theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,681
- Thread starter
-
- #281
Just twice a day mkuuMlo Mara ngapi maana hats USIKU naamka! Kwa kifupi napenda sana mbwa,hawa niliwakuta Sokoni wamezaaliwa na mama yao wasamaria wema wakasema hajaonekana siku mbili ikabidi waniuzie Mwenye banda walipo zaliwa
Asante sana kwa Leo kiongozi. USIKU mwema.Just twice a day mkuu
Halafu dawa ya minyoo (ascarten P) unaanza wapa wanapofikisha wiki4 then 6 and 8 wiki ya kumi na mbili unawapa ivermectin na unarudia kila baada ya miezi 3Mlo Mara ngapi maana hats USIKU naamka! Kwa kifupi napenda sana mbwa,hawa niliwakuta Sokoni wamezaaliwa na mama yao wasamaria wema wakasema hajaonekana siku mbili ikabidi waniuzie Mwenye banda walipo zaliwa
Asante sana mkuu! Umekua msaada sana tangu ulipoleta uzi huu! Je naweza kuwapa chanjo ya newcastle sambamba na hayo maelezo hapo juu? Au nimalize kwanza ESB3 then ndio niwachanje?Mkuu kwa case yako kuku kutoa choo cheupe kilichochanganya na kijani ni mwanzo mwa dalili ya homa ya matumbo kwa kuku (fowl typhoid) ama kipindupindu cha kuku (fowl cholera) hivyo basi ningekushauri umtenge huyo kuku mgonjwa na umwanzishie dose ya ESB3 kwa siku tatu changanya vijiko vinne vya chai kwa maji ya lita 20 mpe anywe.....
Na pia ningependa uwaanzishie dose kuku waliosalia kwa kuwapa pia Esb3 iwe kama prophylaxis dhidi ya ugonjwa huu....
Kwanini Esb3 hii dawa ni jamii ya sulfur na inauwezo wa kukinga kuku wako dhidi ya magonjwa matatu nayo ni fowl typhoid fowl cholera na coccidiosis....
Kila la kheri Mkuu....
Wape kwanza ESB3 then waachae kwa wiki moja then uwachanje mkuu....Asante sana mkuu! Umekua msaada sana tangu ulipoleta uzi huu! Je naweza kuwapa chanjo ya newcastle sambamba na hayo maelezo hapo juu? Au nimalize kwanza ESB3 then ndio niwachanje?
Njoo PM MkuuAisee kuku wangu wanapooza miguu na kufa ndani ya siku moja je ni ugonjwa gan nawapa ile dawa nahic inaitwa t.o.c niliambiwa ni ant-biotic (cjui ndio hvy) lakin aikufanikiwa wanakufa daily.
Broiler aina ya cornish cross breed wako vizuri....Dr nataka kuanza Kufuga Kuku was nyama naomba ushaur Kuku aina gani ni wazuri na vifaranga vyake navipata WAP mm npo sumbawanga
Nashukuru sana mkuu na karibu sana...Mkuu nakushukuru kwa kujitoa kwako kuwashauri wafugaji katika nchi hii. Huu ndio uzalendo wa kweli unaopaswa kuigwa na kila mtanzania mwenye mapenzi mema. Ubarikiwe sana.
Ngoja nijaribu kuweka link upya...Link haifunguiView attachment 766766
Karibu mkuu....
Asante Dr maeneo ya mbeya hawana tawi mana usafir dar mpaka sumbawanga mbaliBroiler aina ya cornish cross breed wako vizuri....
Na vifaranga wazuri kachukue euro poultry hawa wako maeneo ya airport au mkuza chicks hawa wako ubungo hapo....
Kwa mbeya sijafahamu mkuu but na imani kutakuwa na kampuni moja wapo au kampuni nyingine zinazosambaza vifaranga kanda hiyo....Asante Dr maeneo ya mbeya hawana tawi mana usafir dar mpaka sumbawanga mbali
Nashukuru Dr ngoja nifanyie kaziKwa mbeya sijafahamu mkuu but na imani kutakuwa na kampuni moja wapo au kampuni nyingine zinazosambaza vifaranga kanda hiyo....