Mtaalam wa Kijeshi: Harmonize ametuaibisha Makomandoo kwani alitua Kishamba na Kizembe kama gunia la viazi mbatata

Mtaalam wa Kijeshi: Harmonize ametuaibisha Makomandoo kwani alitua Kishamba na Kizembe kama gunia la viazi mbatata

"Nilikuwa naliangalia lile tukio zima ila nilipoona tu ghafla Msanii Harmonize anapita juu kwa ile Kamba kama Mtu wa Medani nilichukizwa mno kwani hakuonyesha hata tu 5% ya kwamba Yeye ni Mjeshi na alikosea mambo mengi ya Kimsingi sana huku ile tua yake kama Gunia la Viazi Mbatata limerushwa kutoka katika Lori, kutupa Bendera huku akihema hadi kupatwa na Kizunguzungu liliharibu kila Kitu. Rai yangu tu kwa hawa Wasanii waache Kujiita Majina ambayo hayaendani nao Kiuhalisia na bora ya hata huyu sijui Diamond anavyojiita Simba kwani ni kweli kabisa ukimuangalia mambo mengi ni makubwa na ya Kujiamini kama alivyo Simba halisi"

Haya mnaopingana na huyu Mtaalam wa Kijeshi jitokezeni mtoe Hoja zenu za Maana na wale mnaomuunga mkono karibuni katika Kumpongeza tu.
Vijana wanapenda kuiga wasiyoyaweza. Yeye anafikir kupita kwenye rola ni jambo la kitoto.
Askar mwenyew mpaka kufikia hatua ya kupita kwenye Kamba au parachut kuna mazoez ya muda mrefu yamefanyika..

Kwanza kuna kutengeneza nguvu za mikono zitakazokuwezesha kuhimini uzito Wa mwili wako, kuna kutengeneza ukakamavu yaani kutoyumbayumba na kutengeneza ujasiri Wa kutoogopa umbali toka juu ya Kamba mpaka chini.

Sasa huyu mtoto wa mama mla mayai yasiyo na shahawa ya jogoo na Kuku wa kukuzwa na taa sijui kama alifanya hayo maandali..

Vijana wanakimbilia kujifanya wanajeshi, Mara ooh kamanda Mara mtu katupia nguo za kijeshi lakn hawajui kuwa ile nguo wenzao wameipata kwa jasho na damu..
 
Ile kamba iliwekwa kwa matumizi ya siku hiyo au huwa ipo?

Harmonizi aliyekimbia siku ile @napennawiya anatishiwa ile bastola ndo huyo huyo wa kwenye kamba au baada ya tukio la nape alienda kusomea ukomando.


Hamonize hivi alianzaje au alitumia nguvu za giza jamani semeni ukweli. Wanavyosema wamakonde hata ukimwachia nyumba au shamba akulindie hauji kupajua tena nimeamini juzi.
 
Ile kamba iliwekwa kwa matumizi ya siku hiyo au huwa ipo?

Harmonizi aliyekimbia siku ile @napennawiya anatishiwa ile bastola ndo huyo huyo wa kwenye kamba au baada ya tukio la nape alienda kusomea ukomando.


Hamonize hivi alianzaje au alitumia nguvu za giza jamani semeni ukweli. Wanavyosema wamakonde hata ukimwachia nyumba au shamba akulindie hauji kupajua tena nimeamini juzi.
Aliyekimbia ile bastola ni HARMORAPA [emoji1] [emoji1]
 
"Nilikuwa naliangalia lile tukio zima ila nilipoona tu ghafla Msanii Harmonize anapita juu kwa ile Kamba kama Mtu wa Medani nilichukizwa mno kwani hakuonyesha hata tu 5% ya kwamba Yeye ni Mjeshi na alikosea mambo mengi ya Kimsingi sana huku ile tua yake kama Gunia la Viazi Mbatata limerushwa kutoka katika Lori, kutupa Bendera huku akihema hadi kupatwa na Kizunguzungu liliharibu kila Kitu. Rai yangu tu kwa hawa Wasanii waache Kujiita Majina ambayo hayaendani nao Kiuhalisia na bora ya hata huyu sijui Diamond anavyojiita Simba kwani ni kweli kabisa ukimuangalia mambo mengi ni makubwa na ya Kujiamini kama alivyo Simba halisi"

Haya mnaopingana na huyu Mtaalam wa Kijeshi jitokezeni mtoe Hoja zenu za Maana na wale mnaomuunga mkono karibuni katika Kumpongeza tu.
Hiki kitakuwa cha Arusha tu lazima!!
 
