Mswaki unatakiwa utumike kwa muda gani?

Ndio tatizo letu wabongo,tu wagumu kuelimishana,tunaogopa sheria ila hatuthamini afya
 


Sidhani, kuhusu mswaki, marejeo mengi hupendekeza miezi mitatu hadi sita kutegemea na ubora wa mswaki lakini.

Ukienda maduka makubwa kuna mswaki wa sh.500, 1000, 2000, 3000 na kuendelea. Kuisha kwake muda wa matumizi hutofautiana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…