Sasa nchi inategemea majeshi ya nchi nyingine ya kukodi kulinda nchi yao unaenda kuwekeza bandari huko akili hiyo? Au sisi tujenge reli kwendq kongo nchi ambayo jeshi lake halina nguvu wamejaa waasi kila kona majeshi ya k9geni tu ndio yamejaa yanalipua mabarabara na madaraja kila sikukampuni ya total imeingia mkataba na jeshi la rwanda kulinda uwekezaji nchini msumbiji hao magaidi washadhibitiwa, kusema malawi haina hela sio kweli hela haipimwi kwa per km, malawi ina bandari kavu dar tangu enzi ya nyerere
Malawi na Zambia watakuwa akili hawana kwenye huo uwekezaji