Mtaalam wangu wa Kipemba ambaye huwa hakosei ametoka kunipa taarifa rasmi na Mechi ya Simba na Yanga tarehe 16, February 2019

Mtaalam wangu wa Kipemba ambaye huwa hakosei ametoka kunipa taarifa rasmi na Mechi ya Simba na Yanga tarehe 16, February 2019

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kasema yafuatayo:

1. Wanayanga wote watakaoenda Uwanjani wahakikishe wameshandika ' Urithi ' kwa Watoto na Wake zao.
2. Wanasimba wote wahakikishe wanavalia tu Nguo Nyekundu na asibakie Mtu Nyumbani ili Uwanja ujae.
3. Kikosi cha Simba SC kiwe hivi...Aishi Manula, Nicolas Gyan, Asante Kwasi, Pascal Serge Wawa, Juuko Murshid, James Kotei, Jonas Mkude, Clatous Chota Chama, Mohamed Kagere, John Boko na Emanuel Okwi.
4. Yanga SC wakimpanga Golini Ramadhani Kabwili watafungwa Goli Saba ( 7 ) kwa Sifuri ( 0 ) ila wakimpanga Klaus Kindoki watafungwa Goli Tano ( 5 ) kwa Sifuri ( 0 ) hivyo maamuzi wanayo Wao.
5. Kuna Fujo Kubwa itatokea kati ya dakika 15 za mwisho za Kipindi cha Kwanza au dakika 15 za Kwanza za Kipindi cha Pili.
6. Kuna Kadi Nyekundu mbili moja kwa Yanga SC na moja kwa Simba SC.
7. Mchezaji wa Yanga SC Nahodha Ibrahim Ajib asikubali kubebeshwa Hirizi Siku hiyo kwani Mchezaji wa Simba SC ( jina nalihifadhi ) ambaye ndiyo atabeba Hirizi ana Nyota Kali na Hirizi yake hiyo ina nguvu hivyo Ajib anaweza kupatwa na ' Majanga ' makubwa na hata Klabuni Yanga wakatangaza Msiba mzito na wakamzika Kijana wa Watu.
8. Kuna Goli litafungwa ila litakataliwa japo halitakuwa lina makosa ila kwa aina ya Uchawi ambao Timu hizi mbili itatumia Siku hiyo Mwamuzi ( Referee ) atakuwa anajichanganya mara kwa mara kwakuwa ' Majini ' yatakuwa yanamtesa.
9. Wachezaji wa Simba SC wakiwa wanaenda Kufanya ' Warm Up ' yao kila mmoja ahakikishe amebeba ama Ndimu au Limao na wakikosa hiyo basi wabebe Chumvi Viganjani mwao na wakiingia katika ' pitch ' watupe ili Kuua ' Uchawi ' mkali wa Yanga SC ambao wataufanya Kesho Usiku Uwanja wa Taifa au Kwa Mkapa badala ya Kukatazwa sasa Kuita kwa Mchina.
10. Nahodha wa Simba SC ahakikishe anachagua kuanzia Goli la Kusini ili baadae wamalizie Goli la Kaskazini ambapo ' Kinyota ' ndilo lina ' Magoli ' mengi sana Siku hiyo.
11. Kuna tukio la Kuhuzunisha linaweza ( narudia tena kusema ) linaweza kutokea la Mtu mmoja maarufu wa hizi Timu mbili Kupoteza Maisha / Uhai ( namaanisha Kufa ) ama Kesho Ijumaa au Siku ya mechi au baada ya Mechi kwani ' Kafara ' linalotumika sasa na Timu zote mbili ni la Kuua.
12. Simba SC hasa Wachezaji watakaonza kama wataweza wawapitishie katika moja ya Mageti ya kilipo Chuo cha DUCE na wasiingilie Mlango mkubwa kwakuwa Yanga SC safari hii nao wameamua Kufanya Ulozi / Uchawi wa hatari sana ila watazidiwa kidogo na wa Simba SC kwakuwa Simba SC wanachanganya wa Kitabu na Mizizi bila kusahau Kafara.
13. Wakati Timu zikisalimiana Wachezaji wa Simba SC wahakikishe hawazungukwi na wa Yanga SC na pale wakishasalimiana nao tu kila mmoja atawanyike ili kuzuia wasizungukwe na hatimaye Kufungwa Kiuchawi / Kindumba.
14. Yanga SC kama wanaweza kuanzia Usiku huu huu GENTAMYCINE natiririka na naserereka hapa na huu ' Uzi ' wamtafute haraka Kipa Ben Kakolanya wamuombe radhi na ikibidi Kuanzia Viongozi wa Yanga SC wote hadi Kocha wao wampigie Magoti na wamlambe si tu Miguu bali hadi Unyayo ili wamuombe adake Yeye ambapo kwa Nyota yake Kali Yanga SC anaweza akatoka Sare au akabahatisha Ushindi ili akipangwa Kabwili wanakula / wanafungwa Goli 7 bila na akipangwa Kindoki wanakula / wanafungwa Goli 5 bila.

