Nashauri kupelekwe mswada bungeni kuhusu hii sintofahamu ili wafanyabiashara wawe na imani na serikali yao.
NGOJA NITOE SCENARIO:
TRA imefanya uchunguzi wa mahesabu yangu na kugundua nililipa kodi pungufu miaka minne iliyopita, wananitoza faini na riba na kunipa notice ya mwezi mmoja kuilipa.
Mm namrudia mhasibu na mkaguzi wangu aliyetengeneza mahesabu kuwahoji kwann hawakugundua hili mapema mpaka adhabu na riba zisizolipika zinanikumba.
Baada ya utafiti inagundulika kuna makosa katika ukokotozi wa kodi, tunaandika barua kuhoji njia zilizotumika kukokotoa hilo ongezeko la kodi.
TRA wanaagiza nilete nyaraka za mauzo na manunuzi ya miaka hiyo minne iliyopita bila kusitisha notice yao ya mwezi mmoja.
Wakati tunapambana namna ya kukusanya na tracing ya nyaraka napata mteja ananiwekea pesa kwa ajili ya biashara, nakwenda bank kwa ajili ya drawing nakuta notice na account kushikiliwa mpaka nitakapolipa kodi...........
Sasa hapa tayari kuna conflict kati yangu na TRA tunahitaji mtu wa tatu kutusuluhisha ambaye ni mahakama.
KUWEPO SHERIA KUWA ISIZUIWE ACCOUNT YA MFANYABIASHARA BILA IDHINI YA MAHAKAMA ILI KUREJESHA IMANI YA KUFANYA BIASHARA KWA UHURU.
NGOJA NITOE SCENARIO:
TRA imefanya uchunguzi wa mahesabu yangu na kugundua nililipa kodi pungufu miaka minne iliyopita, wananitoza faini na riba na kunipa notice ya mwezi mmoja kuilipa.
Mm namrudia mhasibu na mkaguzi wangu aliyetengeneza mahesabu kuwahoji kwann hawakugundua hili mapema mpaka adhabu na riba zisizolipika zinanikumba.
Baada ya utafiti inagundulika kuna makosa katika ukokotozi wa kodi, tunaandika barua kuhoji njia zilizotumika kukokotoa hilo ongezeko la kodi.
TRA wanaagiza nilete nyaraka za mauzo na manunuzi ya miaka hiyo minne iliyopita bila kusitisha notice yao ya mwezi mmoja.
Wakati tunapambana namna ya kukusanya na tracing ya nyaraka napata mteja ananiwekea pesa kwa ajili ya biashara, nakwenda bank kwa ajili ya drawing nakuta notice na account kushikiliwa mpaka nitakapolipa kodi...........
Sasa hapa tayari kuna conflict kati yangu na TRA tunahitaji mtu wa tatu kutusuluhisha ambaye ni mahakama.
KUWEPO SHERIA KUWA ISIZUIWE ACCOUNT YA MFANYABIASHARA BILA IDHINI YA MAHAKAMA ILI KUREJESHA IMANI YA KUFANYA BIASHARA KWA UHURU.