Msumbiji: Mchungaji afariki dunia akijaribu kufikia rekodi ya Yesu ya Siku 40

haya majitu ni majinga sana, na kwingineko huko yanauza hata mafuta ya alizeti wanayaita mafuta sijui ya mapako sijui nini , na wajinga wanawakubalia kabisaaaa. UKISHINDA unaua mipumbaf hata miaka mia kamwe hayaishi kabisaaaaa
 
fake news Ndugu zake wamekanusha amekufa kwa presha
 
siku 25 bila kula ni nyingi sana.
Mi mwenyewe nasema Kamanda kaupiga mwingi sana, na ni vizuri sana kufa ukipambania amani ya roho kuliko kufia juu ya kinena ukiwa umepakaa vumbi la Kongo.

Pia hata hizo siku 25 ni imani imara ndiyo iliyomfikisha hapo, la sivyo hata wiki 1 tu asingetusua [emoji3]
 
Kuna rafiki yangu huku Mwanza..kapata madonda ya tumbo yanamtesa sana...ni baada ya kufunga kwa siku 7 mfululizo mwaka jana

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Imani dhaifu sana hiyo, watakatifu wa Mungu tunagonga hadi siku 14, 21 bila kula hata kunywa maji na hakuna ugonjwa wowote.

Wakuu kuishi katika utakatifu wa MUNGU kunahitaji imani haswaa wala si wale wapuuzi wanaodanganya kuwa kwa Mungu ni tambarare.
 
Angekua mzungu angewekwa kwenye kumbukumbu ya dunia,kukaa muda mrefu bila kula.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…