Mtaalam: Mwanaume yoyote ukijigundua tu kuwa una kisukari jua ulishaanza au umeshaanza 'kuchapiwa' mkeo/ demu wako

Mtaalam: Mwanaume yoyote ukijigundua tu kuwa una kisukari jua ulishaanza au umeshaanza 'kuchapiwa' mkeo/ demu wako

Tukiwa tunawaambieni kuwa pendeni kufanya mazoezi na acheni 'kufakamia' mivyakula yenu hiyo ya mafuta mafuta na kuishi kwa 'kubweteka' na mfanye sana mazoezi ili muwe 'fiti' kiafya kama akina GENTAMYCINE, huwa hamtuelewi na wengine mkidhani kuwa labda tunakuwa tunawaonea wivu na huo ulaji wenu wa 'kitajiri' mnaojisifu nao.

Sasa ni rasmi kuwa 99.999% ya wanaume wanaougua kisukari huwa 'wanachapiwa' sana wake zao kwakuwa mwanaume akishakuwa tu na hilo tatizo uwezo wake wa kusimamisha uume inavyotakiwa.

Unakutana na mwanaume mzima uko nae ndani ya Daladala nae anamuita kondakta tena bila aibu kabisa na uso wake ukiwa mkavu akimwomba amshushie kituo cha msaada ili mradi tu asitembee umbali mrefu na aweze kufika kwake bila kutokwa na jasho lolote lile.

Hivi mimi GENTAMYCINE ambaye naishi Pugu mnadhani huwa nakuwa ''Popoma'' pale nikipanda zangu Daladala Kariakoo kisha nikifika pale TAZARA nashuka kisha naanza kutembea kwa miguu hadi nafika maghetoni kwangu Pugu? na kwa wanaume wengi kutopenda kufanya mazoezi 'mtachapiwa' mno hadi mkome.

Kwa uhondo kamili wa hili tatizo la ugonjwa wa kisukari linalopelekea wanaume wengi wenye nao 'kuchapiwa' wake zao kwakuwa huwa wanakuwa hawana uwezo wa kusimamisha vyema minara yao ya Babeli na kulitendea vyema tendo la ngono, tafuta gazeti la leo la Tanzania Daima kwani huko mtaalam 'kafunguka' kinomanoma.
Ndugu yangu nikwambie kitu, muombe Mungu sana wewe au mtu wa karibu kwako asijepata hili tatizo..nawafaham watu waliokua very active in life still wakapata diabetes before age 40.. Usiwadhihaki kabisa...suala la kuchapiwa mtu yeyote yule anaweza kuchapiwa, hata athletes..nakuonea huruma kua there will come a day utatamani umeze maneno haya na itakua too late...kumbuka tomorrow is a mystery to all of us
 
Ndugu yangu nikwambie kitu, muombe Mungu sana wewe au mtu wa karibu kwako asijepata hili tatizo..nawafaham watu waliokua very active in life still wakapata diabetes before age 40.. Usiwadhihaki kabisa...suala la kuchapiwa mtu yeyote yule anaweza kuchapiwa, hata athletes..nakuonea huruma kua there will come a day utatamani umeze maneno haya na itakua too late...kumbuka tomorrow is a mystery to all of us

Yaonekana Wewe ni Mgeni wa GENTAMYCINE hapa Jamvini JamiiForums Mkuu na pole sana kwa Kukwazika na Uwasilishaji wangu. Naomba nikusaidie tu Mkuu kwa kukuambia ya kwamba huwa napenda Kuanzisha Mada yenye Mantiki na Umuhimu lakini katika Kuifanya iwe na ' Uchangamfu ' wa Kimjadala na kupata michango mingi huwa napenda ' Kuchokoza ' ila sina nia mbaya yoyote Mkuu. Nina Ndugu zangu kadhaa nao sasa wanaugua huo Ugonjwa. Naomba Radhi Kwako / Kwenu kama Uwasilishaji wangu mmeuopokea kwa Mtizamo huo Hasi.
 