Na ni matumaini yangu makubwa kuwa mpaka muda huu Wanasimba wote mmeshaandaa Pesa zenu ili Kesho muwahi Kununua Tiketi zenu na hakikisheni mnaujaza Uwanja ' Kwa Mkapa ' hadi pomoni ( kuzidi Kiwango ) na hakikisheni Nguo zenu ziwe ni Nyekundu tupu tafadhali ili ' Majini ' yetu ya Ushindi yafurahi.

Wana Simba SC wote popote pale mlipo tembeeni Kifua mbele Kazi imekwisha na huko Jangwani watatafutana na tegemeeni ' Mgogoro ' mkubwa sana Jangwani baada ya Kufungwa na Simba SC hizo Goli 7 au 5 kwa Bila / Sifuri hiyo Jumamosi ya tarehe 16, February 2019.

Nawasilisha.
 
Kasema yafuatayo:

1. Wanayanga wote watakaoenda Uwanjani wahakikishe wameshandika ' Urithi ' kwa Watoto na Wake zao.
2. Wanasimba wote wahakikishe wanavalia tu Nguo Nyekundu na asibakie Mtu Nyumbani ili Uwanja ujae.
3. Kikosi cha Simba SC kiwe hivi...Aishi Manula, Nicolas Gyan, Asante Kwasi, Pascal Serge Wawa, Juuko Murshid, James Kotei, Jonas Mkude, Clatous Chota Chama, Mohamed Kagere, John Boko na Emanuel Okwi.
4. Yanga SC wakimpanga Golini Ramadhani Kabwili watafungwa Goli Saba ( 7 ) kwa Sifuri ( 0 ) ila wakimpanga Klaus Kindoki watafungwa Goli Tano ( 5 ) kwa Sifuri ( 0 ) hivyo maamuzi wanayo Wao.
5. Kuna Fujo Kubwa itatokea kati ya dakika 15 za mwisho za Kipindi cha Kwanza au dakika 15 za Kwanza za Kipindi cha Pili.
6. Kuna Kadi Nyekundu mbili moja kwa Yanga SC na moja kwa Simba SC.
7. Mchezaji wa Yanga SC Nahodha Ibrahim Ajib asikubali kubebeshwa Hirizi Siku hiyo kwani Mchezaji wa Simba SC ( jina nalihifadhi ) ambaye ndiyo atabeba Hirizi ana Nyota Kali na Hirizi yake hiyo ina nguvu hivyo Ajib anaweza kupatwa na ' Majanga ' makubwa na hata Klabuni Yanga wakatangaza Msiba mzito na wakamzika Kijana wa Watu.
8. Kuna Goli litafungwa ila litakataliwa japo halitakuwa lina makosa ila kwa aina ya Uchawi ambao Timu hizi mbili itatumia Siku hiyo Mwamuzi ( Referee ) atakuwa anajichanganya mara kwa mara kwakuwa ' Majini ' yatakuwa yanamtesa.
9. Wachezaji wa Simba SC wakiwa wanaenda Kufanya ' Warm Up ' yao kila mmoja ahakikishe amebeba ama Ndimu au Limao na wakikosa hiyo basi wabebe Chumvi Viganjani mwao na wakiingia katika ' pitch ' watupe ili Kuua ' Uchawi ' mkali wa Yanga SC ambao wataufanya Kesho Usiku Uwanja wa Taifa au Kwa Mkapa badala ya Kukatazwa sasa Kuita kwa Mchina.
10. Nahodha wa Simba SC ahakikishe anachagua kuanzia Goli la Kusini ili baadae wamalizie Goli la Kaskazini ambapo ' Kinyota ' ndilo lina ' Magoli ' mengi sana Siku hiyo.
11. Kuna tukio la Kuhuzunisha linaweza ( narudia tena kusema ) linaweza kutokea la Mtu mmoja maarufu wa hizi Timu mbili Kupoteza Maisha / Uhai ( namaanisha Kufa ) ama Kesho Ijumaa au Siku ya mechi au baada ya Mechi kwani ' Kafara ' linalotumika sasa na Timu zote mbili ni la Kuua.
12. Simba SC hasa Wachezaji watakaonza kama wataweza wawapitishie katika moja ya Mageti ya kilipo Chuo cha DUCE na wasiingilie Mlango mkubwa kwakuwa Yanga SC safari hii nao wameamua Kufanya Ulozi / Uchawi wa hatari sana ila watazidiwa kidogo na wa Simba SC kwakuwa Simba SC wanachanganya wa Kitabu na Mizizi bila kusahau Kafara.
13. Wakati Timu zikisalimiana Wachezaji wa Simba SC wahakikishe hawazungukwi na wa Yanga SC na pale wakishasalimiana nao tu kila mmoja atawanyike ili kuzuia wasizungukwe na hatimaye Kufungwa Kiuchawi / Kindumba.
14. Yanga SC kama wanaweza kuanzia Usiku huu huu GENTAMYCINE natiririka na naserereka hapa na huu ' Uzi ' wamtafute haraka Kipa Ben Kakolanya wamuombe radhi na ikibidi Kuanzia Viongozi wa Yanga SC wote hadi Kocha wao wampigie Magoti na wamlambe si tu Miguu bali hadi Unyayo ili wamuombe adake Yeye ambapo kwa Nyota yake Kali Yanga SC anaweza akatoka Sare au akabahatisha Ushindi ili akipangwa Kabwili wanakula / wanafungwa Goli 7 bila na akipangwa Kindoki wanakula / wanafungwa Goli 5 bila.

