KWELI Msumbiji: Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho

KWELI Msumbiji: Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
Zipo taarifa zinadai kuwa Jeshi la Tanzania katika wilaya ya Nangade, Cabo Delgado waliingia kwenye mtego wa Magaidi katika kijiji cha Vondanhar, eneo la Palma. Aidha inadaiwa Jeshi la Tanzania lilikuwa likisafiri kwa magari ya kivita sambamba na jeshi la Msumbiji. Magari matatu ya jeshi la Tanzania yamechomwa moto na baadhi ya Silaha kuharibiwa.

Taarifa iliyotolewa na kikundi cha Kigaidi cha IS, imedai wamekamata baadhi ya Silaha ikiwemo Chinese Type 81-1 assault rifle pamoja na 12.7x108mm Type 54 HMG ya kwenye gari.

Zaidi inaelezwa kuwa haya ni magari ya JWTZ yapo chini ya himaya ya magaidi.

1669096815282.png

1669096826864.png
 
Tunachokijua
Msumbiji ilianza kupokea mashambulio ya kigaidi tangu Oktoba 17, 2017. Baadhi ya vyanzo vinaonesha Mashambulizi hayo yalikuwa na nia ya kupinga utamaduni wa magharibi, hata hivyo baadhi yameonesha nyuma ya mashambulizi hayo kuna suala la kiuchumi kwa kuwa mashambulizi yalianza miaka kadhaa baada ya kugundulika kwa gesi na rubi katika Jimbo la Cabo Delgado.

Jimbo la Cabo Delgabo ni jimbo la kaskazini mwa Msumbiji ambalo linapakana na mkoa wa Mtwara ulio kusini mwa Tanzania. Kwa sababu hiyo usalama wa Cabo Delgado ulionesha kuwa ni usalama wa Tanzania. Novemba 15, 2021, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan alitoa sababu ya kutoa majeshi ya Tanzania kwenda kusaidia kulinda amani nchini Msumbiji.

Majeshi ya Tanzania yaliingia nchini Msumbiji kwa makubaliano ya Mpango wa Jumuiya ya Nchi za kusini mwa Afrika (SADC) ambapo jumla ya nchi sita ziliazimia kutoa jumla ya askari 3000 kulinda amani eneo hilo, Tanzania ikiwa ni moja wa nchi hizo, nchi nyingine zikiwa ni Malawi, Afrika Kusini, Angola, Botswana na Zimbabwe.

Kuvamiwa na Maagaidi
Taarifa za askari wa Tanzania walioko Msumbiji kuvamiwa zilitufikia Novemba 19, 2022. Chanzo chetu cha uhakika kimefuatilia na kubaini kuwa uvamizi huu ulitokea tarehe 15 Novemba 2022 lakini hayo magari hayapo mikononi kwa Magaidi kama ilivyoripotiwa.

Aidha, Kutokana na unyeti wa jambo hili, hatutaweka taarifa za kina zaidi.
Mkuu hakuna wanajeshi waliopoteza maisha, ambush ilitokea kwa mbele na askari walikuwa wanatoka kuchukua maji walikuwa 24 tu ghafla ndio wakatokea kwa mbele hao jamaa na kuanza kushambulia msafara wa askari wetu, askari nao wakaanza kujibu ndio jamaa wakaanza kushambulia msafara kwa rpg askari wetu wakashuka kwenye magari na kuingia kwenye mapori waasi waliogopa kuingia porini hvy waliishia hapo hapo, waasi walikuwa kama 50 na zaidi kdg ila waliondoka na silaha baadhi kama hiyo 12mm na pia gari moja tlc ambayo ilifungwa hiyo 12mm.

Mungu mwema askari wetu hakuna ata mmoja ameumia na doria za kusaka jamaa walipo zinaendelea japo kuna ugumu kdg kutokana maeneo hayo yote vijiji ni mahame matupu, kuongezea tu ni kuwa nao jamaa ndio wale wale wa kibiti walifurushwa kibiti wakaingia mtwara baadae Mozambique ndio hao hao na majuzi tu askari wa msumbiji watano wamechinjwa na video kurshwa mwenyew mitandio ya kijihad kote duniani.
mapigano kutoka kuwa ya silaha hadi ya RPG hlf asife mtu sidhan na sihamin
 
Hakuna kazi ngumu kama kupambana na adui anaye fanana na raia.
Ila sijajua tanzania infaidika vip kununua ugomvi ikiwa hatujui iwapo huenda hao magaidi wanazalishwa hapa Tanzania. na kuenda kupigana huko msumbiji. kwa sababu hao magaidi nimewahi kusikiliza video yao moja inaoneka wanaongea kiswahili pure kabisa cha hapa Tanzania.
 
MADAI
Zipo taarifa zinadai kuwa Jeshi la Tanzania katika wilaya ya Nangade, Cabo Delgado waliingia kwenye mtego wa Magaidi katika kijiji cha Vondanhar, eneo la Palma. Aidha inadaiwa Jeshi la Tanzania lilikuwa likisafiri kwa magari ya kivita sambamba na jeshi la Msumbiji. Magari matatu ya jeshi la Tanzania yamechomwa moto na baadhi ya Silaha kuharibiwa.