😁😀😂🤣😃😄😅
Baelezee Bhaelewe
Bhatalokota Kunyavu
 
Tukiwa tunawaambieni kuwa pendeni kufanya mazoezi na acheni 'kufakamia' mivyakula yenu hiyo ya mafuta mafuta na kuishi kwa 'kubweteka' na mfanye sana mazoezi ili muwe 'fiti' kiafya kama akina GENTAMYCINE, huwa hamtuelewi na wengine mkidhani kuwa labda tunakuwa tunawaonea wivu na huo ulaji wenu wa 'kitajiri' mnaojisifu nao.

Sasa ni rasmi kuwa 99.999% ya wanaume wanaougua kisukari huwa 'wanachapiwa' sana wake zao kwakuwa mwanaume akishakuwa tu na hilo tatizo uwezo wake wa kusimamisha uume inavyotakiwa.

Unakutana na mwanaume mzima uko nae ndani ya Daladala nae anamuita kondakta tena bila aibu kabisa na uso wake ukiwa mkavu akimwomba amshushie kituo cha msaada ili mradi tu asitembee umbali mrefu na aweze kufika kwake bila kutokwa na jasho lolote lile.

Hivi mimi GENTAMYCINE ambaye naishi Pugu mnadhani huwa nakuwa ''Popoma'' pale nikipanda zangu Daladala Kariakoo kisha nikifika pale TAZARA nashuka kisha naanza kutembea kwa miguu hadi nafika maghetoni kwangu Pugu? na kwa wanaume wengi kutopenda kufanya mazoezi 'mtachapiwa' mno hadi mkome.

Kwa uhondo kamili wa hili tatizo la ugonjwa wa kisukari linalopelekea wanaume wengi wenye nao 'kuchapiwa' wake zao kwakuwa huwa wanakuwa hawana uwezo wa kusimamisha vyema minara yao ya Babeli na kulitendea vyema tendo la ngono, tafuta gazeti la leo la Tanzania Daima kwani huko mtaalam 'kafunguka' kinomanoma.
Tangia utolewe marinda unaandika mambo ya kipopoma tu!
 
Tukiwa tunawaambieni kuwa pendeni kufanya mazoezi na acheni 'kufakamia' mivyakula yenu hiyo ya mafuta mafuta na kuishi kwa 'kubweteka' na mfanye sana mazoezi ili muwe 'fiti' kiafya kama akina GENTAMYCINE, huwa hamtuelewi na wengine mkidhani kuwa labda tunakuwa tunawaonea wivu na huo ulaji wenu wa 'kitajiri' mnaojisifu nao.

Sasa ni rasmi kuwa 99.999% ya wanaume wanaougua kisukari huwa 'wanachapiwa' sana wake zao kwakuwa mwanaume akishakuwa tu na hilo tatizo uwezo wake wa kusimamisha uume inavyotakiwa.

Unakutana na mwanaume mzima uko nae ndani ya Daladala nae anamuita kondakta tena bila aibu kabisa na uso wake ukiwa mkavu akimwomba amshushie kituo cha msaada ili mradi tu asitembee umbali mrefu na aweze kufika kwake bila kutokwa na jasho lolote lile.

Hivi mimi GENTAMYCINE ambaye naishi Pugu mnadhani huwa nakuwa ''Popoma'' pale nikipanda zangu Daladala Kariakoo kisha nikifika pale TAZARA nashuka kisha naanza kutembea kwa miguu hadi nafika maghetoni kwangu Pugu? na kwa wanaume wengi kutopenda kufanya mazoezi 'mtachapiwa' mno hadi mkome.

Kwa uhondo kamili wa hili tatizo la ugonjwa wa kisukari linalopelekea wanaume wengi wenye nao 'kuchapiwa' wake zao kwakuwa huwa wanakuwa hawana uwezo wa kusimamisha vyema minara yao ya Babeli na kulitendea vyema tendo la ngono, tafuta gazeti la leo la Tanzania Daima kwani huko mtaalam 'kafunguka' kinomanoma.
HIVI WANAWAKE UNAWAFAHAMU VIZURI AU ? Mtu haishi kwa mkate tu.
 
Back
Top Bottom