Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Wachungaji, mitume, manabii, walimu na Wainjilisti ambao ni viongozi wa makanisa ya kileo huu mstari wanauruka kama haeauoni.
Huu mstari unawahukumu, maana wanajikusanyia sadaka kisha kufungua maduka makubwa, kusomesha watoto wao nje ya nchi , wananunua range , v8 n.k huku waumini wakiambiwa wamtumaini Mungu atawainua. Hata yeye (kiongozi) alianza chini na sasa ameinuliwa na Mungu.
Si lazima kila mtu auze mali zake na kuzipeleka kanisani ila ni lazima pesa za sadaka , michango na misaada ndani ya kanisa zihesabiwe kuwa ni mali ya kila muumini, hakuna mwenye mamlaka nazo kuzidi mtu mwingine ndani ya kanisa.
Muwe na asubuhi njema.
Huu mstari unawahukumu, maana wanajikusanyia sadaka kisha kufungua maduka makubwa, kusomesha watoto wao nje ya nchi , wananunua range , v8 n.k huku waumini wakiambiwa wamtumaini Mungu atawainua. Hata yeye (kiongozi) alianza chini na sasa ameinuliwa na Mungu.
Si lazima kila mtu auze mali zake na kuzipeleka kanisani ila ni lazima pesa za sadaka , michango na misaada ndani ya kanisa zihesabiwe kuwa ni mali ya kila muumini, hakuna mwenye mamlaka nazo kuzidi mtu mwingine ndani ya kanisa.
Muwe na asubuhi njema.