Msumbiji: Mchungaji afariki dunia akijaribu kufikia rekodi ya Yesu ya Siku 40

Mchungaji wa Msumbiji amefariki dunia baada ya kufunga kwa siku 40 akijaribu kufikia rekodi iliyofikiwa na Yesu kwenye Mlima wa Mizeituni wa Biblia.
Ya Yesu aliyaweza Yesu
Hawa wa sasa hata siku tano tu hawawezi, kama mnabisha tumwambie Mwamposa, Kakobe, Lusekelo, Gamanywa, Yule wa Arusha maarufu wafunge muone kama watakubali
 
Waupuzi hawa binadamu
 
Wanauhakika Yesu alikuwa hogongi matunda huko milima ya mizeituni.
Mizeituni ni matunda.
 
kaliwai tanuli la moto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…