Msuva, Gaucho yawakuta 'mazito' Morocco, waonya

Mtu anaitwa Yasmin Razack anasema waarabu hawana utu mm ni nani nimpinge?
 
Hawa wote wamelizwa na siyo wabongo.
Hawa jamaa wanaendesha timu ki tapeli
 

Attachments

  • FB_IMG_1658042076716.jpg
    77.5 KB · Views: 5
Yaani unaamini huo upuuzi wa waandishi wa mchongo..?
Ingekuwa kweli, hiyo timu (Wydad) ingekuwa tayari imeshafilisika..
Ina maana Priva kujitungia tu
Jaribu ku google na wewe
Mwingine huyo mganda
 

Attachments

  • Screenshot_2022-07-20-05-17-08-372_com.android.chrome.jpg
    137.4 KB · Views: 4
Wale watetezi wa waarabu waje na hoja za kupindua meza.
Hapa tanzania mbona kuna wachezaji hawalipwi na wanazikacha timu zao na kuenda nyingine.?? Na hapa pia ni waarabu.! Ubaya hauna kwao .mtu unaweza kudhulimiwa popote sio uarabuni tu.malalamiko ya wachezaji ni africa nzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…