Uchaguzi 2020 Msumari hatari kwa Mwigulu Nchemba

Kosa lake kuu ni kukariri darasa la saba.
Hayo mengine yote ni 'yatokanayo'
Naona Pasko alimuuliza hilo swali hakujibu.

Anyways kila mtu ana siri yake ambayo asingetaka watu waijue.
 
Naona Pasko alimuuliza hilo swali hakujibu.

Anyways kila mtu ana siri yake ambayo asingetaka watu waijue.
Anaweza kuwadanganya watu wengine sio watu wa kata anayotoka mwigulu (kyengege)
 
Hili jimbo ni la Kitila Mkumbo basi tu CHADEMA 2015 walijikoroga kwa kuwafukuza na Zitto. Kitila kachukue jimbo lako uwakomboe wajomba zangu. Please Professor wajomba zangu wanakuhitaji.
 
Kama una taarifa zote hizo peleka Polisi waambie wamkamate wamshitaki.. Unatwambia sisi ili iweje?

Mlipokuwa mnashiriki naye hivyo vikao vya mauaji mbona ulikuwa kimya? Unatueleza leo ili iweje? Alivyotajwa kipindi kile cha mabomu Arusha mbona mlimtetea?

Upumbavu wenu Wa kujifanya mna huruuuma na Wananchi kipindi cha Uchaguzi pekee kawahurumieni Mama zenu.

Hamna M-CCM mwenye roho ya Ubinadamu hata mmoja. Wote ni mumiani, wanyonya damu.. Mkitofautiana kimaslahi ndiyo mnajifanya kujitokeza hadharani kuchafuana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pumbavu sana, kwahiyo kutusaidia watu wa MAKETE,Njombe wewe kimekuuma sana. Mbinafsi kubwa wewe. Kwanza uelewa wako wa Jografia ya Tanzania ni ziro, Makete haipo Iringa.
 
KAMA HUMJUI MWIGULU NCHEMBA KAA KIMYA NI MTU MWENYE ROHO YA PEKE YAKE USIMLINGANISHE NA KITILA.

Sisi wanairamba tunayemjua tunakushangaa sana

Mwigulu ni mtu mwenye roho ya kipekee mno.

Nakumbuka Mwigulu alipokuwa anatafuta ubunge, alikuwa anatumia tax ya mtoto wa Kipakulo alipopata ubunge akawa dreva wake kwa muda, alipoteuliwa na chama na kupewa dreva wa Chama Mwigulu hakumuacha Ally na kumuambia aache udreva tax wa kuajiriwa akachague tax yake mpya showroom. Ally alichagua mwenyewe na mwigulu akailipia. Na kwa sasa Ally alipata zake connection anaendesha gari za halmshauri na maisha yanaendelea vizuri na familia yake.

Huyu Mwigulu alifundishwa na Mwl Malumbi mpaka akafaulu, alipoanza ubunge alikuta Mwl wake hana nyumba mwigulu akamnunulia nyumba mwalimu wake na iko makunda, sio wote wanaweza kufanya hivyo niambie ni nani huwa anakumbuka walimu wake?

Mwigulu alifundishwa darasa la kwanza na Mwalimu Mkumbo, alipougua Mwalimu Mkumbo huyo mwigulu alimpeleka kufanyiwa Matibabu India kwa zaidi ya miezi mitano na anaishi naye kama mama yake Mzazi, sio kila mtu ana roho kama hiyo.

Mwigulu aliwasaidia wasaidizi wake wa karibu wote wakapata nyenzo za kazi akina Sanga, Reuben wote magari, akina Mtela, Shonza, Kimeta, na wengine wachache niliowafahamu nikiwa msaidizi wake. Hata mimi siku hizi sifanyii kazi kitendea kazi cha kuazima. Ni nani alikuwa karibu na Mwigulu akashindwa kutimiza ndoto zake. Watu wengi huwa hawataki watu walio nao wapande juu lakini Mwigulu kapelekea vijana wengi watimize ndoto zao.



