Mtaalam wa Kijeshi: Harmonize ametuaibisha Makomandoo kwani alitua Kishamba na Kizembe kama gunia la viazi mbatata

Mtaalam wa Kijeshi: Harmonize ametuaibisha Makomandoo kwani alitua Kishamba na Kizembe kama gunia la viazi mbatata

"Nilikuwa naliangalia lile tukio zima ila nilipoona tu ghafla Msanii Harmonize anapita juu kwa ile Kamba kama Mtu wa Medani nilichukizwa mno kwani hakuonyesha hata tu 5% ya kwamba Yeye ni Mjeshi na alikosea mambo mengi ya Kimsingi sana huku ile tua yake kama Gunia la Viazi Mbatata limerushwa kutoka katika Lori, kutupa Bendera huku akihema hadi kupatwa na Kizunguzungu liliharibu kila Kitu. Rai yangu tu kwa hawa Wasanii waache Kujiita Majina ambayo hayaendani nao Kiuhalisia na bora ya hata huyu sijui Diamond anavyojiita Simba kwani ni kweli kabisa ukimuangalia mambo mengi ni makubwa na ya Kujiamini kama alivyo Simba halisi"

Haya mnaopingana na huyu Mtaalam wa Kijeshi jitokezeni mtoe Hoja zenu za Maana na wale mnaomuunga mkono karibuni katika Kumpongeza tu.
Hana akili hajui kama yule ni msanii and nothing else?ningemjua ningemshughulikia kwa kutoa maoni ya kudhalilisha ufahamu na kujitambua kama mwanajeshi!
 
Hana akili hajui kama yule ni msanii and nothing else?ningemjua ningemshughulikia kwa kutoa maoni ya kudhalilisha ufahamu na kujitambua kama mwanajeshi!

Unaposema huyu Mtaalam wa Kijeshi kuwa hana 'Akili' Wewe Mwenyewe unahisi kwa huu 'Upuuzi' wako uliouandika hapa nawe Kichwani zimejaa?
 
Hakua mwanajeshi,Ila kajitahidi,apewe nafasi ya KJT akajitolee.
 
Hakua mwanajeshi,Ila kajitahidi,apewe nafasi ya KJT akajitolee.

Angefariki dunia kisha Kumuacha Sarah wake, Familia yake, Ukoo wake wa Kimakonde na Wanaomtegemea Kimaisha bado tu mngeyasema haya?
 
"Nilikuwa naliangalia lile tukio zima ila nilipoona tu ghafla Msanii Harmonize anapita juu kwa ile Kamba kama Mtu wa Medani nilichukizwa mno kwani hakuonyesha hata tu 5% ya kwamba Yeye ni Mjeshi na alikosea mambo mengi ya Kimsingi sana huku ile tua yake kama Gunia la Viazi Mbatata limerushwa kutoka katika Lori, kutupa Bendera huku akihema hadi kupatwa na Kizunguzungu liliharibu kila Kitu. Rai yangu tu kwa hawa Wasanii waache Kujiita Majina ambayo hayaendani nao Kiuhalisia na bora ya hata huyu sijui Diamond anavyojiita Simba kwani ni kweli kabisa ukimuangalia mambo mengi ni makubwa na ya Kujiamini kama alivyo Simba halisi"

Haya mnaopingana na huyu Mtaalam wa Kijeshi jitokezeni mtoe Hoja zenu za Maana na wale mnaomuunga mkono karibuni katika Kumpongeza tu.
Tujifunze kusikiliza na kuelewa!!! Jaribu kuusikikiza upya wimbo wa HARMO aliyoiimbia YANGA.

Kuna sehemu inazungumzia kuanguka.
 
Tujifunze kusikiliza na kuelewa!!! Jaribu kuusikikiza upya wimbo wa HARMO aliyoiimbia YANGA.

Kuna sehemu inazungumzia kuanguka.

Sina muda wa Kuusikiliza Wimbo wa Msanii ambaye 'amejinyea' Kwa Mkapa juzi wakati 'akijaribu' Kuwaiga 'COMMANDO' sawa Mkuu? Na sithubutu!
 
Dah nilikuwa sijaona imebidi niende YouTube. Alivyodondoka kweli ni kama gunia la mbatata! Hadi kofia ikadondoka hahahahaa!

Wale maafisa wanavyomkimbilia na kumhudumia tu unapata majibu kwamba hawezi rudia tena!
 
