Mtaalam wa kuwekeza kwenye kuku tayari ameshawaliza

Mtaalam wa kuwekeza kwenye kuku tayari ameshawaliza

Fortunately kwa hili mimi nimefanikiwa, so far boda 4 (sikununua zote at per, faida zilisaidia kununua nyingine) zote nmemaliza salama mikataba na tukakabidhiana vizuri... mmoja alitaka kuzingua mapema nikawahi nikabeba mali yangu nikampa mwingine.
Kama ni kweli basi una karama pia ya usimamizi au ulipata bahati maana kufanya biashara na wale viduku unaweza kupata presha ya ini.
 
Kama ni kweli basi una karama pia ya usimamizi au ulipata bahati maana kufanya biashara na wale viduku unaweza kupata presha ya ini.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na kweli wanaweza kukurestisha in peace
 
Next time ukiona biashara iko kwenye high trend jifikirie mara mbili mbili kabla hujazama uko vitu kama Bitcoin, 3 mzuka, Deci , mr kuku izo project huwa created watu wapigwe hela then wazilishi wanapita ivi na Senti zenu, Sehemu penye mpunga hapatangazwi ovyo ovyo
Sawa
 
Ila huyu dogo alipiga B kwa kuuza maneno tu.
 
Back
Top Bottom