Mstari mweusi chini ya kitovu.

Mstari mweusi chini ya kitovu.

mischa

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
368
Reaction score
177
Wakuu habarini,kwa sisi mabinti huu mstari chini ya kitovu(linea negra) nackia una maanisha kuwa mtu yupo fertile na ana uwezo wa kuzaa,Je kama mwanamke hana maana yake hatoweza kuzaa?au mstari huu wa maanisha nn? MziziMkavu
 
Last edited by a moderator:
Nimemuuliza mwanamke hapa anasema ni kweli mwanamke akiwa na huo mstari maana yake ana uwezo wa kuzaa
 
Kwa mimi ninavyofahamu huo mstari huwa hauonekani kama binti hajazaa, na anapozaa mstari huo huonekana zaidi kuanzia kwenye kitovu kushuka chini hadi kwenye sehemu ya kinena ni black vertical line. Hii nimekua nikiitumia kipindi sijaoa kumpata binti ambaye hajazaa kabisa. Sikupenda kuoa aliyezaa, kama kazaa mstari huonekana zaidi na kama hajazaa hauonekani kabisa. Ni hayo tu!
 
Na akiwa mja mzito unavuka kitovu unakwenda juu zaidi akijifungua unarudi!
 
ukiuona umeongezeka urefu jua una ujauzito tayari. mia
 
mischa,

Linea nigra ni mstari mweusi uliosimama (vertical) ambao mara nyingi huanzia kwenye nyonga hadi kitovuni (kwa wanaume na wanawake) lakini kwa baadhi huonekana hadi sehemu ya juu ya tumbo (karibu na kifua) hii haimaanishi kuwa wao wanashida! Mstari huu huonekana zaidi/kwa urahidi kwa wanawake wenye ngozi isiyo nyeusi sana.

Wakati wa ujauzito, mstari huu 'hujitokeza' sana (huonekana zaidi) kwa sababu ya mabadiliko ya vichochezi (hormones) wakati wa ujauzito hasa ikisababisha na vichochezi vinavyotolewa na Kondo la nyuma (Placenta)...pamoja na hii rangi hii nyeusi ya mstari (nigra from word negro imaanishanyo nyeusi), huambatana na chuchu na sehemu inayoxunguka chuchu za mwanamke mjamzito kuwa nyeusi pia.

Baadhi ya wanawake (WENGI) hawaonyeshi kuwa na mstari huo, na kipimo cha 'kuzaa' au kutokuzaa hakipimwi kwa mstari huo.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu habarini,kwa sisi mabinti huu mstari chini ya kitovu(linea negra) nackia una maanisha kuwa mtu yupo fertile na ana uwezo wa kuzaa,Je kama mwanamke hana maana yake hatoweza kuzaa?au mstari huu wa maanisha nn? MziziMkavu
mischa ! The dark line that leads from the belly button (kitovu) to the pubic area is called linea nigra. Sometime the line occur even from above the belly button and goes all the way to the pubic area. This line (linea nigra) appears in the second trimester of pregnancy, during pregnancy this line darkens and this is due to the increased estrogen levels and melanocyte stimulating hormone deposits under the skin.

Women who are dark-skinned tend to have a darker linea nigra than women who are fair-skinned. This is a line that may have always been there (even before becoming pregnant), but you may have never noticed it before because usually it is in a very light/faint color. During pregnancy this line darkens and become more visible.

There are many myths and believes when it comes to linea nigra, Some believe that linea nigra is associated with women fertility and some believe that it is associated with the gender of the baby the woman she is carrying. However, there is no single study in the world which have proved this association. Few studies I know have shown there is no association neither to fertility nor to the gender of the baby!
 
Last edited by a moderator:
mischa,

Linea nigra ni mstari mweusi uliosimama (vertical) ambao mara nyingi huanzia kwenye nyonga hadi kitovuni (kwa wanaume na wanawake) lakini kwa baadhi huonekana hadi sehemu ya juu ya tumbo (karibu na kifua) hii haimaanishi kuwa wao wanashida! Mstari huu huonekana zaidi/kwa urahidi kwa wanawake wenye ngozi isiyo nyeusi sana.

Wakati wa ujauzito, mstari huu 'hujitokeza' sana (huonekana zaidi) kwa sababu ya mabadiliko ya vichochezi (hormones) wakati wa ujauzito hasa ikisababisha na vichochezi vinavyotolewa na Kondo la nyuma (Placenta)...pamoja na hii rangi hii nyeusi ya mstari (nigra from word negro imaanishanyo nyeusi), huambatana na chuchu na sehemu inayoxunguka chuchu za mwanamke mjamzito kuwa nyeusi pia.

Baadhi ya wanawake (WENGI) hawaonyeshi kuwa na mstari huo, na kipimo cha 'kuzaa' au kutokuzaa hakipimwi kwa mstari huo.

Nimefanya research kwa zaidi ya wanawake 15, waliozaa 6 na wasiozaa 9 ilinionyesha hivyo. Mimi nipo hapa hapa Bongo na research yangu imefanyikia hapa. Ninaamini reseach yako itakuwa ni collection of secondary data ambayo haikulenga jamii ya bongo. Chunguza waliozaa mstari umekolea sana kuliko wale ambao hawajazaa kabisa
 
Last edited by a moderator:
Wakuu habarini,kwa sisi mabinti huu mstari chini ya kitovu(linea negra) nackia una maanisha kuwa mtu yupo fertile na ana uwezo wa kuzaa,Je kama mwanamke hana maana yake hatoweza kuzaa?au mstari huu wa maanisha nn? MziziMkavu

Mimi ni mwanaume na huo mstari ninao! sasa hapa na mimi nielewe nn sasa?
 
