Helenshija
Member
- Aug 3, 2022
- 8
- 7
Ujumbe sahihi kwa huyo mkimbizi uchwara. Anajiona yeye ndio mzalendo kuliko wote, hasira zake za kukosa Ubunge Arusha Sasa njaa imempanda mpaka kichwani basi kila siku kujifanya nabii.Mstaafu Lema, nimeona tweet yako ya leo ,iliyojaa fitina na ukosoaji wa vijana wenzako walipata nafasi ya kuitumia nchi yetu kwa weledi mkubwa ... inasikitisha sana kutokuona juhudi zinazofanywa na vijana hawa kwa nguvu na jasho la damu kupigania watanzania iwe sehemu bora zaidi ..
Hata kama unaichukia Tanzania "kama ulivyoikimbia nchi yako " ..tuachie sisi tunaoipenda tuishi kwa amani..
Wivu tuu wa kijinga huyo Nabii wa chadomo..Mstaafu Lema, nimeona tweet yako ya leo ,iliyojaa fitina na ukosoaji wa vijana wenzako walipata nafasi ya kuitumia nchi yetu kwa weledi mkubwa.
inasikitisha sana kutokuona juhudi zinazofanywa na vijana hawa kwa nguvu na jasho la damu kupigania watanzania iwe sehemu bora zaidi ..
Hata kama unaichukia Tanzania "kama ulivyoikimbia nchi yako " ..tuachie sisi tunaoipenda tuishi kwa amani..
Mkuu Helenshija , ni vizuri kama ungetuwekea screen shot ya hiyo twitter ya Lema.Mstaafu Lema, nimeona tweet yako ya leo ,iliyojaa fitina na ukosoaji wa vijana wenzako walipata nafasi ya kuitumia nchi yetu kwa weledi mkubwa.
inasikitisha sana kutokuona juhudi zinazofanywa na vijana hawa kwa nguvu na jasho la damu kupigania watanzania iwe sehemu bora zaidi ..
Hata kama unaichukia Tanzania "kama ulivyoikimbia nchi yako " ..tuachie sisi tunaoipenda tuishi kwa amani..
Huyu sio Chawa, ni Kupe anayejishikiza, kumtoa hadi umpasue damu imwagikeCHAWA MKUBWA WEWE
Na kweli Chawa ana afadhali, hili nili-KUPE la kilo 10.Huyu sio Chawa, ni Kupe anayejishikiza, kumtoa hadi umpasue damu imwagike
Kwa Kweli tunaburutwa !!Hili taifa linaangamizwa na wajinga kama wewe.
Tunakatwa tozo kila siku lakini hatuambiwi zinapokwenda, wala wanakusanya kiasi gani kila mwezi, halafu huyo mwenye dhamana anahusishwa na umiliki wa timu ya mpira wa miguu, huoni tatizo hapa?
Haya mambo yanahitaji idara za usalama wa hili taifa zifanye uchunguzi kwa kushirikiana na TAKUKURU, wananchi hawawezi kwa na imani na serikali inayoendeshwa na vijana wa aina hii.
Hata username yako imekaa kinaaaMstaafu Lema, nimeona Tweet yako ya leo iliyojaa fitina na ukosoaji wa vijana wenzako walipata nafasi ya kuitumia nchi yetu kwa weledi mkubwa.
Inasikitisha sana kutokuona juhudi zinazofanywa na vijana hawa kwa nguvu na jasho la damu kupigania Watanzania iwe sehemu bora zaidi.
Hata kama unaichukia Tanzania "kama ulivyoikimbia nchi yako "... tuachie sisi tunaoipenda tuishi kwa amani.
Hoja yako ingekuwa na uzito zaidi kama ungenukuu alichoandika Lema.Mstaafu Lema, nimeona Tweet yako ya leo iliyojaa fitina na ukosoaji wa vijana wenzako walipata nafasi ya kuitumia nchi yetu kwa weledi mkubwa.
Inasikitisha sana kutokuona juhudi zinazofanywa na vijana hawa kwa nguvu na jasho la damu kupigania Watanzania iwe sehemu bora zaidi.
Hata kama unaichukia Tanzania "kama ulivyoikimbia nchi yako "... tuachie sisi tunaoipenda tuishi kwa amani.
Yaani ujinga huu unaondelea ndiyo unauita weledi .... Seriously!!Mstaafu Lema, nimeona Tweet yako ya leo iliyojaa fitina na ukosoaji wa vijana wenzako walipata nafasi ya kuitumia nchi yetu kwa weledi mkubwa.
Inasikitisha sana kutokuona juhudi zinazofanywa na vijana hawa kwa nguvu na jasho la damu kupigania Watanzania iwe sehemu bora zaidi.
Hata kama unaichukia Tanzania "kama ulivyoikimbia nchi yako "... tuachie sisi tunaoipenda tuishi kwa amani.
Shija ni jina la kabila fulani. Sa tweet yake imekuharibia amani wapi? Mtu katoa tahadhari ili mhusika awe makini maana ameona mwenendo si mzuri.Mstaafu Lema, nimeona Tweet yako ya leo iliyojaa fitina na ukosoaji wa vijana wenzako walipata nafasi ya kuitumia nchi yetu kwa weledi mkubwa.
Inasikitisha sana kutokuona juhudi zinazofanywa na vijana hawa kwa nguvu na jasho la damu kupigania Watanzania iwe sehemu bora zaidi.
Hata kama unaichukia Tanzania "kama ulivyoikimbia nchi yako "... tuachie sisi tunaoipenda tuishi kwa amani.
Mtt wa waziri shija wa enzi hizooo...Shija ni jina la kabila fulani. Sa tweet yake imekuharibia amani wapi? Mtu katoa tahadhari ili mhusika awe makini maana ameona mwenendo si mzuri.
Acha ujingaMstaafu Lema, nimeona Tweet yako ya leo iliyojaa fitina na ukosoaji wa vijana wenzako walipata nafasi ya kuitumia nchi yetu kwa weledi mkubwa.
Inasikitisha sana kutokuona juhudi zinazofanywa na vijana hawa kwa nguvu na jasho la damu kupigania Watanzania iwe sehemu bora zaidi.
Hata kama unaichukia Tanzania "kama ulivyoikimbia nchi yako "... tuachie sisi tunaoipenda tuishi kwa amani.
Kumbe!! Ndo maana hatujui wenye njaa ye anaona viongozi wanapambana kwa jasho na damu.Mtt wa waziri shija wa enzi hizooo...
Kupata tu ukuu wa wilaya Kwa huruma ameanza mbwembwe mapema hivi....