Dr. Sajjad Fazel
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 435
- 428
- Thread starter
-
- #621
Hii inapatikana Tanzania?
Habari Daktari. Mimi nina tatizo la kukohoa mara kwa mara hususan koo huwa linakereketa sana. Nimetumia dawa nyingi bila afueni. Naomba msaada wako.
heshima kwako daktari mimi tatizo langu ni kwamba sikio la upande wa kulia kuna wakati lilikuwa linapiga kelele sana nikaenda kwenye hospital kadha wakani mulika na vifaa vyao wakasema hilo tatizo huwa linatokea kisha linaweza kuisha lenyewe sasa ni mwaka unaisha lile tatizo lipo ila siyo muda wote nikiwa nimechoka huwa linatokea au nikiwa na mawazo sana hiyo hali inanisumbua na nikijaribu kupiga push up hiyo hali hutoweka naomba msaada wako daktari
ila tatizo langu nataka nipige bao mbili na kuendelea, ila nkishapiga moja tu sipatagi tena jingine zaiidi ni kumsababishia maumivu mwezangu kwa mda mrefu ninaocheza game bila kumwaga la pili,
nashukuru kwa moyo wako wa kujitolea kutusaidia angalau kujua matatizo yetu na baadae kupata matibabu sahihi.DR POLE ya kazi
nashukuru kwa moyo wako wa kujitolea kutusaidia angalau kujua matatizo yetu na baadae kupata matibabu sahihi.
Mimi nina mfanyakazi wangu ana matatizo mawili
i)anapenda sana kutafuna mifuniko ya chupa za maji,soda kila wakati
2) analalamika sana kuumwa miguu wakati amekaa,hivyo mara nyingi anapenda miguu kukaa imenyooshwa juu ya kiti au kulala.hali hii ameishi nayo zaidi ya miaka 3
huyu ni jinsia ya kike umri wa miaka 29
Heshima kwenu wadau,
Nina mtoto wangu wa kiume miaka 7,anasumbuliwa named tatizo la kuumwa na kitovu,Mara Kwa Mara.
Je Tiba yake ni nini?
Cc:MziziMkavu etc
Asanteni!
Dawa ya chembe ya moyo ni nini?
Habari, mimi ninatatizo na koo langu baada ya kubalehe nimekua na sauti nzito sana ikiambatana na makohozi ambayo kama yana vumbi sasa nashindwa kuelewa ni tatizo japo sijawahi kwenda kwa daktari yeyote juu ya hili pia nahofia isijekua kansa maana baba yangu mdogo alikua nayo ya koo. tafadhari naomba msaada wako
Je matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume (kama uuume kulegea, ...) yanatibiwa hosptalini???
Kuna wimbi kubwa la watu wasio na utaalamu wa tiba ila wanajinadi kutoa dawa.
Mimi naomba kufahamishwa unaweza kutumia dawa gani ili kuzibua mirija ya uzazi iliyoziba shukran
Nakohoa,hasa nyakat za jioni na asubuh,siumwi na chochote kingine,pia nikipigwa sana na upepo pia nakohoa zaidi hasa mida hiyo hyo
Mtu akitaka kukuona mnapatikana wapiZipo dawa kama duphastone na zinginevyo za homoni ya wanawake. Lakini tatizo kama hilo na dawa kama hizo zinatolewa kwa ubora na madaktari bingwa wa wanawake (Gynecologist). Baada hawa madaktari bingwa wa wanawake washakupima wanaweza kukushauri dawa gani ni nzuri zaidi.
Nakupongeza kwa kujitolea kutuelimisha kuhusu magonjwa mbalimbali. Nina ndugu yangu ambaye anasumbuliwa na kuumwa viganja vya mikono kulikochanganyika na ganzi usiku wakati amelala kabla hajapatwa na usingizi. Ni muda sasa tokea apatwe na tatizo hili. Naomba msaada/ushauri.
naombeni msaad Wa dawa ya macho chanzo ni matumizi ya simi ,TV na kompyuta macho yanauma saana
Nakushukuru Dr ngoja nivitafute.Mkuu atumie dawa hizi alafu nipe mrejesho:
1. Omeflex Tablets; Kidonge kimoja asubuhi na moja jioni kila siku kwa muda wa miezi moja.
2. Neurobione Forte Tablets; Kidonge kimoja kila siku usiku kwa muda wa miezi moja.
Je bado unalo tatizo hilo?mimi kichwa kinaniuma sana kisogoni
naumwa ,niko na dozi ya typhoid(cipro)
pia nmemaliza sindano za cetriaxone za u.t.i 5 juzi
tatizo nini docta
now najiskia kizunguzunguJe bado unalo tatizo hilo?