Mtaa umejaa wanaijeria

Mtaa umejaa wanaijeria

Mifumo dhaifu ya kimtandao ni kivutio namba moja kwa hao mabwana

Mifumo rahisi ya kimichongo ya kufanikisha dili mbalimbali haramu ni kivutio namba nyingine kwa hao mabwana
uhalifu wa kimtandao kwa sasa ndio deal namba moja duniani.
Bongo ni chaka nzuri sana lakujifichia na ukafanya mambo yako.

Pia bongo ndio njia rahisi ya madawa ya kulehya kupitia kwenda south Africa.
 
Kunani mtaani kumejaa hawa vijana kutoka Lagos na Abuja na wako kimakund makund Kuna nn Hapa bongo ?
Je wamekuja kutalii au wamekuja kuota jua la bongo maana wanalalamika bongo joto au wamekuja na mishe zngne tusizozijua au kutafuta maisha? Ila wanantia mashaka wanavozd kuwa weng na wengne hawatak kutambulika kama ni wanaijeria maana ukimsalimia iwe ni kiswahili kiarabu au kiingeleza hakujb anatumbua macho like bubu.
Kunani naulizaaa bila kusahau wamalawi had kwenye sensa wamesema wao n watanzania na wanauficha mno uraia wap.
Mitaa gani hiyo boss ili vyombo vyètu vifanye kazi haraka..
 
Kunani mtaani kumejaa hawa vijana kutoka Lagos na Abuja na wako kimakund makund Kuna nn Hapa bongo ?
Je wamekuja kutalii au wamekuja kuota jua la bongo maana wanalalamika bongo joto au wamekuja na mishe zngne tusizozijua au kutafuta maisha? Ila wanantia mashaka wanavozd kuwa weng na wengne hawatak kutambulika kama ni wanaijeria maana ukimsalimia iwe ni kiswahili kiarabu au kiingeleza hakujb anatumbua macho like bubu.
Kunani naulizaaa bila kusahau wamalawi had kwenye sensa wamesema wao n watanzania na wanauficha mno uraia wap.
Hao watu duniani kote hawakubaliki kwa sababu ya tabia zao za kishenzi,e.g Dubai,Europe ect
 
Kunani mtaani kumejaa hawa vijana kutoka Lagos na Abuja na wako kimakund makund Kuna nn Hapa bongo ?
Je wamekuja kutalii au wamekuja kuota jua la bongo maana wanalalamika bongo joto au wamekuja na mishe zngne tusizozijua au kutafuta maisha? Ila wanantia mashaka wanavozd kuwa weng na wengne hawatak kutambulika kama ni wanaijeria maana ukimsalimia iwe ni kiswahili kiarabu au kiingeleza hakujb anatumbua macho like bubu.
Kunani naulizaaa bila kusahau wamalawi had kwenye sensa wamesema wao n watanzania na wanauficha mno uraia wap.
Badala ya kuwashangaw Wachina, Waarabu na Wahindi wewe unamshangaa Mwafrika mwenzako!? Kama wanaishi kihalali hapa nchini wewe kinachokujalisha ni nini!? Na wewe nenda nchini kwao ukatafute fursa za kimaisha.

Rais Samia akihutubia taifa leo amesema kuwa huwa anasoma maoni kuhusu Serikali yake kupitia mtandao maarufu wa Jamii Forums. Huoni kuwa akisoma huu uzi wako atakushangaa sana kuhusu uelewa wako, wakati yeye tayari kashaifungua nchi kwa ajili ya wawekezaji kutoka nje ya nchi.
 

Attachments

  • Screenshot_20230220_230732_Chrome.jpg
    Screenshot_20230220_230732_Chrome.jpg
    227.1 KB · Views: 6
Badala ya kuwashangaw Wachina, Waarabu na Wahindi wewe unamshangaa Mwafrika mwenzako!? Kama wanaishi kihalali hapa nchini wewe kinachokujalisha ni nini!? Na wewe nenda nchini kwao ukatafute fursa za kimaisha.

