ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kudos Wadau.
Tunaendelea na vituko vya Walokole.
Mchungaji mmja aliyejulikana Kwa jina la Francisco Barajah wa huko Msumbiji amefariki akiwa kwenye mfungo wa siku 40 Akijaribu kuifikia rekodi ya Bwn.Yesu.
Nyie Wachungaji Yesu alikuwa ni roho nyie mnaigiza mambo yaliyo Nje ya uwezo wenu.
Hawa watu hawajifunzi tuu? Kuna Mwingine Nigeria alikufa Akijaribu kutembea kwenye Maji ya Bahari kama Yesu.Waajinga ndio waliwao acha wafe Kwa kukosa maarifa [emoji116]
----
Mchungaji Francisco Barajah wa kanisa la kiinjili la Santa Trindade katika jimbo la kati la Manica Msumbiji amefariki dunia baada ya kufunga kwa siku 40 akijaribu kufikia rekodi iliyofikiwa na Yesu kwenye Mlima wa Mizeituni wa Biblia.
Alifariki alipokuwa akitibiwa katika hospitali ya Beira ambako alihamishwa akiwa katika hali mbaya.
Baada ya siku 25 za kufunga, alikuwa amepungua uzito sana hadi hakuweza kusimama, kuoga au kutembea.
Siku kadhaa baadaye, kwa msisitizo wa ndugu na waumini, alipelekwa hospitalini lakini jitihada za kumrejesha kwenye afya hazikufaulu.
Waumini wa kanisa lake na majirani zake hawakushangazwa na mabadiliko hayo, kutokana na kupungua uzito na umbo lake kuharibika katika siku za hivi karibuni.
Tunaendelea na vituko vya Walokole.
Mchungaji mmja aliyejulikana Kwa jina la Francisco Barajah wa huko Msumbiji amefariki akiwa kwenye mfungo wa siku 40 Akijaribu kuifikia rekodi ya Bwn.Yesu.
Nyie Wachungaji Yesu alikuwa ni roho nyie mnaigiza mambo yaliyo Nje ya uwezo wenu.
Hawa watu hawajifunzi tuu? Kuna Mwingine Nigeria alikufa Akijaribu kutembea kwenye Maji ya Bahari kama Yesu.Waajinga ndio waliwao acha wafe Kwa kukosa maarifa [emoji116]
----
Mchungaji Francisco Barajah wa kanisa la kiinjili la Santa Trindade katika jimbo la kati la Manica Msumbiji amefariki dunia baada ya kufunga kwa siku 40 akijaribu kufikia rekodi iliyofikiwa na Yesu kwenye Mlima wa Mizeituni wa Biblia.
Alifariki alipokuwa akitibiwa katika hospitali ya Beira ambako alihamishwa akiwa katika hali mbaya.
Baada ya siku 25 za kufunga, alikuwa amepungua uzito sana hadi hakuweza kusimama, kuoga au kutembea.
Siku kadhaa baadaye, kwa msisitizo wa ndugu na waumini, alipelekwa hospitalini lakini jitihada za kumrejesha kwenye afya hazikufaulu.
Waumini wa kanisa lake na majirani zake hawakushangazwa na mabadiliko hayo, kutokana na kupungua uzito na umbo lake kuharibika katika siku za hivi karibuni.