Mtaalam wa Afya ya Uzazi: Mimba za Watoto wa Kike 'Style ni ya Mende' na za Watoto wa Kiume 'Style ni ya Bong'oa' hivyo Kazi Kwenu sasa mnaowatafuta

Mtaalam wa Afya ya Uzazi: Mimba za Watoto wa Kike 'Style ni ya Mende' na za Watoto wa Kiume 'Style ni ya Bong'oa' hivyo Kazi Kwenu sasa mnaowatafuta

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
" Ukitaka kupata Mtoto wa Kike hakikisha Mwenza wako ( Mke au Mpenzi ) ukiwa unafanya nae Mapenzi hafiki Kileleni ( yaani Wewe Mwanaume wahi Kumwaga ) kwani ukifanya hivyo utafanya zile Mbegu za Kiume za Y za Mwanaume zisigusane na X za Mwanamke. Lakini pia ukitaka kupata kirahisi Mtoto wa Kike hakikisha hata Style ya Kulala na Mwenza wako iwe ni ile ya Mende Kafa. Ukitaka Mkeo au Mpenzi wako ashike Mimba ya Mtoto wa Kiume basi hakikisha Yeye ( Mke au Mpenzi ) anafika Kileleni kuanzia mara tatu hadi tano ukiwa Unamlala kabla ya Wewe kufika mwisho / kukojoa. Ila kama ukitaka pia Mimba ya Mtoto wa Kiume ipatikane kirahisi sana hakikisha hufanyi Ngono kwa mfumo wa Mende Kafa bali mgeuze au mpinde Mgongo kwani Mbegu za Kiume huwa zinakimbia kwa Kasi ya ajabu sana katika Uke wa Mwanamke ukitumia huu Mfumo ila hakikisha tu Yeye ( Mwanamke wako ) anafika Kileleni kuanzia mara tatu au tano" amesema Mtaalam wa Afya ya Uzazi Mtandaoni na Clip yake inasambaa kweli kweli.

Haya kama kawaida GENTAMYCINE sina Uchoyo wa Maarifa tayari nimeshawapeni haya Madini hivyo Kazi Kwenu Ok?
 
Chief Uganda si wamekataza Yale mambo yenu? Nasikia wakikufuma adhabu Miaka 30 jela
 
" Ukitaka kupata Mtoto wa Kike hakikisha Mwenza wako ( Mke au Mpenzi ) ukiwa unafanya nae Mapenzi hafiki Kileleni ( yaani Wewe Mwanaume wahi Kumwaga ) kwani ukifanya hivyo utafanya zile Mbegu za Kiume za Y za Mwanaume zisigusane na X za Mwanamke. Lakini pia ukitaka kupata kirahisi Mtoto wa Kike hakikisha hata Style ya Kulala na Mwenza wako iwe ni ile ya Mende Kafa. Ukitaka Mkeo au Mpenzi wako ashike Mimba ya Mtoto wa Kiume basi hakikisha Yeye ( Mke au Mpenzi ) anafika Kileleni kuanzia mara tatu hadi tano ukiwa Unamlala kabla ya Wewe kufika mwisho / kukojoa. Ila kama ukitaka pia Mimba ya Mtoto wa Kiume ipatikane kirahisi sana hakikisha hufanyi Ngono kwa mfumo wa Mende Kafa bali mgeuze au mpinde Mgongo kwani Mbegu za Kiume huwa zinakimbia kwa Kasi ya ajabu sana katika Uke wa Mwanamke ukitumia huu Mfumo ila hakikisha tu Yeye ( Mwanamke wako ) anafika Kileleni kuanzia mara tatu au tano" amesema Mtaalam wa Afya ya Uzazi Mtandaoni na Clip yake inasambaa kweli kweli.

Haya kama kawaida GENTAMYCINE sina Uchoyo wa Maarifa tayari nimeshawapeni haya Madini hivyo Kazi Kwenu Ok?
Total rubbish, hakuna uthibitisho wa kisayansi, ni upuuzi wa, kibongo wa kupenda ngono
 
Sio kila unaemuona anazungumzia jambo ni mtaalam.
 
Back
Top Bottom