Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa


Tumia Fexofenadine 60mg kidonge kimoja kila siku kwa muda wa wiki mbili alafu nipe mrejesho
 
dokta samahani mm nasumbuliwa na tatizo la kulegea mishipa ya uume, mpaka inapelekea uume kutosimama vzur wakat Wa tendo la ndoa,, naomba ushauri Wa dawa gani nitumie ambayo haitaleta madhara huko mbeleni, na naweza kuipata wapi?

Saa moja Kabla kitendo unaweza kutumia sildenafil 50mg kidonge kimoja, unaipata duka la dawa yeyote.
 
Huu ni ugonjwa gani?

Unapolala na mwenzi wako mnasex baada ya muda mfupi unasikia maumivu makali kwenye njia ya mkojo na kuanza kuona usaha, maana najua kama ni gono ukimaliza kusex utakaa muda ata siku moja kuona dalili..

Umepata infection ya eneo hilo. Tumia dawa hizi:
1. Ciprofloxacin 500mg kidonge kimoja.
2. Doxycycline 100mg, kidonge kimoja kutwa mara mbili kwa siku saba.
3. Metronidazole 400mg kidonge kimoja kutwa mara tatu kwa siku saba.
 
Dawa inayoweza kutibu taifodi inayojirudia mara kwa mara mkuu. Tunazingati taratibu kadha ikiwemo kuchemsha maji ya kunywa, kuosha mayunda kabla ya kuyala, kutokula mbagamboga mbichi kama kachumbari nk.
 

Mkuu, kamuone daktari bingwa wa watoto.
 
Yani nilifanya vipimo nilikua na maumivu tumboni upande Wa kulia nikaambiwa ini linafanya Kazi kuliko uwezo wakakosa nini inasababisha
 
Dawa inayoweza kutibu taifodi inayojirudia mara kwa mara mkuu. Tunazingati taratibu kadha ikiwemo kuchemsha maji ya kunywa, kuosha mayunda kabla ya kuyala, kutokula mbagamboga mbichi kama kachumbari nk.

Mpaka sasa hivi umetumia dawa gani ya typhoid?
 
Yani nilifanya vipimo nilikua na maumivu tumboni upande Wa kulia nikaambiwa ini linafanya Kazi kuliko uwezo wakakosa nini inasababisha

Yaani ukisema inafanyakazi kuliko uwezo. Ukimaanisha kama nguvu yake imepungua kuna tatizo nyingi. Pombe inasababisha hilo, Hepatitis pia inasababisha hilo. La kwanza punguza kula nyama. La pili, kafanye vipimo vya ini (ALT, AST, ALP, PT/INR, Albumin, Billirubin) na Hepatitis.
 
Kwa kweli kuzitaja kwa majina ni ngumu kidogo kwa utamaduni wa Watanzania wengi ila nimeshatumia dawa nyingi sana za kitaalama (vidonge) hata nimechoka, leo nina siku ya tatu natumia dawa za asili masna huko phamacy pamenichosha. Nikujikadiria kwa mwaka naweza kutumia dozi 4 hadi 5.
 
Dr ninatatizo la maumivu sehemu za mgongoni hadi juu kwenye mabega tatizo hili lina kama miezi mitatu bila kupungua mwanzo nilijua maumivu tu ya kawaida tu......Je inaweza kuwa tatizo ganj au dawa gani zinaweza kuwa suluhisho dr
 

Tumia dawa hii:
Neuroton, kidonge kimoja kila siku kwa muda wa miezi moja. alafu nipe mrejesho.
 
Dr ninatatizo la maumivu sehemu za mgongoni hadi juu kwenye mabega tatizo hili lina kama miezi mitatu bila kupungua mwanzo nilijua maumivu tu ya kawaida tu......Je inaweza kuwa tatizo ganj au dawa gani zinaweza kuwa suluhisho dr

unatumia dawa gani kwaajili ya maumivu hayo ya mgongo na mabega?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…