Msukuma awajibu January na Nape asema kumkosoa hayati Magufuli ni nongwa kwa sababu wabunge wamekula viapo vya utii

Msukuma awajibu January na Nape asema kumkosoa hayati Magufuli ni nongwa kwa sababu wabunge wamekula viapo vya utii

Mbunge wa Geita vijijini mh Msukuma amesema kuna wabunge wanadai kumkosoa hayati Magufuli siyo nongwa lakini sisi tunasema ni nongwa kwa sababu wabunge tumekula kiapo cha utii.

Msukuma alikuwa anampa taarifa mbunge wa makambako mh Jah people aliyesema wabunge wameingia bungeni kwa nguvu ya hayati Magufuli na wasaidizi wake mama Samia na mh Majaliwa
Jah people amesisitiza waliokosa teuzi wawe wavumilivu kwani wabunge ni wengi vyeo ni vichache.

Hayo ni majibu murua kwa wabunge waliopitishwa bila kupingwa January Makamba na Nape Nnauye.

Ramadhan Kareem!
Mbunge Njaa People!
 
Kuna siku niliwahi leta uzi humu kuwa siku magufuli hayupo kuna wabunge watakuja kuchapana mgumi wenyewe kwa wenyewe kati ya wabunge wa yimu magu na wabunge wa timu jk bado kidogo litimie

Sent using Jamii Forums mobile app

Kimsingi ccm si wamoja, bali ilikuwa inabidi waungane kinafiki kwa hofu ya kupoteza dola kwa cdm. Sasa wako bungeni bungeni wenyewe, hawana cha kuwaungasha zaidi ya kupoteana kutokana na makundi yao. Inatakiwa hilo genge haramu la ccm ligawanyike ili nchi hii ipone.
 
Bunge linaweza kumuondoa waziri mkuu na rais . Swala la utii labda kwa mungu sio kwa binadamu.
Tatizo kubwa la bunge letu ni kutokujua wajibu wao. Wengi wanadhani wako pale bungeni kuitetea serikali. Kazi ambayo ni ya mawaziri. Wao badala ya kuisimamia serikali na kuiwajibisha wamekuwa waimba mapambio ya kusifu serikali.
 
Naona hii awamu ya Samia itaisha bahati mbaya kama ilivyokuja kibahati mbaya, huko bungeni mpaka wamalize kubishana hii mipasho yao waanze kujadili mambo ya msingi itakuwa ni September 2025.
Na mama Rais asiwaingilie, awaache tu, mpaka wanakuja kushtuka 2035, anamalizia muda wake!

Mijinga sana, shenzitype!
Shida, raha za majimbo atatusemea nani??

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Kuna watu huitwa waasi. Jina hili hupewa na watu waliokataa kuwatii. Mtu akiitwa mwasi si lazima awe mtu mbaya. Hivohivo kutotii si lazima uwe mbaya mana inategemea unakataa kutii nini au nani kwa sababu gani!
 
Kuna watu huitwa waasi. Jina hili hupewa na watu waliokataa kuwatii. Mtu akiitwa mwasi si lazima awe mtu mbaya. Hivohivo kutotii si lazima uwe mbaya mana inategemea unakataa kutii nini au nani kwa sababu gani!
Nimekuelewa bwashee!
 
Upumbavu ni kipaji.

Wakati mwingine unamuelewa Mwakyembe aliposema mtu wa darasa la 7 hawezi kumwambia kitu

Legacy haitetewi
 
Mbunge wa Geita vijijini mh Msukuma amesema kuna wabunge wanadai kumkosoa hayati Magufuli siyo nongwa lakini sisi tunasema ni nongwa kwa sababu wabunge tumekula kiapo cha utii.

Msukuma alikuwa anampa taarifa mbunge wa makambako mh Jah people aliyesema wabunge wameingia bungeni kwa nguvu ya hayati Magufuli na wasaidizi wake mama Samia na mh Majaliwa
Jah people amesisitiza waliokosa teuzi wawe wavumilivu kwani wabunge ni wengi vyeo ni vichache.

Hayo ni majibu murua kwa wabunge waliopitishwa bila kupingwa January Makamba na Nape Nnauye.

Ramadhan Kareem!
Msukuma ni illiterate inafaa apuuzwe.


Kukosoa serikali ni moja kati ya jukumu LA msingi LA wabunge.

Wabunge wakiwa waimba mapambio check and balance katika nchi inakosekana

Who will keep the president in check kama wabunge wakikaa kimya.

Hamna kiapo cha wabunge kinachowaamrisha kupokea kila jambo kutoka kwa rais in fact kazi ya mbunge ni kutetea maslahi ya wananchi wake waliomchagua kama muwakikishi wao.
 
Wameshaanza kutoana damu wenyewe kwa wenyw sisi yetu macho tu
 
Mbunge wa Geita vijijini mh Msukuma amesema kuna wabunge wanadai kumkosoa hayati Magufuli siyo nongwa lakini sisi tunasema ni nongwa kwa sababu wabunge tumekula kiapo cha utii.

Msukuma alikuwa anampa taarifa mbunge wa makambako mh Jah people aliyesema wabunge wameingia bungeni kwa nguvu ya hayati Magufuli na wasaidizi wake mama Samia na mh Majaliwa
Jah people amesisitiza waliokosa teuzi wawe wavumilivu kwani wabunge ni wengi vyeo ni vichache.

Hayo ni majibu murua kwa wabunge waliopitishwa bila kupingwa January Makamba na Nape Nnauye.

Ramadhan Kareem!
Musukuma,jiandae 2025 kwenda kuchunga ng'ombe kule Nzera ,Geita
 
Huyu std 7 tena la kuvizia mpuuzeni, akili za namna hii ndivyo zilivyo. huwa hazina akili kabisa.
 
Msukuma alikuwa anampa taarifa mbunge wa makambako mh Jah people aliyesema wabunge wameingia bungeni kwa nguvu ya hayati Magufuli na wasaidizi wake mama Samia na mh Majaliwa
Hivi wewe ngosha asikoselewe kwani yeye ni Mungu?
Acha akoselewe kwani yeye ni binadamu. acheni ungosha wenu!
 
Back
Top Bottom