Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumtoa rais sio rahis kama unavyo waza wewe aisee kifupi tu kasome katiba vizuri utaelewaNdugai anaweza kumtoa rais kwa kuhamasisha kura ya kutokuwa na imani naye.
Udhaifu wa siasa zetu za upinzani wa kushindwa kutambua hakuna adui wala rafiki wa kudumu bali agenda ni mzigo.
Karibu kiti!Nasimama na Spika
Leteni na ile ya kumuondoa rais kwa kura ya kutokuwa na imani nayeUpo msuguano wa dhahiri baina ya Spika na Rais. Spika ni kiongozi wa Bunge “Bunge” na Rais ni Kiongozi wa Serekali “Executive”. Wote ni Wakuu wa mihimili hapa anakosekana Jaji Mkuu ambae ni Mkuu wa Mahakama.
Ukizitazama kwa makini misuguano baina ya Rais na Spika utaona dhahiri kila mmoja anapenda kuonyesha ukuu wake na matamanio ya madaraka.
Tukiirejelea Katiba yetu ambayo Rais karundukiwa madaraka mengi,sioni ni namna gani Spika ataweza kupambana na Rais.
Rais anateuwa Mawaziri, Makaribu Wakuu,Wakuu wa Mikoa, Makatibu tawala wa mikoa, Wakuu wa Wilaya, Mabalozi, Majaji, Wakuu wa Mashirika ya Umma na Wenyeviti wa bodi za mashirika ya umma & Wakuu wote wa vyombo vya ulinzi na Usalama na mwisho kabisa anateuwa Wabunge kumi katika bunge la JMT.
Spika wetu yeye anateuwa Wenyeviti wa Kamati za Bunge na Wabunge 19 wasiokuwa na chama. Sasa kama ni mpambano Spika si lolote si chochote. Wateuzi wake wote hawana impact ya moja kwa moja kwa wananchi.
Spika Ndugai lazima atamke nimekosa nimekosa Mama nihurumie.
View attachment 2068769
Ni hayo kwa leo
Ngongo kwasasa Kibanda Maiti.
Mkuu hicho kifungu kipo au hakipo?Kwa Katiba yetu kumwondoa Rais ni ndoto za mchana.Hakuna uwezekano kabisa tena kabisa.
Mkuu wa muhimili mmoja ni Mwenyekiti wa ChamaUpo msuguano wa dhahiri baina ya Spika na Rais. Spika ni kiongozi wa Bunge “Bunge” na Rais ni Kiongozi wa Serekali “Executive”. Wote ni Wakuu wa mihimili hapa anakosekana Jaji Mkuu ambae ni Mkuu wa Mahakama.
Ukizitazama kwa makini misuguano baina ya Rais na Spika utaona dhahiri kila mmoja anapenda kuonyesha ukuu wake na matamanio ya madaraka.
Tukiirejelea Katiba yetu ambayo Rais karundukiwa madaraka mengi,sioni ni namna gani Spika ataweza kupambana na Rais.
Rais anateuwa Mawaziri, Makaribu Wakuu,Wakuu wa Mikoa, Makatibu tawala wa mikoa, Wakuu wa Wilaya, Mabalozi, Majaji, Wakuu wa Mashirika ya Umma na Wenyeviti wa bodi za mashirika ya umma & Wakuu wote wa vyombo vya ulinzi na Usalama na mwisho kabisa anateuwa Wabunge kumi katika bunge la JMT.
Spika wetu yeye anateuwa Wenyeviti wa Kamati za Bunge na Wabunge 19 wasiokuwa na chama. Sasa kama ni mpambano Spika si lolote si chochote. Wateuzi wake wote hawana impact ya moja kwa moja kwa wananchi.
Spika Ndugai lazima atamke nimekosa nimekosa Mama nihurumie.
View attachment 2068769
Ni hayo kwa leo
Ngongo kwasasa Kibanda Maiti.
Kipo lakini hatua zake ni ngumu sana kiutekelezaji.Mkuu hicho kifungu kipo au hakipo?
Nasimama na Spika
Tatizo ni katiba juu ya kifo na muda na ukomo wa kukaimu,huyu anakula faida ya udhaifu wa katiba lakini hakuchagiliwa na wajumbe,anatembelea nyota ya marehemuRais anawashambulia wenzake hadharani sana. Waziri wa Kilimo yalishamkuta haya juzi tu. Leo ilikuwa zamu ya Ndugai na Kassim.
Pia njaa inapiga hodi iko Namanga tokea Kenya,njaa itaua watu wengi mno this yearAchaneni na Ndugu Mfumuko wa bei upo juu, watu tunakata tamaa
Kwa vyovyote Ndugai ni mtetezi wa wapinzaniNdugai anaweza kumtoa rais kwa kuhamasisha kura ya kutokuwa na imani naye.
Udhaifu wa siasa zetu za upinzani wa kushindwa kutambua hakuna adui wala rafiki wa kudumu bali agenda ni mzigo.
Inashangaza sana wakubwa wanalumbana kuhusu 2025 badala ya kuhimiza kilimo cha umwagiliaji na wananchi kulima mazao ya muda mfupi kwa wingi.Pia njaa inapiga hodi iko Namanga tokea Kenya,njaa itaua watu wengi mno this year
Lengo lenu ni kumfarakanisha Ndugai kama mtu, kwani nyie hoja si hujibiwa kwa risasi au siku hizi mmeokoka?Kwa vyovyote Ndugai ni mtetezi wa wapinzani
Hiyo ndiyo CCM, uchaguzi ukiisha leo, kesho wanawaza uchaguzi ujao.Inashangaza sana wakubwa wanalumbana kuhusu 2025 badala ya kuhimiza kilimo cha umwagiliaji na wananchi kulima mazao ya muda mfupi kwa wingi.
Wewe ndio umeeleza kirahisi, unaishi bongo au Amerika?Umeeleza kirahisi sana, vita kati ya Raisi na Spika inategemea nani ana influence kubwa kwa wabunge. Ikiwa raisi ndio mwenye influence kubwa, anaweza kuhakikisha Ndugai hachaguliwi tena, ila Spika akiwa na ushawishi wa kutosha kwa wabunge, anaweza kumng'oa raisi madarakani kupitia impeachment.