Execute
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 3,000
- 7,336
- Thread starter
- #41
Kilichoandikwa na Biblia ni ujio wa mfumo utakaoweza kucontrol kununua na kuuza bidhaa. Haijalishi kama ni chip, kadi, fingerprint au nyinginezo.iandike hapa; hiyo reference inaweza kuwa na maana lakini sio hii ya credit card
Wakati biblia inaandika hili hapakuwa hata na dalili ya kuwezekana kwake.