Mwigulu alikuwa anakuja na Mabati zaidi ya 1000 anawaita waislamu anawambia kaezekeni misikiti iliyofikia hatua ya kuezekwa. Hivyo hivyo kwa Makanisa, UKWATA SGD aliwapa NOAH mpya kabisa. Ni miongoni mwa watu ambao wamekuwa karibu sana na taasisi za kidini. Unaweza kusema ni jambo la kisiasa lakini wanasiasa ni wangapi na mbona wote hawafanyi hivyo?

Mwigulu amesomesha watoto sasa ni zaidi ya 300 na sio ndugu zake mpaka vyuo vikuu na sasa wako kwenye ajira, alikuwa anapewa mikutanoni tu. Wa ndugu zake ndio kabisaaaaaa, yeye ni baba wa wote, wote wako kwake na wanishi kwake. Unapomtembelea Mwigulu kwake huwezi kutofautisha watoto wake wan kuwazaa na wa wengine. Imekuwa ni familia ya watu wote. Nadhani watu wazima wenzangu tuna jambo la kujifunza kutoka kwa Mwigulu.



Mwigulu alipokuwa naibu Katibu Mkuu CCM alisaidia vijana wengi kupata ajira nimeshuhudia wakina Daudi Madelu, Julias, Peter, Mama Zingula, Khadija Magolanga Aunt Zuhura, Abel Makala, Mwimba mashairi wa singida,, Miraji Mtaturu, mbali na hao aliwasaidia baadhi kuingia serkalini kama Fadhili, Wilson na wengine wengi.

Mwigulu anapokuwa jimboni huwa anakuja analipa mchango kwa niaba ya Kijiji, Ameanzisha Miradi ya kujenga kama HOSTELS za sekondari za kila kata, ambapo kwa hii Singida hakuna anayefanya hivyo. Kambi za wanafunzi wahitimu anatoa chakula, sio kila mtu anafanya hivyo. Niambie ni nani anafanya hivyo kama siyo Mwigulu

Mwigulu hata kama hakujui, ukimwomba msaada Instagram anakuomba namba ya Mpesa, watu wengi hata hafahamiani nao kakutana nao kwenye mitandao ya kijamii mtu anaeleza shida yake na anatatuliwa. Kuna wakati mwingine unaweza ukakufuru kwa roho ya Mwigulu. Naomba tuongee machache huyu siyo wa kufananisha na mtu ambaye kwao alikimbilia kujenga kilabu cha pombe za kienyeji.

Ngoja tu niishie hapo ila ya Mwigulu ni mengi sana katika jamii aliyoyafanya, Acha kumchafua Mwigulu kama humjui, Hata hiyo lugha ya Mamba tatizo ni shule yako umefeli kutafasiri, maana yake ana nguvu kubwa sana jimboni kwa moyo wake huo, mithili ya MAMBA AWAPO KINA KIREFU CHA MAJI, Kwa elimu yako mtoa hoja usikute hata mithili huijui.

Unaongelea damu za watu, mbona waliopiga mabomu walipatikana na walikiri makosa? kwa akili zako mwigulu na kufahamika kote abebe bomu akapige mkutano? Ili apate nini? Tumia akili wewe jamaa za kuambiwa changanya zako.



KWA TAARIFA KITILA MKUMBO ANAYEKUTUMA KUMCHAFUA MWIGULU NDIO MIKONO YEKE INANUKA DAMU, WALIKUJA NA WENZAKE NDAGO WAKIWA KWENYE MKUTANO WA HADHARA WAKAMUUA JACKSON ALIYEKUWA AKIMTETEA MWIGULU, WAMEMCHOMA VISU MCHANA KWEUPE NA KITILA MKUMBO AKIWEPO MWENYEWE. NDIO MAANA HAKUBALIKI IRAMBA, KURA LABDA APATE MITANDAONI, IRAMBA ATAKUTANA NA MSIBA HUU. ASANTE MUNGU KWA AJILI YA MWIGULU, ALIMJENGEA NYUMBA MAMA MZAZI WA KIJANA ALIYEUWAWA, NA ANAISHI NA YATIMA WALE WALIOACHWA NA ANAWASOMESHA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…