Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Mwizi akikosa cha kuiba, hujiibia hata yeye mwenyewe!CHadema walikuwa jumba bovu ndani ya Bunge na sasa hawapo hizi sarakasi zitaendelea kilasiku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwizi akikosa cha kuiba, hujiibia hata yeye mwenyewe!CHadema walikuwa jumba bovu ndani ya Bunge na sasa hawapo hizi sarakasi zitaendelea kilasiku
Kiapo kinaendelea ndio maana mawaziri ni wale wale bwashee!
Huyo atakuwa kibaka!Mwizi akikosa cha kuiba, hujiibia hata yeye mwenyewe!
Msukuma aambiwe na nani? Hao hao wenyewe wapambane nae kwa kumuelimisha na maneno yake yanayoshabikiwa na Ndugai!!! Mtu anasema bungeni eti matajili wote duniani hawajasoma na watu bungeni mnakubaliana na ujinga huo?? Matajili anaosema hawajasoma ni hao hao majambazi wenzie waliopata utajili kwa wizi!! Huko kwingine kwenye nchi za wenyewe MSUKUMA angekua jela kwa udanganyifu wa kupata hela benki na KUPARK kesi !!!Msukuma aambiwe Nape na Makamba si saizi yake.
Sasa mawaziri akina Silinde mbona walikula kiapo kwa mwendazake na bado wanadunda barazani?!!Kiapo ni batili mtu akishakufa mzee,
Hakuna viapo vya marehemu Mkuu, kama unapenda viapo subiri ukifa ukaendelee na viapo vyenu huko udongon
Ni ......matajiri mkuu!Msukuma aambiwe na nani? Hao hao wenyewe wapambane nae kwa kumuelimisha na maneno yake yanayoshabikiwa na Ndugai!!! Mtu anasema bungeni eti matajili wote duniani hawajasoma na watu bungeni mnakubaliana na ujinga huo?? Matajili anaosema hawajasoma ni hao hao majambazi wenzie waliopata utajili kwa wizi!! Huko kwingine kwenye nchi za wenyewe MSUKUMA angekua jela kwa udanganyifu wa kupata hela benki na KUPARK kesi !!!
Hahahaaaa..... Msukuma hajui maana ya tajiri.Msukuma aambiwe na nani? Hao hao wenyewe wapambane nae kwa kumuelimisha na maneno yake yanayoshabikiwa na Ndugai!!! Mtu anasema bungeni eti matajili wote duniani hawajasoma na watu bungeni mnakubaliana na ujinga huo?? Matajili anaosema hawajasoma ni hao hao majambazi wenzie waliopata utajili kwa wizi!! Huko kwingine kwenye nchi za wenyewe MSUKUMA angekua jela kwa udanganyifu wa kupata hela benki na KUPARK kesi !!!
Musukuma elimu ndogo. Anafikiri kiapo alichokula bungeni kilikua ni kiapo cha kulitii JIWE. Jeshi ndilo linaapa kiapo cha kumtii Amiri Jeshi Mkuu. Yeye mbunge anaapa kuilinda na kuitunza KATIBA.Viapo hivi vya kutomkosoa dikteta walikula lini na wapi? Na mwenye hicho kiapo atuwekee hapa.
Duuh.... La Saba B.Hesabu zinazotumika na kina jk ni kali sana, hawa lasaba b hawatakuja kuamini macho yao! hao wanao wasema muda siyo mrefu watakuja kuwa mabosi wao. Hapo wametulizwa tu ila game itavyo change wasije kulialia.
Kwahiyo amechanganya madesa?Musukuma elimu ndogo. Anafikiri kiapo alichokula bungeni kilikua ni kiapo cha kulitii JIWE. Jeshi ndilo linaapa kiapo cha kumtii Amiri Jeshi Mkuu. Yeye mbunge anaapa kuilinda na kuitunza KATIBA.
Bungeni!Waliapa kwa Jiwe au Bungeni?
Kuna upotoshaji mkubwa unaendelea hivi sasa huko Bungeni, inasikitisha na kutisha hoja za HOVYO zinazojadiliwa na kupigiwa meza!Sasa mawaziri akina Silinde mbona walikula kiapo kwa mwendazake na bado wanadunda barazani?!!
Sasa mawaziri akina Silinde mbona walikula kiapo kwa mwendazake na bado wanadunda barazani?!!
Well said my friend!!!Walikula Kiapo kwa Mtu aliyehai sio Marehemu
Darasa la saba wanatabu sana
Well said my friend!!!
Msukuma, Lusinde, Josephat Gwajima inaonekana wana lao jambo nyuma ya pazia ndio maana wanatumia nguvu mnoo kwenye hoja zao to the extent kwamba inakuwa inaku ni vigumu sana kueleweka na watu wenye upeo wa kuelewa mambo.
La 7 B lina wanafunzi saba Jah people, Msukuma, Kibajaji, Tabasamu, Kishimba Babu Tale na KinanasiLa Saba wamejaa mipasho kwenye jumba la Maisha ya Watu .La saba wanazidi kuonyesha Ulaasaba Wao. MDA NI MWALIMU MZURI NGOJA TUONE CCM imegawanyika vipandevipande bungeni
Kuna siku niliwahi leta uzi humu kuwa siku magufuli hayupo kuna wabunge watakuja kuchapana mgumi wenyewe kwa wenyewe kati ya wabunge wa yimu magu na wabunge wa timu jk bado kidogo litimieMbunge wa Geita vijijini mh Msukuma amesema kuna wabunge wanadai kumkosoa hayati Magufuli siyo nongwa lakini sisi tunasema ni nongwa kwa sababu wabunge tumekula kiapo cha utii.
Msukuma alikuwa anampa taarifa mbunge wa makambako mh Jah people aliyesema wabunge wameingia bungeni kwa nguvu ya hayati Magufuli na wasaidizi wake mama Samia na mh Majaliwa
Jah people amesisitiza waliokosa teuzi wawe wavumilivu kwani wabunge ni wengi vyeo ni vichache.
Hayo ni majibu murua kwa wabunge waliopitishwa bila kupingwa January Makamba na Nape Nnauye.
Ramadhan Kareem!