Na ni matumaini yangu makubwa kuwa mpaka muda huu Wanasimba wote mmeshaandaa Pesa zenu ili Kesho muwahi Kununua Tiketi zenu na hakikisheni mnaujaza Uwanja ' Kwa Mkapa ' hadi pomoni ( kuzidi Kiwango ) na hakikisheni Nguo zenu ziwe ni Nyekundu tupu tafadhali ili ' Majini ' yetu ya Ushindi yafurahi.

Wana Simba SC wote popote pale mlipo tembeeni Kifua mbele Kazi imekwisha na huko Jangwani watatafutana na tegemeeni ' Mgogoro ' mkubwa sana Jangwani baada ya Kufungwa na Simba SC hizo Goli 7 au 5 kwa Bila / Sifuri hiyo Jumamosi ya tarehe 16, February 2019.

Nawasilisha.
Kama kweli Simba wanao utaalamu wa viwango hivyo Asinge fungwa goli 10 mechi mbili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kasema yafuatayo:

1. Wanayanga wote watakaoenda Uwanjani wahakikishe wameshandika ' Urithi ' kwa Watoto na Wake zao.
2. Wanasimba wote wahakikishe wanavalia tu Nguo Nyekundu na asibakie Mtu Nyumbani ili Uwanja ujae.
3. Kikosi cha Simba SC kiwe hivi...Aishi Manula, Nicolas Gyan, Asante Kwasi, Pascal Serge Wawa, Juuko Murshid, James Kotei, Jonas Mkude, Clatous Chota Chama, Mohamed Kagere, John Boko na Emanuel Okwi.
4. Yanga SC wakimpanga Golini Ramadhani Kabwili watafungwa Goli Saba ( 7 ) kwa Sifuri ( 0 ) ila wakimpanga Klaus Kindoki watafungwa Goli Tano ( 5 ) kwa Sifuri ( 0 ) hivyo maamuzi wanayo Wao.
5. Kuna Fujo Kubwa itatokea kati ya dakika 15 za mwisho za Kipindi cha Kwanza au dakika 15 za Kwanza za Kipindi cha Pili.
6. Kuna Kadi Nyekundu mbili moja kwa Yanga SC na moja kwa Simba SC.
7. Mchezaji wa Yanga SC Nahodha Ibrahim Ajib asikubali kubebeshwa Hirizi Siku hiyo kwani Mchezaji wa Simba SC ( jina nalihifadhi ) ambaye ndiyo atabeba Hirizi ana Nyota Kali na Hirizi yake hiyo ina nguvu hivyo Ajib anaweza kupatwa na ' Majanga ' makubwa na hata Klabuni Yanga wakatangaza Msiba mzito na wakamzika Kijana wa Watu.
8. Kuna Goli litafungwa ila litakataliwa japo halitakuwa lina makosa ila kwa aina ya Uchawi ambao Timu hizi mbili itatumia Siku hiyo Mwamuzi ( Referee ) atakuwa anajichanganya mara kwa mara kwakuwa ' Majini ' yatakuwa yanamtesa.