Mimi ni mwanaume na huo mstari hua ninao! je na sisi inakuwa ndo nini? nao ni ujauzito au?


CTRL + Q to Enable/Disable GoPhoto.it
 
Nimefanya research kwa zaidi ya wanawake 15, waliozaa 6 na wasiozaa 9 ilinionyesha hivyo. Mimi nipo hapa hapa Bongo na research yangu imefanyikia hapa. Ninaamini reseach yako itakuwa ni collection of secondary data ambayo haikulenga jamii ya bongo. Chunguza waliozaa mstari umekolea sana kuliko wale ambao hawajazaa kabisa

Mkuu, nadhani
1. Unakosea unapoita watu 15 kama ni "research"
2. Hebu jaribu kuongea kisayansi zaidi si kwa kufikiria/kufikirika/mawazo binafsi!
3. Mimi sikufanya "research", ila katika maisha ya kila siku ya kazi yangu ndio ninakutana nao.

Hivyo kwa "research yako" hayo si majibu toshelezi.
 
Mkuu, nadhani
1. Unakosea unapoita watu 15 kama ni "research"
2. Hebu jaribu kuongea kisayansi zaidi si kwa kufikiria/kufikirika/mawazo binafsi!
3. Mimi sikufanya "research", ila katika maisha ya kila siku ya kazi yangu ndio ninakutana nao.

Hivyo kwa "research yako" hayo si majibu toshelezi.

Ww unamponda mwenzanko aliyefanya Research ya wa2 15,wakati ww unakiri hujafanya reserch .wa kumsikiliza hapo ni Huyoaliyefanya ya Watu 15 na si ww unayegues na kuadisiwa.
 
mischa,

Linea nigra ni mstari mweusi uliosimama (vertical) ambao mara nyingi huanzia kwenye nyonga hadi kitovuni (kwa wanaume na wanawake) lakini kwa baadhi huonekana hadi sehemu ya juu ya tumbo (karibu na kifua) hii haimaanishi kuwa wao wanashida! Mstari huu huonekana zaidi/kwa urahidi kwa wanawake wenye ngozi isiyo nyeusi sana.

Wakati wa ujauzito, mstari huu 'hujitokeza' sana (huonekana zaidi) kwa sababu ya mabadiliko ya vichochezi (hormones) wakati wa ujauzito hasa ikisababisha na vichochezi vinavyotolewa na Kondo la nyuma (Placenta)...pamoja na hii rangi hii nyeusi ya mstari (nigra from word negro imaanishanyo nyeusi), huambatana na chuchu na sehemu inayoxunguka chuchu za mwanamke mjamzito kuwa nyeusi pia.

Baadhi ya wanawake (WENGI) hawaonyeshi kuwa na mstari huo, na kipimo cha 'kuzaa' au kutokuzaa hakipimwi kwa mstari huo.

Well said mkuu hasa kati aya ya.mwisho... mie hapa nina mtoto tayari lakini huo mstari haupo hata kidogo!
 
Last edited by a moderator:
Mkubwa jumapili ndo hii

Mkuu, nadhani
1. Unakosea unapoita watu 15 kama ni "research"
2. Hebu jaribu kuongea kisayansi zaidi si kwa kufikiria/kufikirika/mawazo binafsi!
3. Mimi sikufanya "research", ila katika maisha ya kila siku ya kazi yangu ndio ninakutana nao.

Hivyo kwa "research yako" hayo si majibu toshelezi.
 
Kila mwanamke anao huo mstari sema hukolea zaidi anapokua mjamzito hauna uhusiano na uwezo wa kuzaa
 
Nimefanya research kwa zaidi ya wanawake 15, waliozaa 6 na wasiozaa 9 ilinionyesha hivyo. Mimi nipo hapa hapa Bongo na research yangu imefanyikia hapa. Ninaamini reseach yako itakuwa ni collection of secondary data ambayo haikulenga jamii ya bongo. Chunguza waliozaa mstari umekolea sana kuliko wale ambao hawajazaa kabisa

Ni research gani hiyo uliyofanya iliyohusisha wanawake 15? Je unaweza ku-share na wana JF methodology na findings zake?
 
Asante maana nilielewa kutokuwepo kwa mstari huu ni uwezekano wa binti kutokuzaa,asante kwa maoni..
 
Ni research gani hiyo uliyofanya iliyohusisha wanawake 15? Je unaweza ku-share na wana JF methodology na findings zake?

Both primary and secondary data were examined. Secondary data were obtained through group discussions (na washkaji) while primary data were obtained through going direct to the field. Direct observation, interviews and sometimes testing the sample were used to collect primary data. My Findings revealed tha the line is faint in young ladies while in udult women the line is absolutely visible. Research areas were Dsm, Mza, Rvm, Ars, Mby, Sgd, and Lnd about 5 yrs ago. Mkuu this is my simple report shows the methodogy used and its findings
 
Both primary and secondary data were examined. Secondary data were obtained through group discussions (na washkaji) while primary data were obtained through going direct to the field. Direct observation, interviews and sometimes testing the sample were used to collect primary data. My Findings revealed tha the line is faint in young ladies while in udult women the line is absolutely visible. Research areas were Dsm, Mza, Rvm, Ars, Mby, Sgd, and Lnd about 5 yrs ago. Mkuu this is my simple report shows the methodogy used and its findings

Is this your methodology and findings? and you had 15 females in your sample size? and yet you want to tell us that linea nigra is associated with women fertility? That's not possible! Your methodology and findings can not be trusted!
 
Back
Top Bottom