Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MazoeziDawa ya kutoa kitambi both for men and women
Nilitumia paracetam na hedex lakin hazikutuliza maumivu, naona ugonjwa wenyew ni reccurent,, nimeambiwa nikapime macho kwa sababu nikiangalia naona vispots vidogo vidogo, huo ugonjwa wa migraine unatibika? Dalili za kuumwa macho pia si kuumwa kichwa?Dalili zako zinaonyesha una migraine. Je ulitumia dawa lolote lakupunguza maumivu ya kichwa?
Doctor samahani naomba kufahamu dawa nzuri kwa ajili ya maumivu ya tumbo na kiuno wakati wa hedhi kwa sababu nasumbuliwa na maumivu haya na ni makali sana kiasi cha kushindwa hata kutembea na muda mwingine huwa natapika sana hadi kuzimia. Nimetumia diclopar lakini nasikia sio nzuri kiafya. Je nifanyeje?U.T.I ni infection ya mirija ya mkojo. kama daktari alikupima na kweli unayo tatizo hilo, Basi nitakushauri hivi:
Asante
- Dawa Amoxiclav 500mg kutwa mara mbili kwa siku 7. (Hii dawa unaua vimelea na kuondoa maambukizi)
- Dawa Cital (Hii dawa itakusaidia kuondoa maumivu kwenye mirija ya kukojoa)
- Kunywa maji mengi kama lita 3 au 4 kila siku (unapokunywa maji unapunguza idadi ya vimelea)
Mkuu dawa hii Augmentin vipi uwezo wake?U.T.I ni infection ya mirija ya mkojo. kama daktari alikupima na kweli unayo tatizo hilo, Basi nitakushauri hivi:
Asante
- Dawa Amoxiclav 500mg kutwa mara mbili kwa siku 7. (Hii dawa unaua vimelea na kuondoa maambukizi)
- Dawa Cital (Hii dawa itakusaidia kuondoa maumivu kwenye mirija ya kukojoa)
- Kunywa maji mengi kama lita 3 au 4 kila siku (unapokunywa maji unapunguza idadi ya vimelea)