Mtaala wa Udaktari Udurusiwe

Mtaala wa Udaktari Udurusiwe

Mtu unaitwa Pembe unafikiri utakuwa unauelewa mzuri kwanza
Utakuwa mjinga unataka warahisishe ili mje kutuua huku mtaani. Komaa nyambafu or else acha. Kozi za afya mmeziparamia kukimbilia ajira na uwezo wenu ni wa chini.
Mtaala ubadirishwe kisa MTU mmoja mpumbavu aliyefeli?
 
Utakuwa mjinga unataka warahisishe ili mje kutuua huku mtaani. Komaa nyambafu or else acha. Kozi za afya mmeziparamia kukimbilia ajira na uwezo wenu ni wa chini.
Mtaala ubadirishwe kisa MTU mmoja mpumbavu aliyefeli?
Hivi unajua nilikuwa namaana gani nawewe umeandika nini hapa!?

Toka mwanzo nilikuwa na wasiwasi na uwezo wako wa akili!!
 
Mkuu unamaanisha mwenye digrii ya Political Science au Kiswahili anaweza kudahiliwa kusoma digrii ya Udaktari Marekani?

Wanapenda Bachelor of Science yoyote iwe Biology, Chemistry, physics, Neuroscience n.k
require the completion of a four-year pre-med undergraduate degree in a relevant subject and require you to demonstrate your scientific knowledge in areas of Biology, general Chemistry and organic Chemistry. For this reason, many students choose to take undergraduate Biology or Chemistry programmes
Mtindo ni huo huo USA kusomea sheria wanapenda hata uwe na digrii ya geography ilimradi tu una digrii fulani hata ya udaktari wa binadamu basi utaweza kusoma digrii ya sheria maana utakuwa na uelewa mpana wa mambo ukiwa wakili .
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Acha ushamba !!

Huwezi kalili kila kitu sio hesabu iyo na hakuna formula

Yes!! Acha agoogle jinsi anavogoogle daktari ni tofauti na wewe yeye anajua anatafuta nini sehemu sahihi ya kupata correct infos.

Wakati mwingne daktari anaingia medscape kuchek dose sio kosa…au

Kuna muda anawasha simu ili atumie calculator aweze kutoa dose kwa usahihi,,whats the problem


Mbona wazungu wako honest anamwambia mgonjwa hiki nmesahau kidogo ngoja niangalie kene files
Chizi ww madaktari wa zamani kabla ya smartphone walikuwa wanafanyaje kazi yaani ukae darasani miaka mitano halafu u Google dalili Tanzania sio nchi ya kukaa ngoja nikusanye hela niondoke kwa ufala huu unatetea ujinga vipi na mimi niki Google nikienda pharmacy kununua dawa hospital ataenda nani

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Ukilinganisha shule ya udaktari na ya diploma ya utabibu, ni kama yule wa diploma hajasoma chochote. Ni vyema akaanza upya.
 
U

Uelewa wa aliyetoka kidato Cha 6 huwa ni mkubwa sna
Hapana!!! Aliyetokea Diploma ndio anakuwa yuko vizuri, maana tayari anakuwa na taaluma na uzoefu. Na ikumbukwe tu kuwa mhitimu wa Diploma anaweza kuajirika ama kujiajiri hapo alipo.
 
Unataka miaka iwe mingapi!? Afu kwann iwe udaktari tu unafikiri wa Education aliesoma Diploma miaka mi3 au Mi2 yeye huwa anasoma mwaka mmoja mkuu!?

Kama huwezi kusoma hiyo miaka mi5 acha tu ufanye issues zingine mkuu!?
Sio kama aache kusoma ni ana hoja ya msingi, mimi pia niliupenda udaktari lakini nimeukacha kwasababu ya muda unasoma unazeekea shuleni[emoji38] ,
 
Elimu inayoeleweka duniani ni katika mpangilio huu : kutoka primary kwenda secondary kwenda high school au advanced na kwenda chuo kikuu.

Mfumo wa kupitia astashahada( certificate) au stashahada( diploma) ni mfumo ulioandaliwa kwa ajili ya wale walioshindwa kuendana na mfumo wa kawaida na aghalabu wanakuwa wamefeli.

Kutokea kidato Cha sita au high school ni mfumo unatambulika dunia nzima kumuanda mwanafunzi kwa masomo ya chuo kikuu. Mwanafunzi aliyetoka advance na kwenda chuo anakuwa competent sana na mwenye uwezo na uelewa mkubwa sana darasani kutokana na kwamba masomo ya advance yanamuandaa mtu kukabiliana na mfumo wa masomo ya Elimu ya juu.
Case closed!!!!

Hawa certificate wasitusumbue hapa.
 
Mkuu hujanishawishi.

Unamaanisha kidato cha 6 bila Diploma ya Utabibu yuko sawa na kidato cha 6 mwenye Diploma ya Utabibu?

Je, kidato cha 6 bila Diploma ya Utabibu anajuwa yafuatayo?

