🤣 🤣
Nashauri wewe endelea kukitumia hichohicho (kama hakikukwamishi kupata huduma yoyote kutokana mapungufu yake).Mimi nilikuwa mtu wa mwanzo kupata vitambulisho vya NIDA zoezi lilivoanzaga mwanzoni kabisa, mbona wameweka expire date kuwa ni 2024 hivi Wana maana gani Ina maada mda ukiisha hakitumiki Tena au?
Maana ninavoona process ya kupata NIDA ilivo ngumu why waliweka expire date
SawaAngeandika taarifa tofauti namba ya NIDA ingetoka? Ndo maana nilikuambia uache upoyoyo maana hujasoma uzi viruri. Kama namba ya nida (ambayo ni namba ya kitambulisho kinachotolewa na mamlaka ya serikali) kwa nini wasikitambue hadi wadai original kadi ambayo wanajua kabisa serikali kwa uzembe wake wamechelewesha kuvitoa?
Soma reply zangu zote utaona.
Nimefika ofisi ya nida hapa kdc wanasema siku hizi huduma ya online copy wanasema haipo
Mimi si msandawe kwa hiyo hainihusu!!!!Nguto kwa kisandawe Ni kondoo jike lisilo zaa