Mstaafu Kasinde Matata 🥰












Safari iliishia kariakoo....🥵
 
Babuuuuu

Nimepaliwa na fenesi ujuwe kwa kucheka 😂😂😂😂😂😂

Hepe Nyuu Yaaa kwanza

Halafu malabuku zako na za aliyekufungia huko uliko....😊
Same there sweetheart...

Niombee niachane na huu mchepuko unaitwa K Vant

Utatuvunjia ndoa yetu
 
Niko pamoja nawe kwenye hili...

Na hapa pa kwenda Israel na yeye Asprin twende nae akakanyage Sinagogi akitoka huko K Vant kwisha habari yake....
Nimekosa mimi nimekosa mimi nimekosa sana
 
Kabla ya CV anza kunichekesha hapa, nikibanwa na mbavu ntakwambia utume CV yako.

Babuu jua kali leo nnakiwi ya kujitosa baharini twenzetu bongoyoo....
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…