π π π nataka kuwa taasisiAahahahahhaaa hela inatunzwa na taasisi za fedha.
We nisaidie kupanga matumizi ili niyapeleke kwenye hiyo taasisi. Wakiipitisha basi msuanoo π€ͺ.
hahahahaha daaaa wazee wa fursa hao,yaani mtu anakupa deal la mamilioni Huku yeye akiwa kavaa shati, suruali kadet iliyopauka na viatu vimechoka sole visigino vimeenda upande Halafu anakujaAsante kwa kujali, leo niliamkia pale PSPF yaani nimemalizana nao saa saba mchana.
Ile nimetoka nje tuu wadau wakanidaka, bi mkubwa kuna mradi unakuja hii 2022 yaani ukiweka milioni 30 unavuna milioni 150.....
Nikatabasamu nikawaangalia nikasema hiiiiiii (in Maguβs voice) sio kirahisi hivyo eheheheheeeee.
Kasinde Matata hivi hujaachana na Daddy. Mimi ni Marioo hata unilelee nipunguze ugumu wa maisha.
Ukishindwa kabisa waambie basi hapo kwenye taasisi waniajiri nizibe pengo lako.
Mimi nilikuwepo hiyo mitaa ni kama ulikuwa mbele yangu! nikajisemea kimoyo moyo kwamba huyu mwanamke enzi za ujana wake alikuwa mkali sana!!?
ukisema nitaje na nguo ulizovaa nakutajia....
ww niruhusu
hahahahaha daaaa wazee wa fursa hao,yaani mtu anakupa deal la mamilioni Huku yeye akiwa kavaa shati, suruali kadet iliyopauka na viatu vimechoka sole visigino vimeenda upande Halafu anakuja
Nyee! Nyeee! Nyeee Kuna deal ukiweka laki unapata million kama faida!
What a joke!
ππππ
Aaah msalimie Dadii sasa mtakuwa mna enjoy life 24/7.Aiseeeh Chaliiangu...
Dadiii amekaba kona soteeee hakuna mahala nafurukuta atii π
Huko kwenye taasisi vibosile wameshakonektisha wajukuu zao kuziba pengo...π.
Hongera sana kwa kustaafu salama! Bila ya shaka taifa limefaidika Kwa utumishi wako. Kila la kheri katika maisha ya pensheni!Wakulungwa hamjamboooo....!??
Ule wakati niliokuwa nausubiria kwa hamu sasa umefika. Hatimaye bibi Kasinde amestaafu na kulipwa stahiki yake kwa kuitumikia Jamuhuriya Muungano wa Tanzania kwa kipindi kisichopungua miaka 35.
Yaani waliosema pesa sabuni ya roho hawakukosea, mweeh mweeh yaani najikuta namtabasamia kila nnayepishana naye njiani.
Hapa natembea kwa mguu hadi Ocean Road nikashangae na bahari...
Magorofa nimeyashangaa hadi naona shingo inataka kwenda mrama sasa...[emoji28][emoji28]
View attachment 2079267
View attachment 2079268
View attachment 2079269
View attachment 2079270
Karibuni tukale samaki wa baharini kwa wale walioko feri.
Update:
Wacha nimalizie matukio ambayo sikuyarusha kwa wakati..,,
View attachment 2079849
Mjini kutamu nyieee.... acha tuu
Pamoja na kuwa nimestaafu shamba siendi ngβoo...[emoji12]
View attachment 2079851
Wakulungwa si watu wazuri....
Walimtegea jiwe bi Kasinde, nilijikwaa ila sikuanguka... kiatu ndo kilipata hitilafu ikabidi nipate huduma kwa shushani...