Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Mwenye cheti cha utabibu anaitwa assistant clinical officerAlafu eti mhitimu wa Cheti cha Utabibu anaitwa jina moja la CO (Clinical Officer) yaani Tabibu sawa na mhitimu wa Stashahada ya Utabibu! Ina maana mtaala wa Cheti cha Utabibu na mtaala wa Stashahada ya Utabibu vinalingana kwenye maudhui? Cheti na Stashahada vina hadhi sawa? Baghosha Tz!
Wabunge mliwashe kieleweke.
Tuambie wewe ulivyofaulu.Umeishafeli
utatokaje kidato cha 6 kwenda diploma? Maana yake wewe kidato cha 6 ulifeli.Je, aliyetoka kidato cha 6 na akaenda Diploma na baadaye Digrii yeye huwa uelewa wake ukoje darasani kulinganisha na kidato cha 6 bila Diploma wanapokutana chuo kikuu?
Mtaala unashida ipi Products ni mbovu au ku na kipi hadi mtaala ubadilishwe mkuu!?Warekebishe mtaala bwana
Hizo Products tunazipima muda upi before hawajawa enrolled na vyuo au after wamepata hiyo MD!!Mkuu hujanishawishi.
Unamaanisha kidato cha 6 bila Diploma ya Utabibu yuko sawa na kidato cha 6 mwenye Diploma ya Utabibu?
Je, kidato cha 6 bila Diploma ya Utabibu anajuwa yafuatayo?
1. Pharmacology.
2. Surgery.
3. Anatomy and Physiology.
4. Medical Psychology.
5. Lab Technics.
6. Pathology (Bacteriology & Virology).
Hapo 1- 4 namaanisha je, mhitimu wa kidato cha 6 anajuwa kuandika dawa? Je, anajuwa upasuaji mdogo? Je, anajuwa kusoma ripoti za Maabara? Je, anajuwa kushona nyuzi? Je, anajuwa kudunga sindano? Je, anajuwa kuzalisha mjamzito? Je, anajuwa kuweka dripu?
Wenye Diploma ya Utabibu wakienda Digrii ya Udaktari wapunguziwe miaka ya kozi.
Diploma ya udaktari haijitoshelezi yenyewe na kuna mambo mengi unafundishwa juu juu ni tofauti kabisa na stashahada ya udaktari hivyo hili swala sio la siasa wala nini miaka ibakie vile vile mitano isipunguzwe wala niniTujadiliane.
Mhitimu wa Stashahada ya Utabibu (miaka 2) na pengine aliye na uzoefu wa kazi, kwanini akienda kusoma Udaktari kamili (ngazi ya Shahada) asipunguziwe miaka ya masomo toka 5 kurudi chini?
Anapolazimika kusoma miaka 5 sawa na mhitimu wa kidato cha 6 ina maana mtaala wa kidato cha 6 ndiyo huo huo mtaala wa Stashahada ya Utabibu?
Je, kidato cha 6 yuko sawa na mwenye Stashahada ya Utabibu kwamba wote hao wawili wasome miaka na mtaala unaofanana wa Shahada ya Udaktari chuo kikuu?
Aidha, kwanini mhitimu wa Cheti cha Utabibu anaitwa jina moja la CO (Clinical Officer) yaani Tabibu sawa na mhitimu wa Stashahada? Ina maana mtaala wa Cheti cha Utabibu na mtaala wa Stashahada ya Utabibu vinalingana kwenye maudhui? Cheti na Stashahada vina hadhi sawa?
Wabunge mlione hili kwa jicho la 3.
Na CA ni akina nani mkuu? Uko kwenye medical Field hujui hata Vyeo vyenu vikoje wewe usome miaka mi5 tu hata wakisikiliza malalamiko yako mkuu wanguAlafu eti mhitimu wa Cheti cha Utabibu anaitwa jina moja la CO (Clinical Officer) yaani Tabibu sawa na mhitimu wa Stashahada ya Utabibu! Ina maana mtaala wa Cheti cha Utabibu na mtaala wa Stashahada ya Utabibu vinalingana kwenye maudhui? Cheti na Stashahada vina hadhi sawa? Baghosha Tz!
Wabunge mliwashe kieleweke.
Mkuu wewe nae unatoa boko sasa Diploma na Stashahada si kitu kimoja hichoDiploma ya udaktari haijitoshelezi yenyewe na kuna mambo mengi unafundishwa juu juu ni tofauti kabisa na stashahada ya udaktari hivyo hili swala sio la siasa wala nini miaka ibakie vile vile mitano isipunguzwe wala nini
Mkuu hapa umetudanganya,si kila nchi wana mtaala wa kusoma form 1 hadi form 6 mbona Kenya sekondari wanasoma hadi form 4 kisha wanaingia chuo kikuu so unataka kusema wakiingia chuo hawapati competency inayotakiwa kidunia?Elimu inayoeleweka duniani ni katika mpangilio huu : kutoka primary kwenda secondary kwenda high school au advanced na kwenda chuo kikuu.
Mfumo wa kupitia astashahada( certificate) au stashahada( diploma) ni mfumo ulioandaliwa kwa ajili ya wale walioshindwa kuendana na mfumo wa kawaida na aghalabu wanakuwa wamefeli.
Kutokea kidato Cha sita au high school ni mfumo unatambulika dunia nzima kumuanda mwanafunzi kwa masomo ya chuo kikuu. Mwanafunzi aliyetoka advance na kwenda chuo anakuwa competent sana na mwenye uwezo na uelewa mkubwa sana darasani kutokana na kwamba masomo ya advance yanamuandaa mtu kukabiliana na mfumo wa masomo ya Elimu ya juu.
Yes Kenya hakuna form 6Kutoka primary>secondary,,>high school>advanced>University huo ni mfumo wa Tanzania tu sio mfumo wa dunia
Baghosha! Unaona sasa!Mwenye cheti cha utabibu anaitwa assistant clinical officer
Mwenye diploma ya utabibu anaitwa clinical officer.
Utendaji kazi ni ule ule hauna tofauti yoyote tofauti ipo katika vyeo tu
Wako wengi wa kidato cha 6 waliofaulu vzr sana tu ambao wanasoma Diploma kwy fani mbalimbali.utatokaje kidato cha 6 kwenda diploma? Maana yake wewe kidato cha 6 ulifeli.
Clinical Officer na Clinical Assistant zamani Medical Assistant na Rural Medical Assistant.Mwenye cheti cha utabibu anaitwa assistant clinical officer
Mwenye diploma ya utabibu anaitwa clinical officer.
Utendaji kazi ni ule ule hauna tofauti yoyote tofauti ipo katika vyeo tu
Ipo hesabu madarasa: Primary; 12, Secondary 4.Yes Kenya hakuna form 6
Basic science ya clinical officer iko too shallow so refer Anatomy and physiology ya Ross and Wilson ( ni kama introduction tu) pathology ndio kabisaa hamna kitu.Mkuu hujanishawishi.
Unamaanisha kidato cha 6 bila Diploma ya Utabibu yuko sawa na kidato cha 6 mwenye Diploma ya Utabibu?
Je, kidato cha 6 bila Diploma ya Utabibu anajuwa yafuatayo?
1. Pharmacology.
2. Surgery.
3. Anatomy and Physiology.
4. Medical Psychology.
5. Lab Technics.
6. Pathology (Bacteriology & Virology).
.