Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

Pia Kama ukihiitaji kukupatia huduma hiyo unaweza tukazungumza tuyajenge vizuri ndugu yangu me ni daktar wa mifugo
Ok Kuna magonjwa hatari sana kwa mbwa Kama parvovirus,rabies,distemper leptospirosis unatakiwa kupiga chanjo ya rabies vaccine,na chanjo moja inayobeba magonjwa manne inaitwa DHLP hii husaidia kuzuia magonjwa dhidi ya mbwa wako
 
Pia Kama ukihiitaji kukupatia huduma hiyo unaweza tukazungumza tuyajenge vizuri ndugu yangu me ni daktar wa mifugo
Ok Kuna magonjwa hatari sana kwa mbwa Kama parvovirus,rabies,distemper leptospirosis unatakiwa kupiga chanjo ya rabies vaccine,na chanjo moja inayobeba magonjwa manne inaitwa DHLP hii husaidia kuzuia magonjwa dhidi ya mbwa wako
 
Mbwa wangu anaharisha damu nimenunua mbwa mtaani sijui kama alipata chanjo yeyote unanisaidiaje doctor
 
Pia Kama ukihiitaji kukupatia huduma hiyo unaweza tukazungumza tuyajenge vizuri ndugu yangu me ni daktar wa mifugo
Mkuu naitaji hiyo tiba kwa mbwa wangu wailing dume na jike napatikana chanika
 
Mbwa wangu anaharisha damu nimenunua mbwa mtaani sijui kama alipata chanjo yeyote unanisaidiaje doctor
Pole sana mkuu. Huyo mbwa anaumwa ugonjwa wa parvo. Hawezi kupona kwa kuwa hakuchanjwa dhidi ya ugonjwa wa parvo virus.
 
Pole sana mkuu. Huyo mbwa anaumwa ugonjwa wa parvo. Hawezi kupona kwa kuwa hakuchanjwa dhidi ya ugonjwa wa parvo virus.
Mungu mwema bado wanaendelea vizuri kuna daktari amenipa dawa inaitwa petgurd sina uhakika na jina ila kasema inatakiwa niwapige chanjo shida nipo chanika yeye yupo tabata segerea
Kama kuna daktari wa mifugo hasa mbwa yupo chanika msaada
 
Mungu mwema bado wanaendelea vizuri kuna daktari amenipa dawa inaitwa petgurd sina uhakika na jina ila kasema inatakiwa niwapige chanjo shida nipo chanika yeye yupo tabata segerea
Kama kuna daktari wa mifugo hasa mbwa yupo chanika msaada
Sawa mkuu. Wasiliana na ofisa mifugo wa kata atakuja kuwachoma sindano mkuu.
 
Back
Top Bottom