Blue Bahari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,851
- 2,171
Hii inaitwa fallacy of generalization.Diploma kufundisha sekondary sio sahihi hana tofauti na form six
Ndio.maana shule nyingi za sekondary za serikali zina matokeo mabaya sana
Private walikojaa walimu wenye digrii kuko vizuri.mno
Kweli mkuu.Huu mtaala ni mzuuri lakin siyo sanaa Sasa hapa kwenye utekelezaji ni zero kwanz mm naona ni siasa tuu unawezaje kusema darasa la kwanz mpka form four Huku hujaboresha miundombinu mfano kata Moja Ina shule za msingi 6 mpka 5 Alfu shule ya secondary ipo Moja kata nzima ndo ihudumie shule 6 za msingi,,,, Alfu hiyo shule Moja ya secondary unakuta Ina changamoto ya Madarasa Yani wanafunz hawatoshelezi kweny Madarasa,, imagine watoto waunganishe kutoka la kwanza mpka secondary kama hatuendo kutengeneza zero nyingi kwa sabab ya changamoto za miundo mbinu kama vyoo, maji pamoja na mazingira kwa ujumla Kuna baadhi ya wanafunzi wapo mbali na shule ya sekondari watahitaji waishi bwenini Ili Kuwa karibu na shule,, na masomo ya secondary siyo kama msingi inahitaji mtot ajipange vizuri kimazingira.
Kwangu mm sion huu mtaala kama utaleta faida kama wanataka faida waboreshe miundo mbinu kama kujenga Madarasa kutengeneza mazingira Bora.
Tusifurahie mtaala huu mzuri tifikirie upande wa pili mfano kwenye mtaala huo nimeona wanasema mason ya tehema (technology) yatakuwa kipaumbele je vitendea kazi vipo kama walimu wa kufundisha hayo masomo lakini pia hizo computer 🖥️ zipo kwa ajili ya kujifunza kwa upande wa practically,, na hizo computer zitahitaji kuendeshwa kwa umeme, mfano Huku kwetu shule Ina zaidi ya miaka 40 lakin Haina umeme so hapo serikari imejipanga kivip au ni siasa tuu
Kwenye kusema hapo walimu sjui wa shule msingi wakafanye mitihani ya form six hicho kitu kigum coz Kuna baadhi sifa za kufanya mtihani wa form six mfano Kuna shule Moja Kuna mwalimu ana certificate lakin kwenye cheti chake ana four ya 28 Yani Hawa ndo wale walokua wakihitim Kipindi JK maana hat zile credit za kwenda advance Hana Sasa huyo umrudishe tena form six kumferisha tuu
Kiufupi huu mtaala upo vizur lakin bila kuboresha miundombinu huu mtaala hauna faida yeyote na wanafunzi wanaweza hitimu lakin wasiambulie kitu
Mpwayungu akajiendelezeElimu ya Tz mnawapa wanasiasa wasiojitambua that way watu hupeleka watoto wao kusoma nje
Yaani kila kichaa akipata uwaziri anakuja na Ajenda na sera Mpya kuhusu Elimu yetu ...ujinga mtupu
Tusiporudi itakuaje?Walimu ambao hamna diploma Jiandaeni kufanya mtihani wa form six na kusomea Masomo ya Diploma.
Wale ambao hamna Digree Jiandaeni Kurudi vyuo Vikuu kuwa wanafunzi tena.
Simple ugali wenu utakuwa si wachaki tena utakua kwa njia nyingineTusiporudi itakuaje?
Ila kumbuka Kuna diploma ya primary na diploma ya secondary educationWalimu ambao hamna diploma Jiandaeni kufanya mtihani wa form six na kusomea Masomo ya Diploma.
Wale ambao hamna Digree Jiandaeni Kurudi vyuo Vikuu kuwa wanafunzi tena.
Huwezi kunielewa mk hutaki kunielewa.Unaequate elimu na Nini Mkuu.
Unafahamu umuhimu na malengo ya vyuo vikuu kweli? Daaah..tuna safari ndefu sana
Yeah tujipange kwenye miundombinu lakin pia kwenye Rasilimali watuKweli mkuu.
Siyo hayo tu,bali pia idadi ya walimu ni ndogo.
Hiyo ni shida ya jamii ya Watanzania mtu anabisha na kupinga bila facts sijajua Huwa inasaidia nini..Kikubwa nilicho ki note kwenye topic ya mambo ya mitaala toka kukua kwangu ni WATU KUPINGA PINGA NA KUKOSOA KOSOA TU.
Ukiona hoja ya mitaala ikiibuka kinachofata ni kupinga cjui kwa nn. KM UNABISHA JARIBU KUFUATILIA
This time ni overhaul ya Elimu sio nyaraka ndio maana mnaambiwa toeni maoni mchakato unaendelea kilichowekwa mezani ni rasimu ya sera.Miongozo na nyaraka zinatuvuruga sana walimu.
Sera hata kama ikiwa nzuri. Voda fasta, div ,iv point 27....
Na kweli ndio maana Kenya wanawahitimu wengi wa chuo kikuu lkn ujinga uko palepale, Makenzie na ShakhaholaKe
Kenya mkuu
Ila upande wa kijani ni bogus zaidi🥱🥱🥱Hiyo ni shida ya jamii ya Watanzania mtu anabisha na kupinga bila facts sijajua Huwa inasaidia nini..
Kingine ni Ile kudhani mtu akiwa mpinzania ndio ana akili kumbe bogus tuu [emoji16][emoji16]
Waliofeli waje tuendeshe bodabodaUalimu
Sekta ya Afya
Wapelekwe waliofaulu tu, waliofeli watafute vitu vingine vya kufanya
Achaa Uongo wewe,Kenya ipii hiyo ambao walimu kuanzia chekechea wana degree,,kama huna uhakika na kitu haina haja ya kucomment ilimradii tuu uonekaneNi sahihi tena ingawa sio sahihi sana
Sasa hivi shule nyingi kwa wenzetu mfano Kenya, Uganda nk
Walimu wote kuanzia chekekechea wana digrii
Mfano Mwalimu wa Chekechea anatikiwa kuwa na Bachelor degree in Early Childhood Education, Mwalimu wa shule ya Msingi anatakiwa kuwa na degree in Primary Education na Sekondari anatakiwa kuwa na digrii In Secondary Education.Uzuri shule xa private zishaanza siku nyingi as usual private sector siku zote huwa mbele kuliko Public sector .Public sector inakumbuka shuka wakati kumekucha
Tanzania vyuo vyetu vikuu vinatoa degree zote hizol lakini wengi wanaenda shule.za.Private ndio.maana performance ya shule za Private kuanzia,chekechea,Msingi na sekondari ziko vizuri sana
Hata hivyo nipongeze wizara walau kwa kuanza taratibu lakini kwa huo mtaala mpya nadhani ingekuwa waanze kuajiri walimu pia wenye digrii za education za checheka,msingi na sekondari ili taratibu hl hao wa diploma wawe faced out taratibu hadi tufikie mahali digrii tupu ziwe zinafundisha shule xote kuanzia chekechea hadi sekondari
Kuna kazi nyingi zisizohitaji akili nyingi bali maelekezo tu ie ushonaji etcWaliofeli waje tuendeshe bodaboda