"Nilikuwa naliangalia lile tukio zima ila nilipoona tu ghafla Msanii Harmonize anapita juu kwa ile Kamba kama Mtu wa Medani nilichukizwa mno kwani hakuonyesha hata tu 5% ya kwamba Yeye ni Mjeshi na alikosea mambo mengi ya Kimsingi sana huku ile tua yake kama Gunia la Viazi Mbatata limerushwa kutoka katika Lori, kutupa Bendera huku akihema hadi kupatwa na Kizunguzungu liliharibu kila Kitu. Rai yangu tu kwa hawa Wasanii waache Kujiita Majina ambayo hayaendani nao Kiuhalisia na bora ya hata huyu sijui Diamond anavyojiita Simba kwani ni kweli kabisa ukimuangalia mambo mengi ni makubwa na ya Kujiamini kama alivyo Simba halisi"

Haya mnaopingana na huyu Mtaalam wa Kijeshi jitokezeni mtoe Hoja zenu za Maana na wale mnaomuunga mkono karibuni katika Kumpongeza tu.
Mkuu Kuna mtu alilegeza kamba ndio maana akadondoka
 
Uanajeshi n ukakamavu,ushawah ona wanashuka na #parachute# skydivers wanashukaje? Sio kila kitu ujikute unachambua kana kwamba unajua. Haaaah kwa tuliopitia mafunzo twajua jamaaa kajitahd na kwa MTU wa kawaida hawezi Fanya .


Alichofanya #HARMONIZE# JESHI# KONDEBOY# kilitakiwa kifanywe na MAKOMANDOOO MBELE YA MH: RAISI KUADHIMISHA MIAKA 59 YA UHURU MWAKA HUU...


#Risk aliyoichukua ndio iliwaogopesha watu,na ndio kilichothibtsha kuwa usaniii ni zaid ya make- up na #ON STAGE BLAAHBLAAH
Pamoja sana mkuu. Nimekuwa nikipitia shombo za watu wengi mitandaoni wakimbeza Harmonize kwa alichokifanya. Ila nimegundua wengi hawajui uhalisia wa kile alichokifanya "Konde boy".

"Konde boy" alijirisk sana, na nampa hongera alifanikiwa kwa kiwango kikubwa. Humu ndani kwenyewe(kwa watu wa medani) kile kitu hufanywa na watu wachache sana tena ambao hufanya mazoezi ya kuridhisha kabla ya tukio/ushereheshaji husika. Isipokuwa wale jamaa zangu wa unit 92, wale ni maisha yao hayo mavurugu ni kuwashtua tu wanafanya na inaisha kibabe, Maana pale hizo mambo ni kama salamu tu, shikamoo....marhaba!

Konde asibezwe, amejitahidi sana. Hongera kwake.
 
Yaani huyu atafia mbele za watu na sifa za kijinga, na Utopolo hawatalipa hata sent tano kama fidia. Mishahara tu kitendawili plus jezi zimekwama hapo nani liu... ashauriwe kiki nyingine zitamzimisha moja kwa moja.

Walioona lile tukio watakubaliana na ukweli kwamba ule mgongo ulipigizwa km mara tatu hivi na tulimuona msanii huyo akitoa macho kama kapoteza network uwanja ulikuwa kimya dakika kadhaa ukiomba Mungu awaepushie UTOPOLO AIBU ile.

Wakulaumiwa ni uongozi wa huyo dogo walikosa idea? Hata reheasal hawakufanya?
Hivi walimuona Mjeshi gani anashuka kwa kupiga matako yake chini? Si atakufa vitani?

Naungana na wewe.... labda mjeshi mavi[emoji2960]
wangapi wamefika kwenye kazi zao za sanaa? wewe kama ni muoga muache yeye afanye
 
Back
Top Bottom