Taarifa iliyotolewa na kikundi cha Kigaidi cha IS, imedai wamekamata baadhi ya Silaha ikiwemo Chinese Type 81-1 assault rifle pamoja na 12.7x108mm Type 54 HMG ya kwenye gari.

Zaidi inaelezwa kuwa haya ni magari ya JWTZ yapo chini ya himaya ya magaidi.

Mleta taarifa sijakuelewa, maana hujathibitisha kam ni taarifa ya kweli au uzushi hali umeileta ktk page ambayo ulitakiwa uwe na taarifa kamili ndo ulete hapa
 
Mkuu hakuna wanajeshi waliopoteza maisha, ambush ilitokea kwa mbele na askari walikuwa wanatoka kuchukua maji walikuwa 24 tu ghafla ndio wakatokea kwa mbele hao jamaa na kuanza kushambulia msafara wa askari wetu, askari nao wakaanza kujibu ndio jamaa wakaanza kushambulia msafara kwa rpg askari wetu wakashuka kwenye magari na kuingia kwenye mapori waasi waliogopa kuingia porini hvy waliishia hapo hapo, waasi walikuwa kama 50 na zaidi kdg ila waliondoka na silaha baadhi kama hiyo 12mm na pia gari moja tlc ambayo ilifungwa hiyo 12mm.

Mungu mwema askari wetu hakuna ata mmoja ameumia na doria za kusaka jamaa walipo zinaendelea japo kuna ugumu kdg kutokana maeneo hayo yote vijiji ni mahame matupu, kuongezea tu ni kuwa nao jamaa ndio wale wale wa kibiti walifurushwa kibiti wakaingia mtwara baadae Mozambique ndio hao hao na majuzi tu askari wa msumbiji watano wamechinjwa na video kurshwa mwenyew mitandio ya kijihad kote duniani.
Nyie watz waga ni watu wang....ese tu na akili za kuku hampendi kabisa kuusikia ukweli wala kuujua ukweli sasa unabisha nini na wakati kuna askar zaid ya 10 maiti zao zimepokelewa leo airport na wameuawa kwenye iyo ambushi na bado kuna wengine wengi tu ambao ni majeruhi
 
Mkuu hakuna wanajeshi waliopoteza maisha, ambush ilitokea kwa mbele na askari walikuwa wanatoka kuchukua maji walikuwa 24 tu ghafla ndio wakatokea kwa mbele hao jamaa na kuanza kushambulia msafara wa askari wetu, askari nao wakaanza kujibu ndio jamaa wakaanza kushambulia msafara kwa rpg askari wetu wakashuka kwenye magari na kuingia kwenye mapori waasi waliogopa kuingia porini hvy waliishia hapo hapo, waasi walikuwa kama 50 na zaidi kdg ila waliondoka na silaha baadhi kama hiyo 12mm na pia gari moja tlc ambayo ilifungwa hiyo 12mm.

Mungu mwema askari wetu hakuna ata mmoja ameumia na doria za kusaka jamaa walipo zinaendelea japo kuna ugumu kdg kutokana maeneo hayo yote vijiji ni mahame matupu, kuongezea tu ni kuwa nao jamaa ndio wale wale wa kibiti walifurushwa kibiti wakaingia mtwara baadae Mozambique ndio hao hao na majuzi tu askari wa msumbiji watano wamechinjwa na video kurshwa mwenyew mitandio ya kijihad kote duniani.
Kwanini Yule CID wa Kilindi asirudishwe Tena kibiti?
Yule jamaa mashine sanaaa.
 
Nyie watz waga ni watu wang....ese tu na akili za kuku hampendi kabisa kuusikia ukweli wala kuujua ukweli sasa unabisha nini na wakati kuna askar zaid ya 10 maiti zao zimepokelewa leo airport na wameuawa kwenye iyo ambushi na bado kuna wengine wengi tu ambao ni majeruhi
Inasikitisha sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hebu tuongee ukweli...
Jeshi la kibongo ni la kichovu East Africa nzima...
Wanakula tu kodi zetu, kulala bure, kula bure na msharaha juu...
kazi yao kuonea na kutisha na kupasua matofali uwanja wa taifa......
Maiti zimepita Uwanja wa ndege kimyakimya.......
Hebu waangalie hawa hapa na mikwala yao lakini ni mafisi wakubwa..ni aibu sana
Halafu kila siku wanatuseveza eti wanalinda nchi ndio maana ina amani kumbe wabongo ni makondooo.... 🤣🤣

1670112094714.png
 
Mkuu hakuna wanajeshi waliopoteza maisha, ambush ilitokea kwa mbele na askari walikuwa wanatoka kuchukua maji walikuwa 24 tu ghafla ndio wakatokea kwa mbele hao jamaa na kuanza kushambulia msafara wa askari wetu, askari nao wakaanza kujibu ndio jamaa wakaanza kushambulia msafara kwa rpg askari wetu wakashuka kwenye magari na kuingia kwenye mapori waasi waliogopa kuingia porini hvy waliishia hapo hapo, waasi walikuwa kama 50 na zaidi kdg ila waliondoka na silaha baadhi kama hiyo 12mm na pia gari moja tlc ambayo ilifungwa hiyo 12mm.

