Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,119
Mchawi tume huru tu hapo, tofauti na hapo ni kujitekenya na kucheka mwenyewe. Kwa tume iliyopo hakuna mpinzi yoyote atakaerudi bungeni, mark my words.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msaliti?Hata akigombea hapiti kura za maoni na hata akipita kura zamaoni ataenguliwa na kamati kuu ya chama.
Kwa Dar na hasa Ubungo anapoteza muda tu si rahisi kuishinda CCM. Prof. Mkumbo ni chaguo sahihi kwa wana Ubungo.Huyu jamaa namuunga mkono namuelewa.
Savimbi ameshajimalizaOnyo : Kitila Mkumbo tafakari upya jimbo la kuvamia
JidanganyeAkishinda nahama jamiiforums maana ubungo ni mali ya ccm kwa sasa
Ubungo ni jimbo la Upinzani lile sio kama KongwaKwa Dar na hasa Ubungo anapoteza muda tu si rahisi kuishinda CCM. Prof. Mkumbo ni chaguo sahihi kwa wana Ubungo.
Swali zuri sana hiliKubenea Hagombei?
Siku akijitokeza kuchukua fomu taarifa zake utaletewa hapahapaKubenea Hagombei?
Huwa nakaa ufukweni na kuwatafakari Chadema.....Mwambieni aache siasa za mrengo wa Savimbi.