Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh,,,alikua nani kama si mtu?Mchungaji ni kama wale mazuzu wanoamini Yesu alikuwa mtu[emoji38][emoji38][emoji38].
Mh,,,alikua nani kama si mtu?
Nawe utazikwa mkuuFunga nawewe kama yeye tukuzike.
Nawe utazikwa mkuu
Kudos Wadau.
Tunaendelea na vituko vya Walokole.
Mchungaji mmja aliyejulikana Kwa jina la Francisco Barajah wa huko Msumbiji amefariki akiwa kwenye mfungo wa siku 40 Akijaribu kuifikia rekodi ya Bwn.Yesu.
Nyie Wachungaji Yesu alikuwa ni roho nyie mnaigiza mambo yaliyo Nje ya uwezo wenu.
Hawa watu hawajifunzi tuu? Kuna Mwingine Nigeria alikufa Akijaribu kutembea kwenye Maji ya Bahari kama Yesu.Waajinga ndio waliwao acha wafe Kwa kukosa maarifa [emoji116]
----
Mchungaji Francisco Barajah wa kanisa la kiinjili la Santa Trindade katika jimbo la kati la Manica Msumbiji amefariki dunia baada ya kufunga kwa siku 40 akijaribu kufikia rekodi iliyofikiwa na Yesu kwenye Mlima wa Mizeituni wa Biblia.
Alifariki alipokuwa akitibiwa katika hospitali ya Beira ambako alihamishwa akiwa katika hali mbaya.
Baada ya siku 25 za kufunga, alikuwa amepungua uzito sana hadi hakuweza kusimama, kuoga au kutembea.
Siku kadhaa baadaye, kwa msisitizo wa ndugu na waumini, alipelekwa hospitalini lakini jitihada za kumrejesha kwenye afya hazikufaulu.
Waumini wa kanisa lake na majirani zake hawakushangazwa na mabadiliko hayo, kutokana na kupungua uzito na umbo lake kuharibika katika siku za hivi karibuni.
[emoji2957][emoji2957][emoji2957] pressure ya njaa au?fake news Ndugu zake wamekanusha amekufa kwa presha
[emoji16][emoji2957] ujingaNdo ilikuwa njia yake pia
Acha ujuhaWazungu wanawadanganya sana[emoji23][emoji23][emoji23]. Yesu tulikula nae sana mikate ya daku
[emoji13][emoji13][emoji2957][emoji2957]Kuna rafiki yangu huku Mwanza..kapata madonda ya tumbo yanamtesa sana...ni baada ya kufunga kwa siku 7 mfululizo mwaka jana
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
[emoji2957][emoji2957][emoji2957] pressure ya njaa au?
Mjibu mpumbavu sawa na upumbavu wake.Waislam 70% akili zao ni kujilipua tu
Mi mwenyewe nasema Kamanda kaupiga mwingi sana, na ni vizuri sana kufa ukipambania amani ya roho kuliko kufia juu ya kinena ukiwa umepakaa vumbi la Kongo.siku 25 bila kula ni nyingi sana.
Imani dhaifu sana hiyo, watakatifu wa Mungu tunagonga hadi siku 14, 21 bila kula hata kunywa maji na hakuna ugonjwa wowote.Kuna rafiki yangu huku Mwanza..kapata madonda ya tumbo yanamtesa sana...ni baada ya kufunga kwa siku 7 mfululizo mwaka jana
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Angekua mzungu angewekwa kwenye kumbukumbu ya dunia,kukaa muda mrefu bila kula.Mi mwenyewe nasema Kamanda kaupiga mwingi sana, na ni vizuri sana kufa ukipambania amani ya roho kuliko kufia juu ya kinena ukiwa umepakaa vumbi la Kongo.
Pia hata hizo siku 25 ni imani imara ndiyo iliyomfikisha hapo, la sivyo hata wiki 1 tu asingetusua [emoji3]
Wakristo 70% akili zao=0