Maisha bhana.
Yaani sometimes unaweza kuta unajaza lori ma ex si kwa kupenda unakuta binti yuko na msimamo wake safi kabisa ana yake jamaa mmoja wanachuja nafaka kisela kabla ya kuoana jamaa akichoka anaachia ngazi anakuja na mwingine na mwingine nk hiiyo yote ni katika harakati za kumsaka mr right kiroho safi kabisa wala sio kwa hulka ya umalaya hapana.
Unajaribu bahati yako unawaonjesha kidogo waone yaliyomo bila kujua the more idadi ya hao jamaa inaongezeka unaanza kudevelop adaptive features unachukulia kwamba ndo maisha yalivyo inakuwa sio ishu tena kulala na huyu na yule wala dhamira haikusuti as ushaiua kitambo indirectly unalegalize mchezo wa kuswitch mapartners una misprit kibao uko connected nayo sexually(i mean ma ex)haya sasa umepata mume wa ligi daraja la tatu kunako 6*6.
Historia yako ya nyuma inaonyesha umecheza ligi kubwakubwa la liga premier na the like jamaa kakupenda sawa ila tatizo ndo hilo yeye na wew hamko ligi moja halafu badi una mawasiliano direct au indirect(globalization) na ma ex ambao wako ligi moja na wewe hapo ndo kuchapiwa kunakuwa siri ya ndani hii hata kwa wanaume inaaplly the more unaonjaonja wanawake tofauttofaut the more thirsty you become una mke mzurr but bado unabisha hodi kwenye maboma yako ya zamani ndoa chali.
Yaani sometimes unaweza kuta unajaza lori ma ex si kwa kupenda unakuta binti yuko na msimamo wake safi kabisa ana yake jamaa mmoja wanachuja nafaka kisela kabla ya kuoana jamaa akichoka anaachia ngazi anakuja na mwingine na mwingine nk hiiyo yote ni katika harakati za kumsaka mr right kiroho safi kabisa wala sio kwa hulka ya umalaya hapana.
Unajaribu bahati yako unawaonjesha kidogo waone yaliyomo bila kujua the more idadi ya hao jamaa inaongezeka unaanza kudevelop adaptive features unachukulia kwamba ndo maisha yalivyo inakuwa sio ishu tena kulala na huyu na yule wala dhamira haikusuti as ushaiua kitambo indirectly unalegalize mchezo wa kuswitch mapartners una misprit kibao uko connected nayo sexually(i mean ma ex)haya sasa umepata mume wa ligi daraja la tatu kunako 6*6.
Historia yako ya nyuma inaonyesha umecheza ligi kubwakubwa la liga premier na the like jamaa kakupenda sawa ila tatizo ndo hilo yeye na wew hamko ligi moja halafu badi una mawasiliano direct au indirect(globalization) na ma ex ambao wako ligi moja na wewe hapo ndo kuchapiwa kunakuwa siri ya ndani hii hata kwa wanaume inaaplly the more unaonjaonja wanawake tofauttofaut the more thirsty you become una mke mzurr but bado unabisha hodi kwenye maboma yako ya zamani ndoa chali.