bubblymolly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2019
- 495
- 703
Wewe unamkabidhi mtu boda anapomaliza mkataba???
Hapana anakua nayo nakabidhi kadi na extra key after mkataba umeisha. Nahisi nilibahatika kufanya biashara na watu wastaarabu maybe...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unamkabidhi mtu boda anapomaliza mkataba???
🤣🤣🤣🤣🤣 umeamua kuwachoma mangi???Kuna members wanapita kimya kimya humu wakiugulia maumivu
😂 😂 😂 😂Kuna members wanapita kimya kimya humu wakiugulia maumivu
Kama ni kweli basi una karama pia ya usimamizi au ulipata bahati maana kufanya biashara na wale viduku unaweza kupata presha ya ini.Fortunately kwa hili mimi nimefanikiwa, so far boda 4 (sikununua zote at per, faida zilisaidia kununua nyingine) zote nmemaliza salama mikataba na tukakabidhiana vizuri... mmoja alitaka kuzingua mapema nikawahi nikabeba mali yangu nikampa mwingine.
Kama ni kweli basi una karama pia ya usimamizi au ulipata bahati maana kufanya biashara na wale viduku unaweza kupata presha ya ini.
SawaNext time ukiona biashara iko kwenye high trend jifikirie mara mbili mbili kabla hujazama uko vitu kama Bitcoin, 3 mzuka, Deci , mr kuku izo project huwa created watu wapigwe hela then wazilishi wanapita ivi na Senti zenu, Sehemu penye mpunga hapatangazwi ovyo ovyo
Aliyauza VemaIla huyu dogo alipiga B kwa kuuza maneno tu.
[emoji16][emoji16][emoji16]"GOOD MORNING" ukitizama nje ni mchana wa jua kali.
Dah! Kwaiyo ataanza upya kabisaAliyauza Vema
Jamiiforums.com Walipomshtukia Akaona Isiwe Tabu Sana
Akajiunga Akawa Anakanusha.
Yupo MbomboDah! Kwaiyo ataanza upya kabisa