Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2]Labda mwenye Diploma angeitwa AMO (Assistant Medical Officer)
Mwamba wewe ni MUHA au mkurya una ubishi usio na maana kabisa hata pale unaposahihishwaAstashahada siyo cheti, ni vitu viwili tofauti. Iko hivi:-
1. Cheti ni Certificate.
2. Stashahada ni Diploma.
3. Astashahada ni Advanced Diploma (imefutwa Tz. Kuna mtu aliipachika tu kwa maslahi yake)
4. Stashahada ya Uzamili ni Postgraduate Diploma.
5. Shahada ni Degree.
6. Shahada ya Uzamili ni Masters Degree.
7. Shahada ya Uzamivu ni PhD.
Unachekesha ujue... ukitaka kujua utofauti uliopo Tafuta Dr aliyesoma CO then MD .. mwenyewe atakuambia shule ya CO ni ndooogo sana sana hata Anatomy anaanza upya kabisa... achilia mbali physiology na mnyama pathology.Hapo kwenye Co wanatakiwa wapunguziwe miaka kwasababu wanakuwa Wana uzoefu na wamejitunza mengi Yale ya MD ISIPOKUWA UPASUAJI MKUBWA TU ILA MAGONJWA AU DIAGNOSIS hazibadiliki ila treatment Zina change kutokana na updates ambazo wote watazosoma Kwa guidelines
unajua chochote kuhusu journals,, au medical search engines.... kuna daily updates na miongozo ... watu wana reseach muda wote na ku-publish ...Hizo dose unatakiwa uwe nazo kichwani. Ndio maana ukasoma miaka Sita.
+ Uzoefu
+ Unajisomea kila unapopata muda.
Hata wewe hujui viti vingi alivyopitia advance.. kuwa mpole. Hta hivyo ninyi ndo wenye favour kubwa kuliko hata hao form six..Mkuu hujanishawishi.
Unamaanisha kidato cha 6 bila Diploma ya Utabibu yuko sawa na kidato cha 6 mwenye Diploma ya Utabibu?
Je, kidato cha 6 bila Diploma ya Utabibu anajuwa yafuatayo?
1. Pharmacology.
2. Surgery.
3. Anatomy and Physiology.
4. Medical Psychology.
5. Lab Technics.
6. Pathology (Bacteriology & Virology).
Hapo 1- 6 namaanisha je, mhitimu wa kidato cha 6 anajuwa kuandika dawa? Je, anajuwa upasuaji mdogo? Je, anajuwa kusoma ripoti za Maabara? Je, anajuwa kushona nyuzi? Je, anajuwa kudunga sindano? Je, anajuwa kuzalisha mjamzito? Je, anajuwa kuweka dripu?
Wenye Diploma ya Utabibu wakienda Digrii ya Udaktari wapunguziwe miaka ya kozi.
Kaa ujue wanaoenda chuo kikuu Kwa kenya ni wale waliopata ufaulu wa juu sana.. wengine huwa wanajoin vyuo vya kati Halfu chuo kikuu baadayeMkuu hapa umetudanganya,si kila nchi wana mtaala wa kusoma form 1 hadi form 6 mbona Kenya sekondari wanasoma hadi form 4 kisha wanaingia chuo kikuu so unataka kusema wakiingia chuo hawapati competency inayotakiwa kidunia?
Madr wa siku Hizi Hasa hawa vijana wanakaa na vitabu vyao kabsa na wanatafuta wakuandikie sawa ipi mbele Yako mgonjwa... Lkn nadhan miongozo inaruhusuInategemea unatafuta nini huko mtandaoni kama unatafuta Guidelines za WHO au MoH, CDC sawa.
Ila haitopendeza ufanye mbele ya mgonjwa, lazima atapata mashaka.
Na tena ukiwa ni kijana. Hakuna imani kabisa.
Ni kweli wa kidato cha sita hana ujuzi wala uzoefu sawa wa aliyekuwa chuoni.Mkuu hujanishawishi.
Unamaanisha kidato cha 6 bila Diploma ya Utabibu yuko sawa na kidato cha 6 mwenye Diploma ya Utabibu?
Je, kidato cha 6 bila Diploma ya Utabibu anajuwa yafuatayo?
