johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Msukuma aambiwe Nape na Makamba si saizi yake.Mbunge wa Geita vijijini mh Msukuma amesema kuna wabunge wanadai kumkosoa hayati Magufuli siyo nongwa lakini sisi tunasema ni nongwa kwa sababu wabunge tumekula kiapo cha utii.
Msukuma alikuwa anampa taarifa mbunge wa makambako mh Jah people aliyesema wabunge wameingia bungeni kwa nguvu ya hayati Magufuli na wasaidizi wake mama Samia na mh Majaliwa
Jah people amesisitiza waliokosa teuzi wawe wavumilivu kwani wabunge ni wengi vyeo ni vichache.
Hayo ni majibu murua kwa wabunge waliopitishwa bila kupingwa January Makamba na Nape Nnauye.
Ramadhan Kareem!
Ccm laana ya wizi na ulaghai haitawaacha salamaMbunge wa Geita vijijini mh Msukuma amesema kuna wabunge wanadai kumkosoa hayati Magufuli siyo nongwa lakini sisi tunasema ni nongwa kwa sababu wabunge tumekula kiapo cha utii.
Msukuma alikuwa anampa taarifa mbunge wa makambako mh Jah people aliyesema wabunge wameingia bungeni kwa nguvu ya hayati Magufuli na wasaidizi wake mama Samia na mh Majaliwa
Jah people amesisitiza waliokosa teuzi wawe wavumilivu kwani wabunge ni wengi vyeo ni vichache.
Hayo ni majibu murua kwa wabunge waliopitishwa bila kupingwa January Makamba na Nape Nnauye.
Ramadhan Kareem!
Mbunge wa Geita vijijini mh Msukuma amesema kuna wabunge wanadai kumkosoa hayati Magufuli siyo nongwa lakini sisi tunasema ni nongwa kwa sababu wabunge tumekula kiapo cha utii.
Msukuma alikuwa anampa taarifa mbunge wa makambako mh Jah people aliyesema wabunge wameingia bungeni kwa nguvu ya hayati Magufuli na wasaidizi wake mama Samia na mh Majaliwa
Jah people amesisitiza waliokosa teuzi wawe wavumilivu kwani wabunge ni wengi vyeo ni vichache.
Hayo ni majibu murua kwa wabunge waliopitishwa bila kupingwa January Makamba na Nape Nnauye.
Ramadhan Kareem!
Kuna mdudu yuaitwa chura,ebwana hichi kiumbe kikikatiza kwenye lami afu kione fuso au semi inakuja kilipo,huwa kinajitutumua na kuvimba Kama the Rock ili tu Fuso liogope kupita!!! Ndo hawaaa msukukumaMsukuma aambiwe Nape na Makamba si saizi yake.
Hahahaaaa...... Mpinge kwa hoja bwashee!Kuna mdudu yuaitwa chura,ebwana hichi kiumbe kikikatiza kwenye lami afu kione fuso au semi inakuja kilipo,huwa kinajitutumua na kuvimba Kama the Rock ili tu Fuso liogope kupita!!! Ndo hawaaa msukukuma
Kiapo kinaendelea ndio maana mawaziri ni wale wale bwashee!Walikula Kiapo kwa Mtu aliyehai sio Marehemu
Darasa la saba wanatabu sana
Ngoja tuone!Hesabu zinazotumika na kina jk ni kali sana, hawa lasaba b hawatakuja kuamini macho yao! hao wanao wasema muda siyo mrefu watakuja kuwa mabosi wao. Hapo wametulizwa tu ila game itavyo change wasije kulialia.