1. Pharmacology.
2. Surgery.
3. Anatomy and Physiology.
4. Medical Psychology.
5. Lab Technics.
6. Pathology (Bacteriology & Virology).

Hapo 1- 6 namaanisha je, mhitimu wa kidato cha 6 anajuwa kuandika dawa? Je, anajuwa upasuaji mdogo? Je, anajuwa kusoma ripoti za Maabara? Je, anajuwa kushona nyuzi? Je, anajuwa kudunga sindano? Je, anajuwa kuzalisha mjamzito? Je, anajuwa kuweka dripu?

Wenye Diploma ya Utabibu wakienda Digrii ya Udaktari wapunguziwe miaka ya kozi.
Hayo muhitimu wa 4m 6 atayakuta chuoni tena ngazi ya degree. Hao wa Diploma watajijei.
 
Bro yani umeenda OP kabisa... kozi nyingi za engineering zinakua miaka 4 kusoma kama umepitia advance, kama ulipita diploma basi unatosoma miaka 3. Na hio ya advance sio dunia nzima... Kenya tu hapo ukimaliza form 4 unaenda college. Nchi kama marekani wana high-school ambapo ndio unapata high-school-diploma. Na kwa uzoefu wangu, waajili wengi wanaoajili freshers wanakwambia waliopitia diploma wanakuaga na ujuzi zaidi katika kazi kuliko wale walitokea A-level, kwa upande wa engineering.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mmeanzaa nyie Diploma wa Engineering, kumbe hamna kitu. PCM/ PGM Ziliwabwagaaa lol

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uzoefu wenu upo kwenye ngazi ya chini ya uelewa, hata kuruhusiwa kusoma degree ni favour tu mmepewa.....ila kimsingi anayeruhusiwa kusoma degree kwa Tanzania ni aliyefuzu masomo ya A-level.
Full stop.
Tena umehitimishaa haswaaa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]imbombo ngafu; Diploma wanataka kupangua meza. Diploma ninyi mpo NACTE huko mnasheria zenu na sisi tupo TCU tunasheria zetu.

Ni huruma tu; hamkutakiwa hata kujiunga degree; mlitakiwa msome Advanced Diploma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanazitamani Degree, na uwezo hawanaaa.
 
Sio kama aache kusoma ni ana hoja ya msingi, mimi pia niliupenda udaktari lakini nimeukacha kwasababu ya muda unasoma unazeekea shuleni[emoji38] ,
Hukuutaka u Dr bhanaa, km kwelii naamini ungesoma tyuuh.
 
Mkuu hujanishawishi.

Unamaanisha kidato cha 6 bila Diploma ya Utabibu yuko sawa na kidato cha 6 mwenye Diploma ya Utabibu?

Je, kidato cha 6 bila Diploma ya Utabibu anajuwa yafuatayo?

1. Pharmacology.
2. Surgery.
3. Anatomy and Physiology.
4. Medical Psychology.
5. Lab Technics.
6. Pathology (Bacteriology & Virology).

Hapo 1- 6 namaanisha je, mhitimu wa kidato cha 6 anajuwa kuandika dawa? Je, anajuwa upasuaji mdogo? Je, anajuwa kusoma ripoti za Maabara? Je, anajuwa kushona nyuzi? Je, anajuwa kudunga sindano? Je, anajuwa kuzalisha mjamzito? Je, anajuwa kuweka dripu?

Wenye Diploma ya Utabibu wakienda Digrii ya Udaktari wapunguziwe miaka ya kozi.
Hapo kwenye Co wanatakiwa wapunguziwe miaka kwasababu wanakuwa Wana uzoefu na wamejitunza mengi Yale ya MD ISIPOKUWA UPASUAJI MKUBWA TU ILA MAGONJWA AU DIAGNOSIS hazibadiliki ila treatment Zina change kutokana na updates ambazo wote watazosoma Kwa guidelines
 
Tujadiliane.

Mhitimu wa Stashahada ya Utabibu (miaka 2) na pengine aliye na uzoefu wa kazi, kwanini akienda kusoma Udaktari kamili (ngazi ya Shahada) asipunguziwe miaka ya masomo toka 5 kurudi chini?

Anapolazimika kusoma miaka 5 sawa na mhitimu wa kidato cha 6 ina maana mtaala wa kidato cha 6 ndiyo huo huo mtaala wa Stashahada ya Utabibu?

Je, kidato cha 6 yuko sawa na mwenye Stashahada ya Utabibu kwamba wote hao wawili wasome miaka na mtaala unaofanana wa Shahada ya Udaktari chuo kikuu?

Aidha, kwanini mhitimu wa Cheti cha Utabibu anaitwa jina moja la CO (Clinical Officer) yaani Tabibu sawa na mhitimu wa Stashahada? Ina maana mtaala wa Cheti cha Utabibu na mtaala wa Stashahada ya Utabibu vinalingana kwenye maudhui? Cheti na Stashahada vina hadhi sawa?

Wabunge mlione hili kwa jicho la 3.
Soma kinacholingana na akili yako kwann kulazimisha kusoma udaktari?
 
Back
Top Bottom