1. Pharmacology.
2. Surgery.
3. Anatomy and Physiology.
4. Medical Psychology.
5. Lab Technics.
6. Pathology (Bacteriology & Virology).
Hapo 1- 6 namaanisha je, mhitimu wa kidato cha 6 anajuwa kuandika dawa? Je, anajuwa upasuaji mdogo? Je, anajuwa kusoma ripoti za Maabara? Je, anajuwa kushona nyuzi? Je, anajuwa kudunga sindano? Je, anajuwa kuzalisha mjamzito? Je, anajuwa kuweka dripu?
Wenye Diploma ya Utabibu wakienda Digrii ya Udaktari wapunguziwe miaka ya kozi.
Mbunge kama msukuma kibajaji na wengine unategemea wakutete wewe msomiTujadiliane.
Mhitimu wa Stashahada ya Utabibu (miaka 2) na pengine aliye na uzoefu wa kazi, kwanini akienda kusoma Udaktari kamili (ngazi ya Shahada) asipunguziwe miaka ya masomo toka 5 kurudi chini?
Anapolazimika kusoma miaka 5 sawa na mhitimu wa kidato cha 6 ina maana mtaala wa kidato cha 6 ndiyo huo huo mtaala wa Stashahada ya Utabibu?
Je, kidato cha 6 yuko sawa na mwenye Stashahada ya Utabibu kwamba wote hao wawili wasome miaka na mtaala unaofanana wa Shahada ya Udaktari chuo kikuu?
Aidha, kwanini mhitimu wa Cheti cha Utabibu anaitwa jina moja la CO (Clinical Officer) yaani Tabibu sawa na mhitimu wa Stashahada? Ina maana mtaala wa Cheti cha Utabibu na mtaala wa Stashahada ya Utabibu vinalingana kwenye maudhui? Cheti na Stashahada vina hadhi sawa?
Wabunge mlione hili kwa jicho la 3.
Ana mabasi 50 Kanda ya Ziwa.Mbunge kama msukuma kibajaji na wengine unategemea wakutete wewe msomi
Wakati hawajui kitu
Wao wapo pale kutetea biashara zao tuu
Baraza na chama chenu kazi yake ni nn??
Wewe fundi gereji ya kirikuu utashindana na HR wapi na wapi?[emoji38][emoji16][emoji23][emoji851]Mwamba wewe ni MUHA au mkurya una ubishi usio na maana kabisa hata pale unaposahihishwa
Hiyo Astashahada maana ake nini!?
Baghosha!Kumbe walifeli matriculation, ndo ujue walifeli.
Sasa unakataa nn, khaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unajua unacho kiandika lakini? Umesema alifaulu ila matriculation alifeli, means angefaulu asingeenda diploma.Baghosha!
Siyo wewe ulibisha kwamba Form Six aliyefaulu hawezi kusoma Diploma!!!???
Nimeamini 100% wewe ni mwezi mchanga! [emoji38][emoji16][emoji441][emoji344]
Kama ukifaulu mtihani wao wa kuingia Medical school. Pia ujiandae kusoma mno.Mkuu unamaanisha mwenye digrii ya Political Science au Kiswahili anaweza kudahiliwa kusoma digrii ya Udaktari Marekani?
Kumbe HR [emoji23][emoji23]Wewe fundi gereji ya kirikuu utashindana na HR wapi na wapi?[emoji38][emoji16][emoji23][emoji851]
Cheti Cha utabibu= C.A. (Tabibu msaidizi)Alafu eti mhitimu wa Cheti cha Utabibu anaitwa jina moja la CO (Clinical Officer) yaani Tabibu sawa na mhitimu wa Stashahada ya Utabibu! Ina maana mtaala wa Cheti cha Utabibu na mtaala wa Stashahada ya Utabibu vinalingana kwenye maudhui? Cheti na Stashahada vina hadhi sawa? Baghosha Tz!
Wabunge mliwashe kieleweke.
Si kweli.India kuwa daktari bingwa unaanzia umri wa miaka 21 minimum.
Acha UONGO, kwamba kiswahili kingine chá cheti ni certificate?[emoji1][emoji1][emoji1]Astashahada siyo cheti, ni vitu viwili tofauti. Iko hivi:-
1. Cheti ni Certificate.
2. Stashahada ni Diploma.
3. Astashahada ni Advanced Diploma (imefutwa Tz. Kuna mtu aliipachika tu kwa maslahi yake)
4. Stashahada ya Uzamili ni Postgraduate Diploma.
5. Shahada ni Degree.
6. Shahada ya Uzamili ni Masters Degree.
7. Shahada ya Uzamivu ni PhD.