Mtaalam wa Saikolojia: Wapiga 'Kura' wengi hupenda Kuwapigia Kura wale wa Kwanza Kwanza 'Pichani' na wale wa Mwisho Mwisho 'huwaboa' katika Kuwapigia

This year you will see different.
 
Mkuu iyo ni kweli kabisa CCM wanatuona waTanzania maboya sana wanataka kututawala hadi fikra zetu,wanaamini wabongo bado ni wale wale kila siku, watajiona wajinga pale watu watapokuwa wanakimbilia kutick mgombea wa mwisho kabisa , au kutick kwa mzee Hashim Rungwe
 
Saikolojia ya Mzungu haiapply kwa mwafrica.....!!
Wapo vizuri kwa fitna hadi wameamua kutumia psychologists ili kutushika akili , sema wamefail mambo yataenda vice versa wa mwisho ndo ataonekana wa kwanza, bora wangemweka hata katikati maana walivyoweka ni rahisi mgombea wa kwanza na wa mwisho kuonekana, ila pia nahisi kuna mbinu wanataka kutumia kupitia wasimamizi wa uchaguzi kufunika picha ya mtu wa mwisho virahisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…