startergear
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 1,148
- 1,478
Ile Chand ya India imeandikwa class twelve vipi wanasoma wakiwa darasa la ngapi?Wanasoma kama masomo sio combination yakiwemo mengine ila syllabus yao akikaa na mtoto wa PCB wa Tanzania ngoma draw
Primary wao fizikia,kemia na biologia ni masomo yanafundishwa shule ya msingi