Mungu mwema askari wetu hakuna ata mmoja ameumia na doria za kusaka jamaa walipo zinaendelea japo kuna ugumu kdg kutokana maeneo hayo yote vijiji ni mahame matupu, kuongezea tu ni kuwa nao jamaa ndio wale wale wa kibiti walifurushwa kibiti wakaingia mtwara baadae Mozambique ndio hao hao na majuzi tu askari wa msumbiji watano wamechinjwa na video kurshwa mwenyew mitandio ya kijihad kote duniani.
Ukweli ni kuwa ambush ilitokea.

Ambush mara nyingi adui anakusoma kwanza na anapiga pale anapoona panauma sana. Sasa kama msafara ulikua na magari na wanajeshi wapo loaded, physically seen, basi RPG itapigwa pale penye wengi as target sio mkubwa wa msafara bali askari wengi wafe...thus kutuambia askari wote walikimbilia polini wkt RPG inapulizwa na hakuna aliyekufa ni utoto.

Toeni taarifa za kweli. Kuna ile walivamia vijiji kbs mpakani wakafa like 26 soldiers nayo ilifichwa. Kwa maslahi ya nani????

Ni kawaida, mnapopigana na magaidi, hata muwe imara kiasi gani, kuna siku mtapata hasara tu. So, askari wamepotea, tuongeze mbinu za mapambano hasa inteligencia...kujua mapema mipango ya adui na kuivunja kabla hajaleta madhara!
 
Ukweli ni kuwa ambush ilitokea.

Ambush mara nyingi adui anakusoma kwanza na anapiga pale anapoona panauma sana. Sasa kama msafara ulikua na magari na wanajeshi wapo loaded, physically seen, basi RPG itapigwa pale penye wengi as target sio mkubwa wa msafara bali askari wengi wafe...thus kutuambia askari wote walikimbilia polini wkt RPG inapulizwa na hakuna aliyekufa ni utoto.

Toeni taarifa za kweli. Kuna ile walivamia vijiji kbs mpakani wakafa like 26 soldiers nayo ilifichwa. Kwa maslahi ya nani????

Ni kawaida, mnapopigana na magaidi, hata muwe imara kiasi gani, kuna siku mtapata hasara tu. So, askari wamepotea, tuongeze mbinu za mapambano hasa inteligencia...kujua mapema mipango ya adui na kuivunja kabla hajaleta madhara!
Umeshauri vema,wajue mipango ya adui na kuivunjilia mbali.
 
pole sana jeshi letu na kama kweli tuna nia ya kuongoza operation mbalimbali especially nje ya nchi yapasa tujipange na tuache siasa,no wonder watu wamekufa na taarifa zinabaki kuwa siri hiyo inajulikana.Na kwa jinsi watu walivyorelax huko mahali fulani sijui wakiamua itakuwaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MADAI
Zipo taarifa zinadai kuwa Jeshi la Tanzania katika wilaya ya Nangade, Cabo Delgado waliingia kwenye mtego wa Magaidi katika kijiji cha Vondanhar, eneo la Palma. Aidha inadaiwa Jeshi la Tanzania lilikuwa likisafiri kwa magari ya kivita sambamba na jeshi la Msumbiji. Magari matatu ya jeshi la Tanzania yamechomwa moto na baadhi ya Silaha kuharibiwa.

Taarifa iliyotolewa na kikundi cha Kigaidi cha IS, imedai wamekamata baadhi ya Silaha ikiwemo Chinese Type 81-1 assault rifle pamoja na 12.7x108mm Type 54 HMG ya kwenye gari.

Zaidi inaelezwa kuwa haya ni magari ya JWTZ yapo chini ya himaya ya magaidi.


Vipi na vijana wangu wako kwenye hali gani.
Au walilala mbele wakatelekeza magari ndio maana magaidi wakayachukua kiulaini
 
Hebu tuongee ukweli...
Jeshi la kibongo ni la kichovu East Africa nzima...
Wanakula tu kodi zetu, kulala bure, kula bure na msharaha juu...
kazi yao kuonea na kutisha na kupasua matofali uwanja wa taifa......
Maiti zimepita Uwanja wa ndege kimyakimya.......
Hebu waangalie hawa hapa na mikwala yao lakini ni mafisi wakubwa..ni aibu sana
Halafu kila siku wanatuseveza eti wanalinda nchi ndio maana ina amani kumbe wabongo ni makondooo.... [emoji1787][emoji1787]

View attachment 2435030
Eh mungu jaalia huyu mbuzi aendelee kuamini pumba aliyoiandika kwa kuendelea kuiruzuku amani nchi hii .
Maanake bila hivi atakua ombaomba nje ya nchi hi pengine lilitokea la kutokea.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom