Bila utaratibu utaingiaje SAsa nchi ya watu,umewauliza hawana utaratibu?Kwanini waje kutafuta maisha bila utaratibu?
Na kwanini wanaficha identity zao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila utaratibu utaingiaje SAsa nchi ya watu,umewauliza hawana utaratibu?Kwanini waje kutafuta maisha bila utaratibu?
Na kwanini wanaficha identity zao?
Kweli Kuna tishio la Ugaidi hapa TanzaniaKuna mdada mmja alpata bwna mnaija wakadate wee mwsh wa siku yule jamaa akamwambia nataka tufake kama tumeoana ili uhamiaj waniruhusu nifany biashara Zang huku mdada akaulza n biashara gan utajua badae basi mdada akakataa hiyo insh na akakata mahusiano
Asilimia kubwa watakuwa wametumia njia za magendo.Bila utaratibu utaingiaje SAsa nchi ya watu,umewauliza hawana utaratibu?
uhalifu wa kimtandao kwa sasa ndio deal namba moja duniani.Mifumo dhaifu ya kimtandao ni kivutio namba moja kwa hao mabwana
Mifumo rahisi ya kimichongo ya kufanikisha dili mbalimbali haramu ni kivutio namba nyingine kwa hao mabwana
Kutafuta maisha ndio ujifichejifiche identity yk.Wamekuja kutafuta maisha, sisi vijana wetu wanabanana mjini kutembeza bahasha kujaribu kuokota kazi, badala ya kuvuka boda
Mitaa gani hiyo boss ili vyombo vyètu vifanye kazi haraka..Kunani mtaani kumejaa hawa vijana kutoka Lagos na Abuja na wako kimakund makund Kuna nn Hapa bongo ?
Je wamekuja kutalii au wamekuja kuota jua la bongo maana wanalalamika bongo joto au wamekuja na mishe zngne tusizozijua au kutafuta maisha? Ila wanantia mashaka wanavozd kuwa weng na wengne hawatak kutambulika kama ni wanaijeria maana ukimsalimia iwe ni kiswahili kiarabu au kiingeleza hakujb anatumbua macho like bubu.
Kunani naulizaaa bila kusahau wamalawi had kwenye sensa wamesema wao n watanzania na wanauficha mno uraia wap.
Hao watu duniani kote hawakubaliki kwa sababu ya tabia zao za kishenzi,e.g Dubai,Europe ectKunani mtaani kumejaa hawa vijana kutoka Lagos na Abuja na wako kimakund makund Kuna nn Hapa bongo ?
Je wamekuja kutalii au wamekuja kuota jua la bongo maana wanalalamika bongo joto au wamekuja na mishe zngne tusizozijua au kutafuta maisha? Ila wanantia mashaka wanavozd kuwa weng na wengne hawatak kutambulika kama ni wanaijeria maana ukimsalimia iwe ni kiswahili kiarabu au kiingeleza hakujb anatumbua macho like bubu.
Kunani naulizaaa bila kusahau wamalawi had kwenye sensa wamesema wao n watanzania na wanauficha mno uraia wap.
Badala ya kuwashangaw Wachina, Waarabu na Wahindi wewe unamshangaa Mwafrika mwenzako!? Kama wanaishi kihalali hapa nchini wewe kinachokujalisha ni nini!? Na wewe nenda nchini kwao ukatafute fursa za kimaisha.Kunani mtaani kumejaa hawa vijana kutoka Lagos na Abuja na wako kimakund makund Kuna nn Hapa bongo ?
Je wamekuja kutalii au wamekuja kuota jua la bongo maana wanalalamika bongo joto au wamekuja na mishe zngne tusizozijua au kutafuta maisha? Ila wanantia mashaka wanavozd kuwa weng na wengne hawatak kutambulika kama ni wanaijeria maana ukimsalimia iwe ni kiswahili kiarabu au kiingeleza hakujb anatumbua macho like bubu.
Kunani naulizaaa bila kusahau wamalawi had kwenye sensa wamesema wao n watanzania na wanauficha mno uraia wap.
Waje walete changamoto za utafutaji,vijana wabongo vichwani wamejaza ngono,kubeti na simba na yanga.
Tangu uzaliwe umeshawahikuona mtz yoyote anaenda kutafuta maisha naigeria?ni wabaguzi sana ukiishi nao ndio utawajuaBadala ya kuwashangaw Wachina, Waarabu na Wahindi wewe unamshangaa Mwafrika mwenzako!? Kama wanaishi kihalali hapa nchini wewe kinachokujalisha ni nini!? Na wewe nenda nchini kwao ukatafute fursa za kimaisha.
Rais Samia akihutubia taifa leo amesema kuwa huwa anasoma maoni kuhusu Serikali yake kupitia mtandao maarufu wa Jamii Forums. Huoni kuwa akisoma huu uzi wako atakushangaa sana kuhusu uelewa wako, wakati yeye tayari kashaifungua nchi kwa ajili ya wawekezaji kutoka nje ya nchi.
Hii ndo nataka kuifanya kule maandishi matatuKuna mdada mmja alpata bwna mnaija wakadate wee mwsh wa siku yule jamaa akamwambia nataka tufake kama tumeoana ili uhamiaj waniruhusu nifany biashara Zang huku mdada akaulza n biashara gan utajua badae basi mdada akakataa hiyo insh na akakata mahusiano
Uhamiaji hawajalala kabisa,sema hao Wapopo ndiyo ma afisa uhamiaji hujipatia riziki zao huko kitaani wakishirikia na baadhi ya police wa patrol!!mambo ni mengi,uhamiaji wamelala
Mm nipo pia NAIRALAND FORUM ni kama JF ya NigeriaKunani mtaani kumejaa hawa vijana kutoka Lagos na Abuja na wako kimakund makund Kuna nn Hapa bongo ?
Je wamekuja kutalii au wamekuja kuota jua la bongo maana wanalalamika bongo joto au wamekuja na mishe zngne tusizozijua au kutafuta maisha? Ila wanantia mashaka wanavozd kuwa weng na wengne hawatak kutambulika kama ni wanaijeria maana ukimsalimia iwe ni kiswahili kiarabu au kiingeleza hakujb anatumbua macho like bubu.
Kunani naulizaaa bila kusahau wamalawi had kwenye sensa wamesema wao n watanzania na wanauficha mno uraia wap.
Mikocheni na mbezi beachMtaa Gani tufahamu na mkoa gani?
Una waza kuchinjwa tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji117]Aisee wasije wakawa Boko Haram.
Alichagua jambo jema, kama kweli hiyo biashara ingekua ya halali kwanini asiiweke wazi huyo mnaija.Kuna mdada mmja alpata bwna mnaija wakadate wee mwsh wa siku yule jamaa akamwambia nataka tufake kama tumeoana ili uhamiaj waniruhusu nifany biashara Zang huku mdada akaulza n biashara gan utajua badae basi mdada akakataa hiyo insh na akakata mahusiano