Rais Samia akihutubia taifa leo amesema kuwa huwa anasoma maoni kuhusu Serikali yake kupitia mtandao maarufu wa Jamii Forums. Huoni kuwa akisoma huu uzi wako atakushangaa sana kuhusu uelewa wako, wakati yeye tayari kashaifungua nchi kwa ajili ya wawekezaji kutoka nje ya nchi.
Tangu uzaliwe umeshawahikuona mtz yoyote anaenda kutafuta maisha naigeria?ni wabaguzi sana ukiishi nao ndio utawajua
 
Mheshimiwa Rais tupia jicho idara ya uhamiaji,kama ulivyoimulika polisi!! Hali ni mbaya nchi imevamiwa na wageni!!
Wamalawi,wanaijeria,wakameruni wamevamia nchi wananunua hivi viwanja vinavyouzwa na makampuni binafsi,mbaya zaidi hawaulizwi utambulisho wao kama national id !! Haya makampuni yanayaka pesa tuu!!
Wamejaa Sana huku gezaulole wengi wananunua viwanja vilivyo ufukweni!! Ni hatari Sana, hasa suala la madawa ya kulevya!! Pia ukienda tuangoma,kimbiji wapo wa kutosha usiku ndio hujiachia !!
Idara ya uhamiaji ni wapigaji tuu wanakuja usiku na kuondoka!
Hawa jamaa ni wajanja Sana usiku hujichanganya bar na kucheza pool table Kwa lengo la kujifunza kiswahili Kwa watanzania
 
Kuna mdada mmja alpata bwna mnaija wakadate wee mwsh wa siku yule jamaa akamwambia nataka tufake kama tumeoana ili uhamiaj waniruhusu nifany biashara Zang huku mdada akaulza n biashara gan utajua badae basi mdada akakataa hiyo insh na akakata mahusiano
Hii ndo nataka kuifanya kule maandishi matatu
 
Kunani mtaani kumejaa hawa vijana kutoka Lagos na Abuja na wako kimakund makund Kuna nn Hapa bongo ?
Je wamekuja kutalii au wamekuja kuota jua la bongo maana wanalalamika bongo joto au wamekuja na mishe zngne tusizozijua au kutafuta maisha? Ila wanantia mashaka wanavozd kuwa weng na wengne hawatak kutambulika kama ni wanaijeria maana ukimsalimia iwe ni kiswahili kiarabu au kiingeleza hakujb anatumbua macho like bubu.
Kunani naulizaaa bila kusahau wamalawi had kwenye sensa wamesema wao n watanzania na wanauficha mno uraia wap.
Mm nipo pia NAIRALAND FORUM ni kama JF ya Nigeria

Wale jamaa ni welevu sana na wajanja wajanja

Ukiwa nairaland utagundua utofauti wa mawazo ya ki bongo na kinaijeria...jamaa kwenye matumiz ya ubongo na technologies wapo Ahead yetu Tz

Baada ya magufuli kuchukua nchi makanjanja wa naijeria walibanwa sana na uhamiaji maisha Yao yakawa magumu wakaanzaa KUTAMBIANA kua bongo sio sehemu ya kutafuta life kutokana na sera za JPM

Now nchi imefunguliwa pia Tanzania Bado tume sleep sana sehemu nyingi Bado Tupo gizan kutokana na wengi wetu kukosa exposure.....

Wanaijeria ni wajanja wajanja ukiona wamekuja Kwa Kasi ujue Kuna fursa za kupiga pesa wameziona...

Wanaijeria baadhi walikua wana appreciate madada wa bongo kua wana Big booty pia wana penda Chips kuku...
Eti wanasema sisi wa bongo ni washamba tunaweza mshangaa na kucheka Cheka tukiona mtu anaongea kingereza...

All in all hao jamaa wameona nchi imefunguliaa wamekuja kuchangamkia fursa...
 
Kuna mdada mmja alpata bwna mnaija wakadate wee mwsh wa siku yule jamaa akamwambia nataka tufake kama tumeoana ili uhamiaj waniruhusu nifany biashara Zang huku mdada akaulza n biashara gan utajua badae basi mdada akakataa hiyo insh na akakata mahusiano
Alichagua jambo jema, kama kweli hiyo biashara ingekua ya halali kwanini asiiweke wazi huyo mnaija.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom