Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

Una case kama ya kwangu--mimi ni 70+
Nilichogundua ni either kuna dawa feki au kuku wetu wamekuwa resistant na dawa zao.
Cha ajabu ukiwapa dawa za binadamu wanaonyesha dalili za kupona.
Nimewapa antibiotics(rangi mbili) na majani wanaonyesha nafuu.
Mkuu snochet tafadhali bado nasubiri kusikia toka kwako mkuu
 
Ni dawa gani umewapatia mkuu, na kipimo umefanyaje? Sasa nawapondea pilipili pamoja na tangawizi natia huo mchanganyiko kwenye maji yao ya kunywa lakini bado hawako sawa. Mpaka sasa wamekufa 120, nimechoka kabisa mkuu.
Ninatumia ampiclox(atleast vidonge vitano kwenye ndoo ndogo) na Doxy.
Dawa ya kikohozi,tumia mucolyn ya watoto.
Dawa ambazo zipo kwenye makabati ambazo either ni multivitamin au antibiotic--unaweza ukawapa..ilimradi zisiwe zime expire.
Kwa wale wanaokoroma--fungua kidonge kimoja cha ampiclox-weka kwenye kijiko na maji kidogo then mnyweshe.Kama wameshaanza kutoa matongotongo-yatoe na njiti ya kiberiti na ufute na tissue.
Hakikisha umewapa chanjo kwa wakati.
Mimi imenisaidia sana kupunguza vifo.Serving,wanyime maji kuanzia saa 10 jioni,wape pumba,uwawekee maji around saa 4 kesho yake.
Kila la kheri.
 
Ninatumia ampiclox(atleast vidonge vitano kwenye ndoo ndogo) na Doxy.
Dawa ya kikohozi,tumia mucolyn ya watoto.
Dawa ambazo zipo kwenye makabati ambazo either ni multivitamin au antibiotic--unaweza ukawapa..ilimradi zisiwe zime expire.
Kwa wale wanaokoroma--fungua kidonge kimoja cha ampiclox-weka kwenye kijiko na maji kidogo then mnyweshe.Kama wameshaanza kutoa matongotongo-yatoe na njiti ya kiberiti na ufute na tissue.
Hakikisha umewapa chanjo kwa wakati.
Mimi imenisaidia sana kupunguza vifo.Serving,wanyime maji kuanzia saa 10 jioni,wape pumba,uwawekee maji around saa 4 kesho yake.
Kila la kheri.
Asante mkuu, nimesubiri sana reply yako. Nashukuru sana
 

🌱Group hili nikwa wakulima WA miti ya mitiki.

🌱Lengo Nikupeana ushauri juu ya upandaji na uvunaji pamoja na changamoto mbali mbali zinazolenga maswala ya miti.

🌱Pia Nikujua masoko ya ndani na nnjee.
 
Habari nimeanza kufuga mbwa toka niwanunue sijawahi kuwapa chanjo yeyote nishauri dawa ya kuwapa dhidi ya minyoo kabla hawajapata minyoo na magonjwa engine
Napatikana chanika
 
Habari nimeanza kufuga mbwa toka niwanunue sijawahi kuwapa chanjo yeyote nishauri dawa ya kuwapa dhidi ya minyoo kabla hawajapata minyoo na magonjwa engine
Napatikana chanika
Mkuu na me nipo chanika unafuga mmbwa wa kizungu?
 
Ok Kuna magonjwa hatari sana kwa mbwa Kama parvovirus,rabies,distemper leptospirosis unatakiwa kupiga chanjo ya rabies vaccine,na chanjo moja inayobeba magonjwa manne inaitwa DHLP hii husaidia kuzuia magonjwa dhidi ya mbwa wako
Habari nimeanza kufuga mbwa toka niwanunue sijawahi kuwapa chanjo yeyote nishauri dawa ya kuwapa dhidi ya minyoo kabla hawajapata minyoo na magonjwa engine
Napatikana chanika
 
Back
Top Bottom