9. Wachezaji wa Simba SC wakiwa wanaenda Kufanya ' Warm Up ' yao kila mmoja ahakikishe amebeba ama Ndimu au Limao na wakikosa hiyo basi wabebe Chumvi Viganjani mwao na wakiingia katika ' pitch ' watupe ili Kuua ' Uchawi ' mkali wa Yanga SC ambao wataufanya Kesho Usiku Uwanja wa Taifa au Kwa Mkapa badala ya Kukatazwa sasa Kuita kwa Mchina.
10. Nahodha wa Simba SC ahakikishe anachagua kuanzia Goli la Kusini ili baadae wamalizie Goli la Kaskazini ambapo ' Kinyota ' ndilo lina ' Magoli ' mengi sana Siku hiyo.
11. Kuna tukio la Kuhuzunisha linaweza ( narudia tena kusema ) linaweza kutokea la Mtu mmoja maarufu wa hizi Timu mbili Kupoteza Maisha / Uhai ( namaanisha Kufa ) ama Kesho Ijumaa au Siku ya mechi au baada ya Mechi kwani ' Kafara ' linalotumika sasa na Timu zote mbili ni la Kuua.
12. Simba SC hasa Wachezaji watakaonza kama wataweza wawapitishie katika moja ya Mageti ya kilipo Chuo cha DUCE na wasiingilie Mlango mkubwa kwakuwa Yanga SC safari hii nao wameamua Kufanya Ulozi / Uchawi wa hatari sana ila watazidiwa kidogo na wa Simba SC kwakuwa Simba SC wanachanganya wa Kitabu na Mizizi bila kusahau Kafara.
13. Wakati Timu zikisalimiana Wachezaji wa Simba SC wahakikishe hawazungukwi na wa Yanga SC na pale wakishasalimiana nao tu kila mmoja atawanyike ili kuzuia wasizungukwe na hatimaye Kufungwa Kiuchawi / Kindumba.
14. Yanga SC kama wanaweza kuanzia Usiku huu huu GENTAMYCINE natiririka na naserereka hapa na huu ' Uzi ' wamtafute haraka Kipa Ben Kakolanya wamuombe radhi na ikibidi Kuanzia Viongozi wa Yanga SC wote hadi Kocha wao wampigie Magoti na wamlambe si tu Miguu bali hadi Unyayo ili wamuombe adake Yeye ambapo kwa Nyota yake Kali Yanga SC anaweza akatoka Sare au akabahatisha Ushindi ili akipangwa Kabwili wanakula / wanafungwa Goli 7 bila na akipangwa Kindoki wanakula / wanafungwa Goli 5 bila.

Na ni matumaini yangu makubwa kuwa mpaka muda huu Wanasimba wote mmeshaandaa Pesa zenu ili Kesho muwahi Kununua Tiketi zenu na hakikisheni mnaujaza Uwanja ' Kwa Mkapa ' hadi pomoni ( kuzidi Kiwango ) na hakikisheni Nguo zenu ziwe ni Nyekundu tupu tafadhali ili ' Majini ' yetu ya Ushindi yafurahi.

Wana Simba SC wote popote pale mlipo tembeeni Kifua mbele Kazi imekwisha na huko Jangwani watatafutana na tegemeeni ' Mgogoro ' mkubwa sana Jangwani baada ya Kufungwa na Simba SC hizo Goli 7 au 5 kwa Bila / Sifuri hiyo Jumamosi ya tarehe 16, February 2019.

Nawasilisha.
Mpira Ni dakika 90 uwanjani hakuna uchawi mpirani msijipe imani za kijinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kasema yafuatayo:

1. Wanayanga wote watakaoenda Uwanjani wahakikishe wameshandika ' Urithi ' kwa Watoto na Wake zao.
2. Wanasimba wote wahakikishe wanavalia tu Nguo Nyekundu na asibakie Mtu Nyumbani ili Uwanja ujae.
3. Kikosi cha Simba SC kiwe hivi...Aishi Manula, Nicolas Gyan, Asante Kwasi, Pascal Serge Wawa, Juuko Murshid, James Kotei, Jonas Mkude, Clatous Chota Chama, Mohamed Kagere, John Boko na Emanuel Okwi.
4. Yanga SC wakimpanga Golini Ramadhani Kabwili watafungwa Goli Saba ( 7 ) kwa Sifuri ( 0 ) ila wakimpanga Klaus Kindoki watafungwa Goli Tano ( 5 ) kwa Sifuri ( 0 ) hivyo maamuzi wanayo Wao.
5. Kuna Fujo Kubwa itatokea kati ya dakika 15 za mwisho za Kipindi cha Kwanza au dakika 15 za Kwanza za Kipindi cha Pili.
6. Kuna Kadi Nyekundu mbili moja kwa Yanga SC na moja kwa Simba SC.
7. Mchezaji wa Yanga SC Nahodha Ibrahim Ajib asikubali kubebeshwa Hirizi Siku hiyo kwani Mchezaji wa Simba SC ( jina nalihifadhi ) ambaye ndiyo atabeba Hirizi ana Nyota Kali na Hirizi yake hiyo ina nguvu hivyo Ajib anaweza kupatwa na ' Majanga ' makubwa na hata Klabuni Yanga wakatangaza Msiba mzito na wakamzika Kijana wa Watu.
8. Kuna Goli litafungwa ila litakataliwa japo halitakuwa lina makosa ila kwa aina ya Uchawi ambao Timu hizi mbili itatumia Siku hiyo Mwamuzi ( Referee ) atakuwa anajichanganya mara kwa mara kwakuwa ' Majini ' yatakuwa yanamtesa.
9. Wachezaji wa Simba SC wakiwa wanaenda Kufanya ' Warm Up ' yao kila mmoja ahakikishe amebeba ama Ndimu au Limao na wakikosa hiyo basi wabebe Chumvi Viganjani mwao na wakiingia katika ' pitch ' watupe ili Kuua ' Uchawi ' mkali wa Yanga SC ambao wataufanya Kesho Usiku Uwanja wa Taifa au Kwa Mkapa badala ya Kukatazwa sasa Kuita kwa Mchina.
10. Nahodha wa Simba SC ahakikishe anachagua kuanzia Goli la Kusini ili baadae wamalizie Goli la Kaskazini ambapo ' Kinyota ' ndilo lina ' Magoli ' mengi sana Siku hiyo.
11. Kuna tukio la Kuhuzunisha linaweza ( narudia tena kusema ) linaweza kutokea la Mtu mmoja maarufu wa hizi Timu mbili Kupoteza Maisha / Uhai ( namaanisha Kufa ) ama Kesho Ijumaa au Siku ya mechi au baada ya Mechi kwani ' Kafara ' linalotumika sasa na Timu zote mbili ni la Kuua.
12. Simba SC hasa Wachezaji watakaonza kama wataweza wawapitishie katika moja ya Mageti ya kilipo Chuo cha DUCE na wasiingilie Mlango mkubwa kwakuwa Yanga SC safari hii nao wameamua Kufanya Ulozi / Uchawi wa hatari sana ila watazidiwa kidogo na wa Simba SC kwakuwa Simba SC wanachanganya wa Kitabu na Mizizi bila kusahau Kafara.
13. Wakati Timu zikisalimiana Wachezaji wa Simba SC wahakikishe hawazungukwi na wa Yanga SC na pale wakishasalimiana nao tu kila mmoja atawanyike ili kuzuia wasizungukwe na hatimaye Kufungwa Kiuchawi / Kindumba.
14. Yanga SC kama wanaweza kuanzia Usiku huu huu GENTAMYCINE natiririka na naserereka hapa na huu ' Uzi ' wamtafute haraka Kipa Ben Kakolanya wamuombe radhi na ikibidi Kuanzia Viongozi wa Yanga SC wote hadi Kocha wao wampigie Magoti na wamlambe si tu Miguu bali hadi Unyayo ili wamuombe adake Yeye ambapo kwa Nyota yake Kali Yanga SC anaweza akatoka Sare au akabahatisha Ushindi ili akipangwa Kabwili wanakula / wanafungwa Goli 7 bila na akipangwa Kindoki wanakula / wanafungwa Goli 5 bila.

