KWELI Msumbiji: Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
hakuna jambo baya kama kushtukiza hata marekani mwenyewe alishafanyiwa hivi na ubabe wake wote
 
Watuachie magari yetu
 
Muhimu hakuna vifo wala majeruhi

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hakuna wanajeshi waliopoteza maisha, ambush ilitokea kwa mbele na askari walikuwa wanatoka kuchukua maji walikuwa 24 tu ghafla ndio wakatokea kwa mbele hao jamaa na kuanza kushambulia msafara wa askari wetu...
hii sitaki kuisikia yani kakikundi kadogo hivio haka silaha magali kambi madawa chakula kanaazaje kusumbua nchi atimae nchi 5 kujikusanya kupeleka nguvu huko,nyiyi mko wengi fanya halaka mfute hako kakikundi
 
tanzania tuko salama hakuna gaidi uganda zambia malawi kongo burundi rwanda kenya somali pote huko kuna watu wanaongea kiswahili kama cha tz lakini sio watzn
 
Mleta taarifa sijakuelewa, maana hujathibitisha kam ni taarifa ya kweli au uzushi hali umeileta ktk page ambayo ulitakiwa uwe na taarifa kamili ndo ulete hapa
hizo namba za magali yalio chomwa moto ni buludi sindio?
 
picha tafadhari
 
Hebu tuongee ukweli...
Jeshi la kibongo ni la kichovu East Africa nzima...
Wanakula tu kodi zetu, kulala bure, kula bure na msharaha juu...
unawatukana watoto wa samia? ujui kuwa vita haina mcho
 
akili yako nyingi sana nimechukua kiasi
 
hii sitaki kuisikia yani kakikundi kadogo hivio haka silaha magali kambi madawa chakula kanaazaje kusumbua nchi atimae nchi 5 kujikusanya kupeleka nguvu huko,nyiyi mko wengi fanya halaka mfute hako kakikundi
Buni hadithi sasa. Ambush unajua maana yake, hata mkeo akikuambush anakupiga kama mtoto. Vita sio movie kama za kina Rambo, ndio maana unaona Russia hajatimiza malengo kwa wakati Ukraine
 
Umelala ndani unalishwa chakula ujui watu wanafanya kazi gani. Unadiliki kudharau Jeshi la nchi yako. Huo ni utomvu wa nidhamu
INABIDI KILA MWANANCHI APITE UZALENDO KWANZA ILI KUITHAMINI NCHI YAKE MWENYEWE
 
Umelala ndani unalishwa chakula ujui watu wanafanya kazi gani. Unadiliki kudharau Jeshi la nchi yako. Huo ni utomvu wa nidhamu
INABIDI KILA MWANANCHI APITE UZALENDO KWANZA ILI KUITHAMINI NCHI YAKE MWENYEWE
kama wewe unalala nje hilo ni tatizo lako
siwezi thamini jeshi la wapumbavu, linalotumika kuwanyonya wananchi
 
kama wewe unalala nje hilo ni tatizo lako
siwezi thamini jeshi la wapumbavu, linalotumika kuwanyonya wananchi
Tukumbuke tulikotoka.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…