Mtaala wa Udaktari Udurusiwe

Mwenye cheti cha utabibu anaitwa assistant clinical officer
Mwenye diploma ya utabibu anaitwa clinical officer.
Utendaji kazi ni ule ule hauna tofauti yoyote tofauti ipo katika vyeo tu
 
Hizo Products tunazipima muda upi before hawajawa enrolled na vyuo au after wamepata hiyo MD!!


Kama kigezo ndio hicho tu kujua hizo Courses mkuu!?
 
tubadilishe ngazi za kusomea udaktari zianze kuanzaia ukimaliza kidato cha nne unaelekea huko baada ya miaka 2 advance na sita 6 ya kusomea
 
Uzoefu wenu upo kwenye ngazi ya chini ya uelewa, hata kuruhusiwa kusoma degree ni favour tu mmepewa.....ila kimsingi anayeruhusiwa kusoma degree kwa Tanzania ni aliyefuzu masomo ya A-level.
 
Diploma ya udaktari haijitoshelezi yenyewe na kuna mambo mengi unafundishwa juu juu ni tofauti kabisa na stashahada ya udaktari hivyo hili swala sio la siasa wala nini miaka ibakie vile vile mitano isipunguzwe wala nini
 
Na CA ni akina nani mkuu? Uko kwenye medical Field hujui hata Vyeo vyenu vikoje wewe usome miaka mi5 tu hata wakisikiliza malalamiko yako mkuu wangu
 
Mkuu hapa umetudanganya,si kila nchi wana mtaala wa kusoma form 1 hadi form 6 mbona Kenya sekondari wanasoma hadi form 4 kisha wanaingia chuo kikuu so unataka kusema wakiingia chuo hawapati competency inayotakiwa kidunia?
 
Mwenye cheti cha utabibu anaitwa assistant clinical officer
Mwenye diploma ya utabibu anaitwa clinical officer.
Utendaji kazi ni ule ule hauna tofauti yoyote tofauti ipo katika vyeo tu
Clinical Officer na Clinical Assistant zamani Medical Assistant na Rural Medical Assistant.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚imbombo ngafu; Diploma wanataka kupangua meza. Diploma ninyi mpo NACTE huko mnasheria zenu na sisi tupo TCU tunasheria zetu.

Ni huruma tu; hamkutakiwa hata kujiunga degree; mlitakiwa msome Advanced Diploma.
 
Basic science ya clinical officer iko too shallow so refer Anatomy and physiology ya Ross and Wilson ( ni kama introduction tu) pathology ndio kabisaa hamna kitu.


Unasoma miaka 2 basic science upya then miaka 3 ndio unasoma medicine.


Sasa huwezi kutoka na basic science ya CO ukapewe medicine ya kikubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…