Mkuu jana 'nilicheka' sana tu hasa pale alipokuwa kila 'akitambaa' angani na ile Kamba halafu akiangalia chini ni mbali huku kila mara akionyesha kabisa 'Ishara' za kwamba anaomba 'Majamaa' wamshushe kwani alikuwa 'ameshachoka' ila 'Majamaa' nao wakaamua 'Kumkazia' vile vile na taratibu nikaanza kuona 'Machozi' yanamtoka na ghafla baadae nikaona 'Kadondosha' Bendera na kuna wakati tuliokuwa tukimtizama katika Runinga ( Television ) ya Azam tulianza kusikia 'Milio' fulani hivi ya 'Ngurumo' tukajua ya kwamba ama alikuwa 'anajamba' kwa 'Kitete' chake au pengine hata 'Chembe Chembe' za 'Haja Kubwa' zilikuwa zinaanza Kubisha Hodi 'Makalioni' mwake. Ile 'tua' yake tu kama Gunia la Viazi Mbatata huku akisimama kwa dakika kama Tatu hivi akiwa na 'Kizunguzungu' tukajua kuwa tayari alishayaharibu 'Mazingira' yake ya 'Unyabeni' na ndiyo maana alipomaliza tu Kuimba pale 'alichomoka' mbio mno kuwahi zake Maliwatoni ( Chooni ) pale Taifa VIP Wing.

Watu wanajifunza mambo hayo ndani ya Miezi na hata Mwaka ili 'Kuyaweza' hasa 'Kimedani' halafu linatokea 'Pimbi' moja linataka Kuiga. Mtakufa!
Gentamycine daaah nimecheka sana
 
Sina muda wa Kuusikiliza Wimbo wa Msanii ambaye 'amejinyea' Kwa Mkapa juzi wakati 'akijaribu' Kuwaiga 'COMMANDO' sawa Mkuu? Na sithubutu!
"Amejinyea" " akijaribu" " commando" dogo Jeshi ameonesha ukomavu bravo kwake.

Mengine ni donge tu, jibu la Mwananchi ni nani limefumbuka.
 
Mjikite kwenye mambo yenu then tukutane uwanjani, tutajua mwisho wa kiherehere chenu.
 
Kumbe nawe ni bumunda fc pumbafu kabisa
 
Pamoja sana mkuu. Nimekuwa nikipitia shombo za watu wengi mitandaoni wakimbeza Harmonize kwa alichokifanya. Ila nimegundua wengi hawajui uhalisia wa kile alichokifanya "Konde boy".

"Konde boy" alijirisk sana, na nampa hongera alifanikiwa kwa kiwango kikubwa. Humu ndani kwenyewe(kwa watu wa medani) kile kitu hufanywa na watu wachache sana tena ambao hufanya mazoezi ya kuridhisha kabla ya tukio/ushereheshaji husika. Isipokuwa wale jamaa zangu wa unit 92, wale ni maisha yao hayo mavurugu ni kuwashtua tu wanafanya na inaisha kibabe, Maana pale hizo mambo ni kama salamu tu, shikamoo....marhaba!

Konde asibezwe, amejitahidi sana. Hongera kwake.
mtakuja kumuua yule mtoto wakuu kupiga chuma na training ni vitu viwili tofautI ndio mana mwarabu fighter alichemka kupanda mlima kilimanjaro japo baunsa
 
"Nilikuwa naliangalia lile tukio zima ila nilipoona tu ghafla Msanii Harmonize anapita juu kwa ile Kamba kama Mtu wa Medani nilichukizwa mno kwani hakuonyesha hata tu 5% ya kwamba Yeye ni Mjeshi na alikosea mambo mengi ya Kimsingi sana huku ile tua yake kama Gunia la Viazi Mbatata limerushwa kutoka katika Lori, kutupa Bendera huku akihema hadi kupatwa na Kizunguzungu liliharibu kila Kitu. Rai yangu tu kwa hawa Wasanii waache Kujiita Majina ambayo hayaendani nao Kiuhalisia na bora ya hata huyu sijui Diamond anavyojiita Simba kwani ni kweli kabisa ukimuangalia mambo mengi ni makubwa na ya Kujiamini kama alivyo Simba halisi"

Haya mnaopingana na huyu Mtaalam wa Kijeshi jitokezeni mtoe Hoja zenu za Maana na wale mnaomuunga mkono karibuni katika Kumpongeza tu.
Utakuwa Ni Marana wewe
 
Uanajeshi n ukakamavu,ushawah ona wanashuka na #parachute# skydivers wanashukaje? Sio kila kitu ujikute unachambua kana kwamba unajua. Haaaah kwa tuliopitia mafunzo twajua jamaaa kajitahd na kwa MTU wa kawaida hawezi Fanya .

Alichofanya #HARMONIZE# JESHI# KONDEBOY# kilitakiwa kifanywe na MAKOMANDOOO MBELE YA MH: RAISI KUADHIMISHA MIAKA 59 YA UHURU MWAKA HUU...

#Risk aliyoichukua ndio iliwaogopesha watu,na ndio kilichothibtsha kuwa usaniii ni zaid ya make- up na #ON STAGE BLAAHBLAAH
Chukua chochote nakuja kukulipia
 
Back
Top Bottom