Na ni matumaini yangu makubwa kuwa mpaka muda huu Wanasimba wote mmeshaandaa Pesa zenu ili Kesho muwahi Kununua Tiketi zenu na hakikisheni mnaujaza Uwanja ' Kwa Mkapa ' hadi pomoni ( kuzidi Kiwango ) na hakikisheni Nguo zenu ziwe ni Nyekundu tupu tafadhali ili ' Majini ' yetu ya Ushindi yafurahi.

Wana Simba SC wote popote pale mlipo tembeeni Kifua mbele Kazi imekwisha na huko Jangwani watatafutana na tegemeeni ' Mgogoro ' mkubwa sana Jangwani baada ya Kufungwa na Simba SC hizo Goli 7 au 5 kwa Bila / Sifuri hiyo Jumamosi ya tarehe 16, February 2019.

Nawasilisha.
Kulikuwa na haja gani kumpa timù Mo badala yake mngempa timu uyo mganga wenu awe kocha pia mfadhili
 
Yaani Mkuu GENTAMYCINE mimi naamini uliyosema,na nilishasema tangu awali kwamba sitaendelea kupinga posts zako (hasa baada ya mimi kuzichunguza posts zako na nyingi zimetembea 'mule mule' kwa usahihi wa 99%).

Ila cha ajabu kuna watu hawaamini kile ulichoandika hapo juu,yaani wale 'wanaovunga' wamezaliwa Melbourne, Australia au wametoka sayari nyingine na hivyo hayo 'mambo ya Kiafrika' wao hawawezi kuyaamini.Ila mimi niliyezaliwa pale Bugorora,Ukerewe kwa akina "Bugonoka" (soma kitabu cha Prof.Kezirahabi kuhusu ushirikina wa Ukerewe) nakuelewa sana.

Hebu niwakumbushe wasomaji wako;kabla Simba SC haijarudiana na Nkana FC pale U/Taifa uliupenyezea Uongozi wa Simba ushauri uliopewa na 'Mzee' huyo wa Kipemba.Sehemu ya ushauri ule uliubandika hapa JF,na kila mtu aliuona.Mimi nilichunguza Siku ya mechi kuona kama uliyoandika yalikuwa sahihi,na NILISTAAJABU kuona kuwa yalitokea vile vile kama ulivyosema.Mfano;

1.Ulisema kiungo Jonas Mkude kwa mujibu wa astronomy, ndiye angeibeba Simba siku ile,na kwamba asikatae kubeba 'power bank' atakayopewa...kusema kweli NILISTAAJABU kuona kijana Jonas Mkude akifunga goli kali, la shuti la mbali lililoirudisha Simba SC mchezoni baada ya goli la striker Kampamba wa Nkana F. C.Kumbuka beki Erasto Nyoni alikuwa amejaribu kupiga missile moja kali kutoka mbali sana ila ikaishia kugonga post ya juu,na kukosa.Baada ya Mkude kufunga Simba ikaamka (kama ulivyosema).

2.Uliandika kuwa;ili Simba SC ishinde ilikuwa ni lazima ikubali kupata 'msiba',yaani kuna shabiki au kiongozi wa Simba afe...Je,ilitokea?NDIYO.Ile Mkude ananyoosha mguu kupiga lile kombora lake,kuna shabiki alianguka na kufa on the spot.Yaani mtu anaanguka na kupoteza maisha na goli linazama kambani.(Ulisema kwa ushahihi mkubwa wa 100%).

SITASHANGAA KUONA ULIYOSEMA HAPA YANAJITOKEZA KESHO.
 
Yanga wamesoma dua masaa matatu..yule kiongozi wa "kiimani" anayewarogea mikia achunge sana ...naishia hapo
 
Hawa VyuraFC ata hawahitaji Tunguli wala Maandalizi Makubwa! Ni kigenge cha Kugonga tu kusonga mbele.
 
Masaa 25 yamebaki kuona mtanange huo, ngoja nisubiri Nini kitatokea

Daima toa bila kukumbuka na Pokea bila kusahau
 
[emoji23][emoji23] hututakii mema wewe jamaa.

5/5
 
Back
Top Bottom