Mtu akitaka kukuona mnapatikana wapi
Heshima yako mkuu ... Tatizo langu ni kunawakati mkono au mguu unakufa ganzi baada ya muda unaachia unakuwa sawa.linaweza kuwa tatizo?
AsanteMkuu Ushauri wangu ni yafuatayo:
1. Punguza utimiaje wa simu, tv na kompyuta.
2. Punguza mwanga (brightness) unapotumia hizi vitu, haswa wakati wa usiku.
3. Tumia Saline Eye Drops. Weka Drop Mbili kila jicho usiku unapolala kutwa mara tatu kwa wiki kwa muda wa wiki mbili.
now najiskia kizunguzungu
Nakupongeza kwa kujitolea kutuelimisha kuhusu magonjwa mbalimbali. Nina ndugu yangu ambaye anasumbuliwa na kuumwa viganja vya mikono kulikochanganyika na ganzi usiku wakati amelala kabla hajapatwa na usingizi. Ni muda sasa tokea apatwe na tatizo hili. Naomba msaada/ushauri.
Viganja vya mikononi kuuma (kuwaka moto) usiku nikishalala
Tatizo la ngiri na tiba yake
Mikoani je?Hospitali ya Sanitas iliyopo Mikocheni, Baraka Plaza. Baada ya Nyumba ya Nyerere. Namba ya hospitali: 0688 863035.
Asante sanaHospitali ya Sanitas iliyopo Mikocheni, Baraka Plaza. Baada ya Nyumba ya Nyerere. Namba ya hospitali: 0688 863035.
Mikoani je?
Maana yangu ni kwamba mikoani mna matawi?Mkuu, si uliuliza dawa na nikakuandikia? Aliyouliza kumuona daktari kama yupo mikoani ataniambia.
Dawa ya kuvimba korodani (testes)
Nitumie message kwenye namba hii: 0782 785 221Nina shida kidog nataka tuongee faragh DR sajjad
Maana yangu ni kwamba mikoani mna matawi?
Hata hivyo nakushukuru kwa msaada wako.Hatuna Mkuu. Pole sana kwa hilo.
jumapiliJe ulimaliza dozi ya typhoid siku gani? na unazo dalili gani sasa hivi?
1.nakunywaga maji mara kwa mara sana, hasa nikiwa dar, naweza kunywa robotatu lina kwa wakati mmoja, na ni zaidi ya mara tano kwa siku1. Unakunywa maji ya idadi gani kwa siku?
2. Unapata maumivu au tatizo lolote wakati yakukojoa?
3. Unangoja muda gani baada ya bao la kwanza na kabla ya pili?