Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa


Chukua multivitamins kila siku kwa muda ya miezi moja alafu nipe mrejesho?
 

Kwa sasa hivi unayo typhoid? au unaulizia jinsi yakufanya tatizo hii isijirudie?
 
Samahani Dr nikienda kuoga nikimaliza mwili unaanza kuwasha kama vitu vinachoma choma

Tumia dawa hii:
Fexofenadine 60mg kidonge kimoja kila siku kwa muda wa wiki mbili
Neuroton kidonge kimoja kila siku kwa muda wa miezi moja
 
Umepata infection ya eneo hilo. Tumia dawa hizi:
1. Ciprofloxacin 500mg kidonge kimoja.
2. Doxycycline 100mg, kidonge kimoja kutwa mara mbili kwa siku saba.
3. Metronidazole 400mg kidonge kimoja kutwa mara tatu kwa siku saba.
asante mtaalam maana hii ilinitokea baada ya kusex masaa miwil Bila kupata bao na sikupumzika na kuja kumaliza nakuja kuona shahawa zinadam Dam but nilianza kutumia hizo dawa sasa naona imeisha isha
 
Habar yako Dr: Mimi nina tatizo la kutoa harufu kali mwilini, ninaoga kutwa mara 3 na medicated soap lakin wap, nikitumia manukato ndo balaa hali inakua mbaya zaidi, tatzo nn Dr maana hali hii inanitesa sana
 
Dr. Pole na majukumu mbona kila nikitaka kuku PM inakataa
 
Hivi kwa nini mbu hawezi kueneza ukimwi hali ya kuwa anaweza akamnyonya damu mwenye ukimwi at the same time akunyonya na wewe lakini maambukizi usipate.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…