Mtaalamu wa Uchumi wa Umoja wa Mataifa amesema kiwango Cha Uzazi Nchini Tanzania kinazidi kupungua kutoan wastani wa 6.5 Hadi 4.5 jambo ambalo ni hatari Kwa Nchi kama Tanzania ambayo inaendelea.
Amesema Mikoa ya Iringa,Dodoma,Dar na Kilimanjaro Uzazi umepunguaa zaidi na kutoa wito Kwa Serikali kuangalia sababu kwani baadae itakuwa na athari kubwa kiuchumi Kwa Kuwa na Wazee wengi kuliko Vijana.
My Take
Serikali ipitishe sheria mapema kabisa za kuhimiza watu kuzaa na ifutilie mbali upuuzi wa Wazungu wa Uzazi wa Mpango na mambo ya nyota za kijani kwani Haina Afya Kwa mustakabali wa Nchi.
Ni basi tu ila ningejua yanayoendelea duniani nisingekuja. Hongereni kwa tafiti hiyo ila swala la uzazi limekua gumu sababu ya uchumi huo huo kwahiyo kama kuna namna ya kuuumiza huo uchumi kupitia kuto kuzaa then nafkiri its a fair fight , uchumi ukikaza na sisi tunakaza… mkojo mdogo mdogo ndo ulowanisha chupi, tutafika tu!!
Mtaalamu wa Uchumi wa Umoja wa Mataifa amesema kiwango Cha Uzazi Nchini Tanzania kinazidi kupungua kutoan wastani wa 6.5 Hadi 4.5 jambo ambalo ni hatari Kwa Nchi kama Tanzania ambayo inaendelea.
Amesema Mikoa ya Iringa,Dodoma,Dar na Kilimanjaro Uzazi umepunguaa zaidi na kutoa wito Kwa Serikali kuangalia sababu kwani baadae itakuwa na athari kubwa kiuchumi Kwa Kuwa na Wazee wengi kuliko Vijana.
My Take
Serikali ipitishe sheria mapema kabisa za kuhimiza watu kuzaa na ifutilie mbali upuuzi wa Wazungu wa Uzazi wa Mpango na mambo ya nyota za kijani kwani Haina Afya Kwa mustakabali wa Nchi.